Ufaransa ilijitoa NATO kwa amani, Urusi anashambulia nchi zinazotaka kujiunga

Ufaransa ilijitoa NATO kwa amani, Urusi anashambulia nchi zinazotaka kujiunga

Ufaransa ilikuwa mwanachama wa NATO mpaka mwaka 1966 ilipoamua kujitoa na kubaki Neutral state huku wanachama wote wakibariki maamuzi hayo hatukuona Makombora ya Iskander yakivurumishwa Paris.

Kwa upande wa pili mambo ni kinyume kabisa nikimaanisha nchi zilizokua za Kisoviet ukitaka kutoka huko na kujiunga na NATO unakumbana na makombora ya Iksander ya kutosha tu.
Swali jepesi,
makubaliano yanasema ukitaka kujiunga NATO lazima Mrusi akushambulie? wamekubaliana hivyo?

Sweden na Finland ni neutral state ila wameanza tetesi za kutaka kujiunga NATO ila tiyari Mrusi keshawapa vitisho and good enough siku Sweden anatangaza mpango wake huo kuna ndege za Urusi kama sio mbili zilivunja sheria na kuruka anga la Sweden.

Swali Jepesi.
Kwanini Mrusi anawachagulia nchi huru maisha yao ya kuishi?

Kuna nchi baada ya kuonyesha mrengo wa kujiunga NATO au kinyume na Sera za Urusi zimekula makombora ya Iskander ya kutosha japo nyingine zilijiunga kibabe ref Georgia, Poland, Latvia, Chenchya, Romania, Hungary, etc zote hizo zina makovu ya makombora ya Iskander kutoka kwa Mrusi

Na leo hii wote ni mashuhuda angalia kinachoendelea Ukraine kila aina ya makombora yanatumika kutoka angani, baharini, nchi kavu kote huko zinatoka Iskander, Hypersonic, Vacuum, thermoballic Bomu...nk.

Swali jepesi.

Je Mrusi anaamini sana katika vita ndio njia ya kutafuta muafaka au ni Ubabe wake na kauli ya hakuna wa kunifanya kitu.

Vita niya kupingwa ni wapenda amani wote wanakufa watu wasio na hatia baada ya Vita ya Vietnam/Vietcong baada ya watu kushuhudima matokeo ya vita walikuja na kauli hii " VITA NI SULUHISHO LA MWISHO KABISA ENDAPO NJIA ZOTE ZA MAZUNGUMZO ZIMESHINDIKANA"

Kataa vita penda Amani.
Historia ni SOMO jepesi sana jamani, hutumii akili yeyote kulisoma, yaani unajisomea tu bila hata msaada wa mwalimu. Nakumbuka nikiwa O level, nilikua nahudhuria darasani form 1 na form 2 tu baasi, form 3 sijawahi kuingia darasana kumsikiliza mwalimu, again form 4 sidhani kama nilizidisha zaidi ya 5 times na still nilipata C, somo rahis mno, unajisomea kitabu cha history wakati umechoka ku calculate number, physics, Chemestry nk. Imagine mtu anadanganya pakubwa namna hi kwamba eti URUSI anapenda VITA. Kati ya Urusi na NATO nani anapenda vita? jifunze historia ya miaka walau 20 tu nyuma froma now, utagundua NATO/USA kavamia nchi huru mara nyingi kweli kuliko hata Urusi anaeonewa hapa
 
Hilo swali mbona huja wauliza USA !? [emoji16][emoji16][emoji16]
Mnaumia sana mnapoona Russia anavyo dhihirisha nguvu zake za kijeshi !!? Poleni sana
 
My friend wrong is wrong even if every body is wrong na kosa moja sio kosa la kuhalalisha uovu mwingine mwishoni nimesema sipendi vita yes Marekani alikua wrong je naye Putin afanye kisa Marekani alifanya tujifunze kuiga mazuri.

