Ufaransa ilijitoa NATO kwa amani, Urusi anashambulia nchi zinazotaka kujiunga

Ukiwafatilia hawa mkuu, utachanganyikiwa....
 
Hilo siwezi kulijibu manake halijatokea na hata likitokea linaweza kufikiwa muafaka kwa Round table discussion kuliko kwenda kuua Raia wasio na hatia wamama na watoto its like leo uwaulize Ukraine wapige kura wachague Block yao kati ya Soviet an Ulaya
Nahisi jibu unalo.
Mbona Poland ipo karibu na Mrusi na hakuna shida japo Mrusi anajitapa zamu yao inafwata.
 
Soma vizuri kaka nimesema Ufaransa ni Neutral state tunaita nchi zisizofungamana na upande wowote
Kwahyo Ukraine nae alitaka Kuwa neutral au?? Maana unazilinganisha Ukraine Na ufaransa
 
thread closed
 

Wakati nchi za kiarabu zinavamiwa na viongozi wao kuuawa mbona mlikaa kimya!!! Au kwakuwa ni waarabu/waislamu!! Eti sasaiv ndio unasema hata marekani alikua wrong,,hapo nyuma ulikua wapi kutamka hili neno!!! baada ya mrusi kumvamia ukrein ndio mnatupigia kelele humu!! Tena kaa kimya kijana.
 
Kaangalie ramani upya,Poland amepakana na Ukraine,Halafu Ukraine ndio kapakana na Russia!Russia ambacho hataki ni nchi NATO kujitanua Kwa kuingiza nchi wanazopakana by land,Russia anaona Hilo jambo kama hatari Kwa usalama wake!
Nimesema iliwahi kutokea huko nyuma na USA akawa tayari Kwa world war 3 iwapo meli za Kivita za Russia zingevuka line kuelekea Cuba!
Muwe mnaelewa,anachofanya Russia Kwa Ukraine kisingetokea kama Russia angesikilizwa Toka awali!Kwa miaka mingi amekuwa akiongea na Ukraine na nchi za NATO,amewaambia NATO wasiendelee kujitanua kuelekea East maana itakuwa kama maadui zake wanatengeneza umoja Kwa kumzunguka!
Hivi Leo Taiwan atake kujiunga NATO,China atakubali?
USA ni wakulaumiwa Moja Kwa Moja Kwa kinachatokea Ukraine!
 
Unakumbuka kuwa Mmarekani hataki Russia waweke vifaa vyake pale cuba
 
Ufaransa siyo neutral state bali ni mwanachama hai wa NATO
 
Ndugu mleta mada, France ni active member wa NATO tangu kuanzishwa kwake. Iliwahi kujitoa mwaka 1966 katika masuala ya jeshi la pamoja pekee, ila ilirejea mwaka 2009.
 
Kama ukimfuatilia kwa makini, hii vita ina mkono usioonekana wa Mmarekani! Jaribu kutulia. Na pengine kabla hatujafika mbali, hapa hapa Africa tunazo nchi zilizovamiwa na vikundi vya wahuni kwa msaada wa mataifa ya Marekani na washirika wake ili tu watuibie malighafi zetu!!, unaonaje kama ungeanza kuyatetea mataifa yanayoonewa hapa Africa kama kweli una moyo wa huruma kihivyo!
 
utakuja kuelewa pale mke wako atapolala na panga na visuu
 

Tahadhari, picha za kutisha!!



Nionyeshe wamarekani wakiwaua hadharani Gadaffi na Sadam
 
mkuu sioni muunganiko wa hoja yako

Ufaransa kajitoa ulitakaje sasa ili iwe sawa na Ukraine kutaka kujiunga na NATO

Watu wanapaswa kujua hii ni vita baridi ya miaka nenda rudi kati ya USA na iliokua Urusi na baadae Russia ikarithi vita hiyo

Ndani ya makabrasha hatari ya CIA na FBI ni kutaka kuhakikisha Russia inapotea au kupoteza kabisa nguvu zake, ilifanikiwa kwa Gorbachev na sasa wanataka kuimaliza Russia ya Puttin

Russia nayo kwenye makabrasha yao ni kuhakikisha USA hawafanikiwi tena this time wanafanya kila linalo wezekana kuhakikisha halitokei

Usa wana nguvu na ushawishi mkubwa sana na wameishikilia UN na NATO na ndio maana ujinga wao mwingi wa kuvamia nchi yoyote inayo hatarisha maslahi yao inapata uungwajj mkono kimataifa kwa uongo mwingi kama kumvamia Sadam eti ana silaha hatarishi wakati hakua nazo
Russia alitaka kupeleka makombora yake cuba lakini usa walifanya kila njia kuhakikisha hilo halifanikiwi the same na anachofanya Russia kwa ukraine na nchi alizo zipiga mkwara

Ukiangalia kwa jicho la HAKI utabaki unajiuliza hayo maswali yako lakini ukiangalia kwa jicho la UHALISIA uliouliza sio maswali sababu yana majibu
 
Tahadhari, picha za kutisha!!



Nionyeshe wamarekani wakiwaua hadharani Gadaffi na Sadam
Mkuu kwa mantiki hii haya mambo ni makubwa sana kuliko upeo wa uwezo wa fikra zako
 
Ufaransa France ndo muasisi wa NATO alijitoaga kwenye mambo ya kijeshi tu hata hivo alirud 2009 sjui Kama niko sawa akarud kuwa active kwenye aspects zote so nazan n NATO
 
Kilaza huyo
 
Ufaransa ipo ndani ya NATO, wewe mleta mada vipi?
Umesahau kuwa hata kumtoa Ghadafi NATO ilihusika na ufaransa alikuwa kimbelembele?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…