Ufaransa: Rais Macron na mkewe wavamiwa na waandamanaji

Wazungu wanafiki sana enzi za Gadaff wafaransa walianza kumwambia atoke asishambullie wananchi had wakaenda toa supporrt

Hakuna watu wabaya kama hawa duniani
Yale ya kimbari ni wao walitoa mbinu za mauwaji yote
Yaani wana roho mbaya sana hawa watu ni viherehere haswa


Sent from my iPhone using Tapatalk
 
Nimeona huko west Africa wananchi wameandamana wanasema hawawataki wanajeshi wa France nchini kwao,nikaona kidogo waafrica tumeanza kupata akili.
Hakuna watu wabaya kama hawa duniani
Yale ya kimbari ni wao walitoa mbinu za mauwaji yote
Yaani wana roho mbaya sana hawa watu ni viherehere haswa


Sent from my iPhone using Tapatalk

dodge
 
Nimeona huko west Africa wananchi wameandamana wanasema hawawataki wanajeshi wa France nchini kwao,nikaona kidogo waafrica tumeanza kupata akili.

dodge

Safi sana
Mzungu zaidi ya wizi hana faida yoyote na sisi
What a good news


Sent from my iPhone using Tapatalk
 
Waafrika ndo wezi na makatili zaidii

Sent using Jamii Forums mobile app

Kwa nchi zao Kweli hilo halina ubishi ila sasa hawa wanatufuata badala ya kufanya biashara wanachonganisha na ndipo wanapata fursa
Yaani wameamua hii njia ndio sahihi kwao kuanzia Almasi, dhahabu mpaka mafuta


Sent from my iPhone using Tapatalk
 
Kwanza mshukuru Mungu that ur black. And we blacks, babu zetu wali fight sana kuliko hiyo takataka ya french Revolution kipindi cha uvamizi wa wakoloni, lakini historia unayoisoma darasani haikuzungumzia haya, na hivyo kupotosha ukweli.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nimeona huko west Africa wananchi wameandamana wanasema hawawataki wanajeshi wa France nchini kwao,nikaona kidogo waafrica tumeanza kupata akili.

dodge
Tatizo la msingi ni vikundi vya kigaidi vinaua watu karibia kila siku afu wanataka maaskari wa ufaransa wafanye kila kitu, wangekuwa na akili vizuri wangeandamana kuwatoa mamlakani viongozi wao ambao wameshindwa kuzuia uhalifu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwanini nchi almost zote zilizotawaliwa na France zina furugu au zimepitia vurugu sana?

dodge
 
I am French. That's my choice.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…