Tatizo ya Ukimwi ni kuwa hao siyo wadudu ila VIRUS. Kuwaondoa Virus mwilini ni kasheshe.
Inabidi waje wagundue Anti Virus ambao wataingizwa mwilini na kuwashambulia.
Mfano ni ugonjwa wa KANSA ambao na wenyewe ni VIRUS. Juzijuzi wametibu mtu kwa kumwingizia Virus waliokuwa modified wa Ukimwi na jamaa akapona. Kilichotokea hapo ni kuwa hao Virus wa Ukimwi walikuwa kama ANTI VIRUS na wakawashambulia Virus wa Kansa na mtu akapona.
Labda wawabadili Virus wa Kanza na waanze kuwatumia kuwala Virus wa ukimwi?!?!?! Ngoja wataalamu wa IT na Uganga waje hapa watupe mwanga zaidi kwa hili.
Ila msianze ngono nzembe sasa maana kuna magonjwa mengine mengi tu yanauwa na hujui bei ya hiyo dawa itakuwaje.