Ufaransa waanza kulialia kwa Uingereza kama jinsi majirani zetu wanatulilia sisi Wakenya

Ufaransa waanza kulialia kwa Uingereza kama jinsi majirani zetu wanatulilia sisi Wakenya

hawawezi kuwa wakuu wetu maana hatukuwaiga mbinu ya kupambana na corona. wao nao walitumia njia za kimbuzi kama zenu.

Dunia hii kuna mbnu mbili za kupambana na corona, aidha kisayansi au kujichokea kwa umaskini, nje ya hapo hamna nyingine.
 
Tujifunze tu kuishi na hizi tofauti zetu mpya. Kwamba Mtanzania akileta pua yake Kenya basi atalazimika kukaa quarantine, hali kadhalika KQ ikubaliane na hali tu kuwa haitakiwi kuleta makalio yake Tanzania.

Tutazoea tu

Hii freshi sana maana kwa sasa serikali ya Kenya inapaswa kuweka kipau mbele afya yetu, hatupaswi tutiwe rehani kisa mindege kwenda Dar.
 
Dunia hii kuna mbnu mbili za kupambana na corona, aidha kisayansi au kujichokea kwa umaskini, nje ya hapo hamna nyingine.
Maskini ninyie mnaotegemea vyakula vya msaada, alafu Wakenya wengi mnaupungufu yaani kupambana na corona kwa njia tofauti na waume zenu ndo mnadai ni kujichokea.
 
Hii freshi sana maana kwa sasa serikali ya Kenya inapaswa kuweka kipau mbele afya yetu, hatupaswi tutiwe rehani kisa mindege kwenda Dar.
Haya ni maneno ya mkosaji laiti kama wangekua wanajali afya zenu wasingehaha vile walipopgwa ban kuja TZ, endeleeni kujifariji kwa maneno ya khanga huku mkisubiri hatma yenu toka TZ.
 
Sonko ana akili sana kuliko wewe
IMG_20200823_235821.jpg
 
MK254,

Mkuu una chuki sana na Tz. Shida ni nini kwani tukusaidie kidogo kha si kwa upupu huu
Jipende utafanikiwa kuwapenda jirani. Tz don't need Kenya but Kenya needs Tz period!

Umekasirika kwani? Ukweli mchungu

Tuache na yetu buaaana Acha kutuzingua kila siku jirani hivi jirani vile njoo uoe upunguze ghadhabu unakera sana!
He is paid for that, an imperialist stooge.
 
Hehehe nimeipenda avatar yako kama ndiye wewe.
Anyway siwachukii wala sina tatizo na nyie watu, ila issue yangu ni mnavyotaka kulazimisha kuja huku bila kupimwa ilhali kwenu huko mlishaachia mapambano.
Sisi hatuna mpango na nyinyi kabisaa!! Wala hatupati hasara yoyote kutokuja kwenu huko ndiyo maana tumeipiga stop KQ kuja kwetu nyinyi ndiyo mnalialia tuuu!!
 
Dunia hii kuna mbnu mbili za kupambana na corona, aidha kisayansi au kujichokea kwa umaskini, nje ya hapo hamna nyingine.
Eti nje ya hapo hakuna, [emoji1787], that's according to an ordinary Kenyan. Nonsense from nobody.
 
Nyie ndo mnaohangaika na Tanzania.
Sababu kama kufa mnakufaa nyie na corona na kuumwa mnaumwa nyie na corona, cha ajabu nyie ndo mnakuwa wa kwanza kutubagua sisi Watanzania kuwa tuna corona tutawaambukiza nyie, hivi nyie mna akili kweli?

Kati ya Tanzania na kenya wapi kuna corona?

Mnatafuta sehemu ya kujifichia?View attachment 1546849

Sent from my SM-G928F using JamiiForums mobile app
Viongozi ndio wanabaguana Mkuu, Mimi nimekubagua kwa njia ipi?
 
Hamkomi kuhesabu siku za wa Tz kuanza kuzagaa mitaani kwa vifo vya corona, au mtuambie wataanza kuzagaa baada ya mda gani?
 
Ha ha haa, eti Tanzania kuna Corona, hivi kungekuwa na corona ni nani angethubutu kwenda uwanjani, bila hata barakoa? Hivi wanasiasa wa upinzani kama Lissu au Zitto unafikiri wangekaa kimya?

Wakenya endeleeni kujifungia mtapata mnachokitafuta[emoji3][emoji3][emoji3]
Ukiwa katika mada za Tz vs Kenya achana na siasa zetu za ndani.

Hayo mambo tunamalizana wenyewe sisi wa Tz

Hapa Ni nchi na nchi

Uzalendo mbele

Mimi siwakubali CCM na serikali Yao Ila akitokea mkenya anaidharau Tz kwa Sera za CCM nitamshughulikia barabara!

So reserves your comments
 
MK254,

Mbona hatufi na hiyo Corona harafu mnaopima kila siku mna kufa mpaka mmeamua kuzika watu hai?! Endeleeni na utaratibu wenu na sisi tuna utaratibu wetu jirani.
 
haya ni maneno ya mkosaji laiti kama wangekua wanajali afya zenu wasingehaha vile walipopgwa ban kuja TZ, endeleeni kujifariji kwa maneno ya khanga huku mkisubiri hatma yenu toka TZ

Biashara ya mindege ni ya serikali, hivyo wana jukumu la kuendelea kuwakuna na kuwatekenya huko ili mpunguze kiburi na kuachia, ila kikubwa na ambacho nimefurahi kwa serikali yetu ni vile hadi hapo hawajaturubuni kwa kuachia muingie kwetu bila kupimwa, mpaka sasa hampo kwenye orodha ya mataifa ambayo raia wake wataingia huku watakavyo, lazima tuwapime nyie na hiyo kwa sisi wananchi imetosha.

Biashara za ndege ni mambo la kiuchumi na ni kitu kinaweza kuboreshwa siku zijazo au tuharibiane kabisa na kumwaga mboga na unga, maana ikumbukwe tuliwahi kufungiana mipaka baina ya Kenya na Tanzania na kila mtu akaishi kivyake, na hamna aliyekufa.

Lakini kwa sasa afya yetu ndio jambo la msingi, mbaki huko kwanza hadi hali itulie, na kila mmoja wenu anayeng'ang'ania kuja lazima awe tayari kupimwa.
 
Back
Top Bottom