Ufaransa: Rais Macron na mkewe wavamiwa na waandamanaji

Ufaransa: Rais Macron na mkewe wavamiwa na waandamanaji

FRANC THE GREAT

JF-Expert Member
Joined
May 27, 2016
Posts
5,500
Reaction score
8,060
Rais wa Ufaransa Emmanuel Macron na mkewe walilazimika jana kuondolewa kwa dharura kutoka ukumbi wa sinema baada ya waandamanaji kujaribu kuingia ukumbuni na kuvuruga onesho lililokuwa likiendelea.

Polisi wa kutuliza ghasia walijiweka tayari wakati waandamanaji kadhaa walipokusanyika nje ya ukumbi ambako rais Macron na mkewe Brigitte walikuwa wakitizama filamu.

Duru zimearifu kiasi cha waandamanaji 30 walijaribu kuingia kwenye jengo lenye ukumbi mashuhuri wa sinema wa Bouffes du Nord (BUUF DYU NOOKH) baada ya taarifa za uwepo wa rais Macron na mkewe kusambaa kupitia mtandao wa kijamii.

Kisa hicho kimetokea katika siku ya 44 ya mgomo wa kitaifa dhidi ya mipango ya serikali ya rais Marcon ya kuufanyia mageuzi mfumo wa pensheni inayopingwa vikali na vyama vya wafanyakazi.

====

Paris protesters try to enter theatre attended by Macron

Dozens of protesters tried to enter a Paris theatre on Friday where French President Emmanuel Macron was spending the evening with his wife Brigitte.

1579368198161.png


Around thirty opponents of Macron’s pension reform gathered in front of Paris’s Bouffes du Nord theatre early Friday evening, according to the presidential couple's entourage. After trying to enter the theatre, the demonstrators were moved back by police.

The head of state, who was attending a performance at the time, was "secured" for a few minutes before being able to return to see the play until the end.

The Paris Police headquarters confirmed that the demonstrators had not managed to enter.

The Macrons were attending a performance of "La Mouche" when the activist journalist Taha Bouhafs, sitting three rows behind, tweeted photos that prompted activists to come and disrupt the show, according to a relative of the president.

"We were at Paris 7 University for a people's university, someone got a message that Macron was there, so we came to show that we're here, that there's a protest against pension reform, but not only that," said Arthur Knight, one of the protesters.

Bouhafs then asked his tens of thousands of followers whether he should throw his shoes at the president, following the famous gesture of an Iraqi journalist against US President George W. Bush in 2008.

"I'm kidding (...) the security is looking at me weirdly right now," Bouhafs said.

Bouhafs was later arrested and taken into police custody overnight on the grounds he had acted to incite both damage to property and violence.

The president "will continue to go to theatrical performances as usual”, said his entourage. “He will be careful to defend creative freedom so that it is not disrupted by violent political actions.”

The French president has not been seen in public since his appearance in Amiens on 21 and 22 November, before protests against his controversial pension reform kicked off on December 5.

Friday marked the 44th day of a record-breaking transport strike where protesters also targeted the headquarters of the CFDT union, which supports the universal points-based retirement system, and blocked the entrance to the Louvre.

Sources: DW | France 24 | AFP | Reuters

====

1579368269091.png

1579368307577.png
 
Nawapenda sana wafaransa,hawanaga shobo na maraisi.Wao ukichemsha muhula mmoja tu bye bye.Sarkozy muhula mmoja,Hollande muhula mmoja,Valéry d'estaing muhula mmoja.
Hawa wamerithi damu za babu wa babu zao tokea FRENCH REVOLUTION 1789-1790.
I wish ningekuwa mfaransa.
 
Umechoka kuwa muhubiri wa ccm?[emoji23]
Nawapenda sana wafaransa,hawanaga shobo na maraisi.Wao ukichemsha muhula mmoja tu bye bye.Sarkozy muhula mmoja,Hollande muhula mmoja,Valéry d'estaing muhula mmoja.
Hawa wamerithi damu za babu wa babu zao tokea FRENCH REVOLUTION 1789-1790.
I wish ningekuwa mfaransa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Umechoka kuwa muhubiri wa ccm?[emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app
Hapa tunaongelea wananchi wanaojielewa,Halafu mimi siyo muhubiri wa CCM .Inshort mimi sina chama.Nina spirit kama ya wafaransa huwa hawaongonzwi na vyama.Kwa taarifa yako MACRON ALISHINDA 2017 HAKUWA NA CHAMA ILA ALIANZISHA MOVEMENT YAKE TU.Pia alikuwa waziri wa uchumi kipindi cha Hollande baadae akajiuzuru na kuanzisha movement yake iliitwa "En Marche"
 
Hapa tunaongelea wananchi wanaojielewa,Halafu mimi siyo muhubiri wa CCM .Inshort mimi sina chama.Nina spirit kama ya wafaransa huwa hawaongonzwi na vyama.Kwa taarifa yako MACRON ALISHINDA 2017 HAKUWA NA CHAMA ILA ALIANZISHA MOVEMENT YAKE TU.Pia alikuwa waziri wa uchumi kipindi cha Hollande baadae akajiuzuru na kuanzisha movement yake iliitwa "En Marche"
wanaobishana na wewe lait wangejua kuwa .......................
 
Ulaya, Ulaya tu! [emoji23][emoji23][emoji23]

Ingekuwa nchi zinazoendelea (hasa nchi za Africa) hao waandamanaji wangekiona cha moto.
Mbona hata maandamano ya huko France(Yellow Vest) watu kibao wameuwawa,wengine wamejeruhiwa kwa kichapo ila sababu ni wazungu media haziwashikii bango kihiiivyo.

dodge
 
IRAN Serikali Ambayo Haitakiwi Na Wananchi Kwa MUJIBU Wa Vyombo Vyahabari Vya WAMAGHARIBI Hatujawahi Kushuhudia Huu Upuuzi Kwa ALLY KHAMENEI Au Kwa ROUHANI Halafu Huko Tunapo Ambiwa Wanapendwa Ndio Hali Kama Hio

Wanaficha Maandamano Wakati Yanafikia Stage MBAYA Kama Hio Natamani Maandamano Hayo Yawe Hayazuiliki Tena Waone Utamu Wakuwatwisha Wenzao Mizozo Iso Faida ya Umwagaji Damu


All Is Well In Turampet Voice[emoji1][emoji2][emoji23][emoji16][emoji3]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nawapenda sana wafaransa,hawanaga shobo na maraisi.Wao ukichemsha muhula mmoja tu bye bye.Sarkozy muhula mmoja,Hollande muhula mmoja,Valéry d'estaing muhula mmoja.
Hawa wamerithi damu za babu wa babu zao tokea FRENCH REVOLUTION 1789-1790.
I wish ningekuwa mfaransa.
Uje nikuoe nina uraia wa Ufaransa.
 
Back
Top Bottom