Leo anafanya Russia, Kesho anafanya China, kesho kutwa Korea kaskazini unadhani dunia itakua sehemu salama.
Dunia sio sehemu salama .. only stongers they will remain to survive.. Maisha ya binaadamu hayana tofauti sana na maisha ya viumbe hai wengine , kilichopo tu ni kwamba binaadamu Kwa kuwa tuna akili kuliko viumbe wengine tuna tumia hiyo platform kama strategy ya kupunguza ubinafsi tulio nao , lakini kwakuwa ubinafsi ni inborn character hauwezi kuja kuisha ..

so usije kujidanganya kwamba Dunia inaweza kukaa pasipo uwepo wa vita Kwa sababu nature ndio iliyo amua Dunia iwe hivyo samaki mkubwa ana kula samaki mdogo Ili apate kuishi
 
Binafsi sioni mantiki ya kuhalalisha Uvamizi Wa Urusi kule Ukraine eti kwa vile Marekani walivamia nchi nyingine..

Ina maana Misri naye akiamua kuvurumisha mabomu Tanzania kwa madai ya kulinda maslahi yao tutakaa kimya pia?

Je Vita ndiyo njia sahihi ya kutafuta suluhu pindi tukikwazana?
Binafsi hatuoni sababu za Ukraine kujiunga na NATO ilhali anajua fika kwamba kujiunga kwake huko Kuna hatarisha usalama Amani na ustawi wa taifa la Russia..
 
Dunia bila vita haiendi, toka enzi za vitabu vya Mungu vita ndio inafanya nchi ziheshimiane. Ili taifa liwe kubwa na kupata heshima kwa mataifa mengine ni lazima wapigane tu...
For sure
 
Unayoyasema assume yangekua yanafanyika ndani ya nchi yako yani wewe na familia yako wote mfe kisa Taifa linatafuta ukubwa,, u can't be serious bro unasema hivyo kisa unashuhudia kwenye Tv omba yasikukute waulize wale Watz walikua Ukraine vita inafananaje watakwambia.
Hata kama asiposema haisaidii kubadilisha huo ukweli .. Leo hii inatokea huko Kwa wenzetu lakini you have to know that lazima Ipo siku itakuja kutokea kwetu iwe tupo hai au tumekufa .. hivyo ndivyo namna ambavyo maisha yalivyo .. ilaumu nature
 
Ufaransa ilikuwa mwanachama wa NATO mpaka mwaka 1966 ilipoamua kujitoa na kubaki Neutral state huku wanachama wote wakibariki maamuzi hayo hatukuona Makombora ya Iskander yakivurumishwa Paris.

Kwa upande wa pili mambo ni kinyume kabisa nikimaanisha nchi zilizokua za Kisoviet ukitaka kutoka huko na kujiunga na NATO unakumbana na makombora ya Iksander ya kutosha tu.
Swali jepesi,
makubaliano yanasema ukitaka kujiunga NATO lazima Mrusi akushambulie? wamekubaliana hivyo?

Sweden na Finland ni neutral state ila wameanza tetesi za kutaka kujiunga NATO ila tiyari Mrusi keshawapa vitisho and good enough siku Sweden anatangaza mpango wake huo kuna ndege za Urusi kama sio mbili zilivunja sheria na kuruka anga la Sweden.

Swali Jepesi.
Kwanini Mrusi anawachagulia nchi huru maisha yao ya kuishi?

Kuna nchi baada ya kuonyesha mrengo wa kujiunga NATO au kinyume na Sera za Urusi zimekula makombora ya Iskander ya kutosha japo nyingine zilijiunga kibabe ref Georgia, Poland, Latvia, Chenchya, Romania, Hungary, etc zote hizo zina makovu ya makombora ya Iskander kutoka kwa Mrusi

Na leo hii wote ni mashuhuda angalia kinachoendelea Ukraine kila aina ya makombora yanatumika kutoka angani, baharini, nchi kavu kote huko zinatoka Iskander, Hypersonic, Vacuum, thermoballic Bomu...nk.

Swali jepesi.

Je Mrusi anaamini sana katika vita ndio njia ya kutafuta muafaka au ni Ubabe wake na kauli ya hakuna wa kunifanya kitu.

