Ufaransa kujaza watu weusi kwenye timu ya taifa ni kuendeleza utumwa

Bukayo saka na rashford walikosa penalty kwenye national team wakatukanwa sana ila juzi kwenye world cup amekosa harry kane kila mtu yupo kimya hakuna hata aliyemkejeli zaidi ya kumpa pole.
 
Bukayo saka na rashford walikosa penalty kwenye national team wakatukanwa sana ila juzi kwenye world cup amekosa harry kane kila mtu yupo kimya hakuna hata aliyemkejeli zaidi ya kumpa pole.
Cha ajabu nawaambia waafrica wenzangu hapa wanaishia kunitukana. Sasa hivi kina Kolo wanaitwa nyani huko.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…