Ufaransa wadai kugundua dawa ya ukimwi/vvu

Ufaransa wadai kugundua dawa ya ukimwi/vvu

bulama

JF-Expert Member
Joined
Dec 13, 2012
Posts
561
Reaction score
135
Kwa habari nilizopata jioni ya leo kutoka vision FM ni kwamba wafaransa wamegundua tuba ya VVU na tayari watu 14 waishapona. Habari hii isije hararisha ngono zembe.
 
Hakuna ugonjwa usiokua na dawa!pepopunda iliua 1/3 ya watu duniani lakini dawa ilikuja patikana
 
Nikiwa nimepumzika kwangu baada ya kazi nzito ndo nikasikia hiyo habari njema

badilisha basi pale uandike.....halalisha.......ulichoandika kinanifanya nifikirie kitu kingine........
 
Tatizo ya Ukimwi ni kuwa hao siyo wadudu ila VIRUS. Kuwaondoa Virus mwilini ni kasheshe.

Inabidi waje wagundue Anti Virus ambao wataingizwa mwilini na kuwashambulia.

Mfano ni ugonjwa wa KANSA ambao na wenyewe ni VIRUS. Juzijuzi wametibu mtu kwa kumwingizia Virus waliokuwa modified wa Ukimwi na jamaa akapona. Kilichotokea hapo ni kuwa hao Virus wa Ukimwi walikuwa kama ANTI VIRUS na wakawashambulia Virus wa Kansa na mtu akapona.

Labda wawabadili Virus wa Kanza na waanze kuwatumia kuwala Virus wa ukimwi?!?!?! Ngoja wataalamu wa IT na Uganga waje hapa watupe mwanga zaidi kwa hili.

Ila msianze ngono nzembe sasa maana kuna magonjwa mengine mengi tu yanauwa na hujui bei ya hiyo dawa itakuwaje.
 
Da wajameni me chichemi ila aids jamani acheni tuuu kwani kazi ipo tuu!

Ila mungu ni mkubwa atasaidia tuuu kila la heli wagunduzi hivi vipi wajerumani nao?

Me ninavyo jua mfaransa akianza kutangaza dawa yake mmarekani atakwambia yeye ndio anadawa kali na nzuli kuliko zote za hiv
 
Tatizo ya Ukimwi ni kuwa hao siyo wadudu ila VIRUS. Kuwaondoa Virus mwilini ni kasheshe.

Inabidi waje wagundue Anti Virus ambao wataingizwa mwilini na kuwashambulia.

Mfano ni ugonjwa wa KANSA ambao na wenyewe ni VIRUS. Juzijuzi wametibu mtu kwa kumwingizia Virus waliokuwa modified wa Ukimwi na jamaa akapona. Kilichotokea hapo ni kuwa hao Virus wa Ukimwi walikuwa kama ANTI VIRUS na wakawashambulia Virus wa Kansa na mtu akapona.

Labda wawabadili Virus wa Kanza na waanze kuwatumia kuwala Virus wa ukimwi?!?!?! Ngoja wataalamu wa IT na Uganga waje hapa watupe mwanga zaidi kwa hili.

Ila msianze ngono nzembe sasa maana kuna magonjwa mengine mengi tu yanauwa na hujui bei ya hiyo dawa itakuwaje.

kwani KANSA nayo ni infection? Nayo pia inasababishwa na pathogens? Siyo kwamba ni chembe chembe za mwili huasi utaratibu na kuamua kuishi milele na kugawanyika/kuongezeka bila mpango?
 
Back
Top Bottom