Vita niya kupingwa ni wapenda amani wote wanakufa watu wasio na hatia baada ya Vita ya Vietnam/Vietcong baada ya watu kushuhudima matokeo ya vita walikuja na kauli hii " VITA NI SULUHISHO LA MWISHO KABISA ENDAPO NJIA ZOTE ZA MAZUNGUMZO ZIMESHINDIKANA"

Kataa vita penda Amani.
Wacha upotoshaji Ufaransa ni mwanachama hai wa NATO!

Sijui umetoa wapi huu ujinga ulioandika humu ndani!
 
Unadhani USA atachukua hatua gani ikiwa Cuba ataunda umoja na Russia na hivyo basi Russia aweke military base Cuba?
Miaka ya nyuma Ilikuwa hivyo na USA ikasema italipua meli zenye silaha za Kivita kutoka Russia na kama itatokea world war 3 na iwe hivyo!
Russia hakutaka makuu akageuza meli zake za Kivita na kuachana na Mpango Huo!
[emoji16][emoji16][emoji16] Russia alishawahi kufanya hivyo na matokeo yake uliibuka mgogoro mkubwa uliopelekea pope kuingilia kati , na Russia wakaondoa majeshi Yao .. so why ionekane Leo hii kuwa NATO kumsogelea Russia Kwa kupitia mgongo wa Ukraine ni sahihi.. kwanini Wana leta double standard
 
Usiukimbie ukweli wa kuwa ...Hivyo ndivyo Dunia inavyoendeshwa...

Muache sasa na mjifunze pia msidanganyike na upuuzi wa Haki/Uhuru na matakataka gani sijui ya Democracy.
Nime mwambia Mimi [emoji16][emoji16]

Dunia sio mahala salama Kwa viumbe hai kama wanavyo ongopewa , Kwa sab abu Kila kiumbe Ili kiweze ku-survive lazima kimle kiumbe mwenzake kimpore Mali zake etc
 
Mbona ueleweki, France ni mwanachama wa NATO, wapi wamesema kajitoa?. NATO ina members 30. UK, US ,Canada, Ureno , Spain, Luxemburg, Italy, Germany , Slovenia, Zcheck, Hungary, Romenia,Birgalia, Lithiania, Estonia, Latvia, Norway, Sweden, Neither land, Belgium, Greece, Turkey, North Macedonia,Denmark, Poland, Romania,Albania, Croatia, Montenegro na Ireland. Kuna nchi 2 tu katika Ulaya ya magharibi neutral ambazo hazipo Nato lakini zimeomba kwa sasa ni Finland na Switzer land. Mashariki mwa Ulaya ambazo zimeomba ni (Ukrein, Moldava na Georgia) hizi zinasumbuliwa na Urusi. France ndie NATO Ulaya hawezi toka.
Jamaa muongo ninavyojua macron ndiye kiongozi wao mkuu wa NATO Kwa Sasa
 
Ndio uniambie sababu nini manake yeye kama yeye anasema ni Denazification & Demilitarization yani leo ukae ikulu tu na kuamua kushambulia nchi nyingine kisa watu wanaipenda nchi yao na kuwapunguza nguvu kijeshi hakuna mantiki hapo.

Ukraine wamefanya uchaguzi wa kidemokrasia na wamechagua Rais wao kidemokrasia tofauti na Russia kabisa tunashuhudia wapinzani wakipewa kesi na Norvichocky juu/sumu
[emoji16][emoji16][emoji16] garbage [emoji706][emoji706]
 
