#COVID19 Ufaransa: Raia kuhitaji kibali maalum kwenda migahawani, baa n.k

#COVID19 Ufaransa: Raia kuhitaji kibali maalum kwenda migahawani, baa n.k

Nawasalimu kwa jina la JMT!

Tanzania kuchanja chanjo ya Corona ni swala la hiyari siyo lazima na kiukweli hili ni jambo jema.

Namuomba Mungu mwenyezi tusifikie ile hali ya nchi ya Ufaransa ambayo imewatangazia wananchi wake wasiochanja kwamba ifikapo 01/08/2021 hawataruhusiwa kununua vitu sokoni.

Mungu ni mwema wakati wote!
Hata kwako Tanzania ni swala la mda TU hicho ndio kitu kinachofuata duniani kote
 
Acha kuandika utopolo, wahi kachanjwe
Ufunuo wa Yohana 13:17
tena kwamba mtu awaye yote asiweze kununua wala kuuza, isipokuwa ana chapa ile, yaani, jina la mnyama yule, au hesabu ya jina lake.
 
Mungu wabariki Wazungu😆
20210320_205744.jpg
 
Asee hebu tupeane elimu kidogo, hiyo 666 inauhusiano gani na chanjo?
Tunaelekea kwenye utawala wa mnyama na huyu mnyama utambulisho wake ni 666

16 Naye awafanya wote, wadogo kwa wakubwa, na matajiri kwa maskini, na walio huru kwa watumwa, watiwe chapa katika mkono wao wa kuume, au katika vipaji vya nyuso zao;
17 tena kwamba mtu awaye yote asiweze kununua wala kuuza, isipokuwa ana chapa ile, yaani, jina la mnyama yule, au hesabu ya jina lake.
18 Hapa ndipo penye hekima. Yeye aliye na akili, na aihesabu hesabu ya mnyama huyo; maana ni hesabu ya kibinadamu. Na hesabu yake ni mia sita, sitini na sita.
 
Ufunuo wa Yohana 13:17
tena kwamba mtu awaye yote asiweze kununua wala kuuza, isipokuwa ana chapa ile, yaani, jina la mnyama yule, au hesabu ya jina lake.
Ufunuo wa Yohana 13:18 Hapa ndipo penye hekima. Yeye aliye na akili, na aihesabu hesabu ya mnyama huyo; maana ni hesabu ya kibinadamu. Na hesabu yake ni mia sita, sitini na sita.
 
Maandiko gan hayo..au umeamua kupotesha kwa makusudi

666 inakuja kabla ya ujio wa Yesu..na inakuja ili iwe kipimo kikuu.


Dunia siku chache zijazo, inaenda gawanyika ktk makundi mawili.


Uovu au Wema.
Kuna maandiko nimeyanukuu kuwasahihisha wale wanaofikiri unyakuo utakuja kabla ya dhiki kuu (great tribulations) kama nilivyofafanua hapo chini:

Dhiki kuu itatokea kabla ya unyakuo, soma ufunuo sura ya 6 yote na sura ya 7. Ukisoma ufunuo 7:2-3 utaona malaika akiwazuia wale malaika waliopewa kuidhuru nchi na bahari wasiidhuru nchi, wala bahari, wala miti, hadi watakapokwisha kuwatia muhuri watumwa wa Mungu juu ya vipaji vya nyuso zao. Baada ya hilo zoezi la kutiwa muhuri ndipo unyakuo ulipofanyika ukisoma ufunuo 7:9, watu kutoka kila taifa, kabila, jamaa na lugha wamesimama mbele ya kile kiti cha enzi, na mbele za mwanakondoo, wamevikwa mavazi meupe, wana matawi ya mitende mikononi mwao.......
Sasa ukisoma ufunuo 6:9, katika kipindi cha dhiki kuu kabla ya unyakuo ulioelezwa kwenye ufunuo 7:9 kuna wale watakaouawa kwa ajili ya neno la Mungu, na kwa ajili ya ushuhuda waliokuwa nao. Kwa hiyo hii inadhihirisha kwamba kipindi cha dhiki kuu kitaanza kabla ya unyakuo......
 
Kama utani utani vile 666 imekuja
Hesabu yake iko hivi ukichukua lile neno CORONA idadi yake ya herufi ziko 6, haya jaribu kuhesabu mpangilio wa alfabeti kila moja utaona kila alfabeti ni ya ngapi kisha jumlisha kwa pamoja zile idadi zake utapata neno la siri lililofichwa ndani yake ambayo ni 666( alama ya mnyama /mpinga kristo) ilivyo ingizwa kwa siri kubwa duniani pasi na walimwengu wenyewe kutambuwa kwa haraka.

C - 3

O - 15

R - 18

O - 15

N - 14

A - 1
= =
6 66

Na kwenye Biblia imeandikwa Akapewa kutia pumzi katika ile sanamu ya mnyama, hata ile sanamu ya mnyama inene, na kuwafanya hao wote wasioisujudu sanamu ya mnyama wauawe (Ufunuo wa Yohana 13:15).
 
kwani unadhani na huko France
kuwa walianza chanjo ni lazima?
walianza kuwa ni chanjo ni Hiari
Ila sasa chanjo ni LAZIMA!
nasi huku kwa sasa ni hiari
Ila baada ya muda itakuwa ni Lazima.
 
Nawasalimu kwa jina la JMT!

Tanzania kuchanja chanjo ya Corona ni swala la hiyari siyo lazima na kiukweli hili ni jambo jema.

Namuomba Mungu mwenyezi tusifikie ile hali ya nchi ya Ufaransa ambayo imewatangazia wananchi wake wasiochanja kwamba ifikapo 01/08/2021 hawataruhusiwa kununua vitu sokoni.

Mungu ni mwema wakati wote!
Ngoja tuanze kutunza vyakula na kulima bustani na kuchimba visima ili huyu mpinga Kristo akianza tuwe self sufficient!
 
Back
Top Bottom