Mbona ueleweki, France ni mwanachama wa NATO, wapi wamesema kajitoa?. NATO ina members 30. UK, US ,Canada, Ureno , Spain, Luxemburg, Italy, Germany , Slovenia, Zcheck, Hungary, Romenia,Birgalia, Lithiania, Estonia, Latvia, Norway, Sweden, Neither land, Belgium, Greece, Turkey, North Macedonia,Denmark, Poland, Romania,Albania, Croatia, Montenegro na Ireland. Kuna nchi 2 tu katika Ulaya ya magharibi neutral ambazo hazipo Nato lakini zimeomba kwa sasa ni Finland na Switzer land. Mashariki mwa Ulaya ambazo zimeomba ni (Ukrein, Moldava na Georgia) hizi zinasumbuliwa na Urusi. France ndie NATO Ulaya hawezi toka.