#COVID19 Ufaransa: Raia kuhitaji kibali maalum kwenda migahawani, baa n.k

#COVID19 Ufaransa: Raia kuhitaji kibali maalum kwenda migahawani, baa n.k

Nawasalimu kwa jina la JMT!

Tanzania kuchanja chanjo ya Corona ni swala la hiyari siyo lazima na kiukweli hili ni jambo jema.

Namuomba Mungu mwenyezi tusifikie ile hali ya nchi ya Ufaransa ambayo imewatangazia wananchi wake wasiochanja kwamba ifikapo 01/08/2021 hawataruhusiwa kununua vitu sokoni.

Mungu ni mwema wakati wote!
Sukum Gang walikua wanasema hawataki chanjo. Alafu juzi mwenyekiti wao kaanza kuchomwa sindano.
 
Mandatory vaccinations are coming,,you will get shots and shots for variants after variants...itakua kama release za windows tu🤣
Screenshot_20210729-154440_1.jpg
 
Nawasalimu kwa jina la JMT!

Tanzania kuchanja chanjo ya Corona ni swala la hiyari siyo lazima na kiukweli hili ni jambo jema.

Namuomba Mungu mwenyezi tusifikie ile hali ya nchi ya Ufaransa ambayo imewatangazia wananchi wake wasiochanja kwamba ifikapo 01/08/2021 hawataruhusiwa kununua vitu sokoni.

Mungu ni mwema wakati wote!
kwa tanzania nayo hiyo kauli ni ya kutongoza tu wananchi ni sawa na demu unamtongoza weee! kwa maneno malaaini lakini akisha kubali akakuruhusu kwenye 18 zake kisha zero-distance unamkunja niaje taka asitake,hivyo ni suala la muda tu tanzania tunaelekea kule walimwengu wanakoenda
 
Nawasalimu kwa jina la JMT!

Tanzania kuchanja chanjo ya Corona ni swala la hiyari siyo lazima na kiukweli hili ni jambo jema.

Namuomba Mungu mwenyezi tusifikie ile hali ya nchi ya Ufaransa ambayo imewatangazia wananchi wake wasiochanja kwamba ifikapo 01/08/2021 hawataruhusiwa kununua vitu sokoni.

Mungu ni mwema wakati wote!
Hiyo ni kanuni ya Dunia itafika na huku kila mtu lazima achanje,wote mnaosema hamtachanja itafika wakati utachanja kwa lazima maana hutoruhusiwa kwenye huduma nyingi
 
Usomi wako woote,bado hauamini kwamba hata wewe ni marehemu wa saa yoyote?

Hata ukiishi miaka mngi kama Henoko wa Biblia bado utakufa, unajivuna kwa kuwa upooo au wewe ni mjinga?
Kila mtu atakufa...

Ila kuwa msomi na bado ukaikata njia iliyoonekana ni muhimu kujikinga na kuokoa maisha huo ndio upumbavu .

Ni sawa na wewe uone sehemu inawaka moto na wewe useme ngoja nitumie petrol kuuzima na sio maji au vitu vingine vya kuzimia moto..

Tulipewa akili tuzitumie ila kuna watu walikufa kwa kuendekeza ujinga
 
Hiyo hiari ni siasa tu na mtachanja mpende msipende.

Watajua pa kuwabana mpaka mchanje.

Ni swala la muda tu.
Na in fact sio siasa, ni kwavile hata hizo chanjo zenyewe hatuna!!!

Just imagine, taifa lenye watu takribani 60M, tumepewa 1M doses, wakati Ufaransa yenye population ya takribani watu 68M, ime-allocate about 70 Million doses!!
 
Back
Top Bottom