Kaangalie ramani upya,Poland amepakana na Ukraine,Halafu Ukraine ndio kapakana na Russia!Russia ambacho hataki ni nchi NATO kujitanua Kwa kuingiza nchi wanazopakana by land,Russia anaona Hilo jambo kama hatari Kwa usalama wake!
Nimesema iliwahi kutokea huko nyuma na USA akawa tayari Kwa world war 3 iwapo meli za Kivita za Russia zingevuka line kuelekea Cuba!
Muwe mnaelewa,anachofanya Russia Kwa Ukraine kisingetokea kama Russia angesikilizwa Toka awali!Kwa miaka mingi amekuwa akiongea na Ukraine na nchi za NATO,amewaambia NATO wasiendelee kujitanua kuelekea East maana itakuwa kama maadui zake wanatengeneza umoja Kwa kumzunguka!
Hivi Leo Taiwan atake kujiunga NATO,China atakubali?
USA ni wakulaumiwa Moja Kwa Moja Kwa kinachatokea Ukraine!
Kwanza anajua hata Sababu za NATO kuundwa au unaongea na mtu asiye jua hata history ya NATO ilikuaje kuaje. Yaani Russia anajua kabisa kuwa nato iliiundwa Kwa sababu za kuhakikisha Wana lipoteza taifa la Russia, halafu Russia waendelee kukubali NATO hao hao wazidi kujitanua Kwa kuwasogelea usoni mwao ...

Hizi akili za wapi hizi [emoji16][emoji16][emoji16][emoji706]
 
Historia ni SOMO jepesi sana jamani, hutumii akili yeyote kulisoma, yaani unajisomea tu bila hata msaada wa mwalimu. Nakumbuka nikiwa O level, nilikua nahudhuria darasani form 1 na form 2 tu baasi, form 3 sijawahi kuingia darasana kumsikiliza mwalimu, again form 4 sidhani kama nilizidisha zaidi ya 5 times na still nilipata C, somo rahis mno, unajisomea kitabu cha history wakati umechoka ku calculate number, physics, Chemestry nk. Imagine mtu anadanganya pakubwa namna hi kwamba eti URUSI anapenda VITA. Kati ya Urusi na NATO nani anapenda vita? jifunze historia ya miaka walau 20 tu nyuma froma now, utagundua NATO/USA kavamia nchi huru mara nyingi kweli kuliko hata Urusi anaeonewa hapa
Popoma Hilo [emoji16][emoji16][emoji16]
 
1.France ni member wa NATO. Nchi "Neutral" hadi sasa ziko tatu, Switzerland Finland na Sweden. Mbili za mwisho zinatia mkwara tu kusoma mwelekeo wa Russia katika medani za kivita.

2. Russia inapakana na NATO kwenye bahari ya Baltic. Rejea mji wa Kaliningrad ambayo ni Russia, kaskazini mwa Poland.

3. Kusini Russia inapakana na NATO kupitia Black sea.

Hivyo mgogoro uliopo sasa Ukraine ni mchongo wa Poland, nchi iliyo na mipango ovu ya siri dhidi ya Russia kupitia mshirika wake mkuu USA.

NATO inaingizwa tu kwenye mgogoro wenye maslahi binafsi ya kikundi kidogo cha watu.
 
My friend wrong is wrong even if every body is wrong na kosa moja sio kosa la kuhalalisha uovu mwingine mwishoni nimesema sipendi vita yes Marekani alikua wrong je naye Putin afanye kisa Marekani alifanya tujifunze kuiga mazuri.

Leo anafanya Russia, Kesho anafanya China, kesho kutwa Korea kaskazini unadhani dunia itakua sehemu salama.
Acha wqfanye ulitaka afanye mmoja tu, kwani wewe mangapi umefanya Afrika kwa jirani zako wanaokuzunguka?
 
Binafsi sioni mantiki ya kuhalalisha Uvamizi Wa Urusi kule Ukraine eti kwa vile Marekani walivamia nchi nyingine..

Ina maana Misri naye akiamua kuvurumisha mabomu Tanzania kwa madai ya kulinda maslahi yao tutakaa kimya pia?

Je Vita ndiyo njia sahihi ya kutafuta suluhu pindi tukikwazana?
Ndo mana kila kukicha wanazidi kutengeneza eilaha mpya na za kisasa zaidi, mana hakuna suluhisho ktk hii dunia ya sasa bila kuwa mbabe, ili dunia ikuheshimu lzm uwe mbabe, ukiwa mdebwedo ndo haya tunayokumbana nayo sasa hv, hv kwenu lita ya mafuta bei gani uko?
 
Back
Top Bottom