Ufaransa watazidiwa stratejia katika vita vya uchumi dhidi ya Urusi?

Ufaransa watazidiwa stratejia katika vita vya uchumi dhidi ya Urusi?

jingalao

JF-Expert Member
Joined
Oct 12, 2011
Posts
36,197
Reaction score
29,717
Niger inageuka kuwa kete muhimu ya vita vya kiuchumi katikati ya mataifa nguli na yenye misuli duniani.
Viashiria ni kwamba sera za mfaransa Africa zimetikiswa ndani ya wiki hii ambapo Niger anaenda kumkataa mfaransa kama mshirika wa kihistoria kiuchumi.Jambo ambalo linaenda kutishia uchumi wa ufaransa uliokuwa unategemea makoloni yake ya zamani.

Ufaransa anaumizwa katika kipindi kigumu kwani almost makoloni yake yote yamemtupa mkono huku urusi akihisiwa kumkandamiza kistratejia. Je Ufaransa atapata msaada kutoka umoja wa Ulaya???

Italy kwa upande mwingine amechukizwa na uzembe wa mfaransa unaopelekea wakimbizi wa kiuchumi kutoka Africa kuendelea kumiminika huko Italy...huu ni mparanganyiko mkubwa sana unaoashiria vita vya tatu vya dunia.

Nigeria amechelewa kushtukia hii game akikurupuka nchi itagawanyika mara tatu

Urusi ameamua kukinukisha kila kona ya dunia ili NATO itulie. Chonde Chonde kwa Tanzania....huu ni wakati wa kuboresha Sera yetu muhimu ya kutofungamana na yoyote...ndio sera bora ya muda wote.

KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA!!
 
Niger inageuka kuwa kete muhimu ya vita vya kiuchumi katikati ya mataifa nguli na yenye misuli duniani.
Viashiria ni kwamba sera za mfaransa Africa zimetikiswa ndani ya wiki hii ambapo Niger anaenda kumkataa mfaransa kama mshirika wa kihistoria kiuchumi.Jambo ambalo linaenda kutishia uchumi wa ufaransa uliokuwa unategemea makoloni yake ya zamani.

Ufaransa anaumizwa katika kipindi kigumu kwani almost makoloni yake yote yamemtupa mkono huku urusi akihisiwa kumkandamiza kistratejia. Je Ufaransa atapata msaada kutoka umoja wa Ulaya???

Italy kwa upande mwingine amechukizwa na uzembe wa mfaransa unaopelekea wakimbizi wa kiuchumi kutoka Africa kuendelea kumiminika huko Italy...huu ni mparanganyiko mkubwa sana unaoashiria vita vya tatu vya dunia.

Urusi ameamua kukinukisha kila kona ya dunia ili NATO itulie. Chonde Chonde kwa Tanzania....huu ni wakati wa kuboresha Sera yetu muhimu ya kutofungamana na yoyote...ndio sera bora ya muda wote.

KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA!!
Ulaya na Marekani nina wafagilia sana, maana wamenifaa kwa dhiki, ila wana mambo ya Kisenge sana.
Mambo yanapokuwa yametulia yanajitokeze makundi ya kutetea aina yote ya ushenzi kama vile mbwa kuwa na haki zaidi ya binaadam, ushoga na usagaji, utoaji mimba n.k.
Upande wa Russia na China wanakuja wanakuchekea wakijifanya marafiki wa kweli huku nchini mwao wameweka misingi yote migumu kabisa kwenu waafrika kuweza kuishi kule na ku find peace, ila kwenye jukwaa la kimataifa wanawaigizieni kuwa ni wenzenu.
Hapo unaona bora ya wazungu ukiwa unajitambua na akili kichwani utaishi nao vyema tu, lakini hizo nchi hautaweza.
 
Anachokifanya urusi kwa sasa ni kumkatia Marekani na machoko wenzake supply ya mahitaji muhimu ikiwamo mafuta na uranium.

Kuna story kuwa marekani anategemea kutumia technology ya umeme kuendesha mitambo na magari, hivi mnafahamu umeme unazalishwa na nini?! [emoji23][emoji23][emoji23]

Urusi kwa kifupi amewashika pabaya Western homosexuals. Amekamata mataifa yote ambayo yana ukuaji mzuri kiuchumi na kuyapa msaada wa kijeshi na kitechnology kimya kimya.

Tazama China, tazama North Korea, tazama Iran, na sasa tazama Niger inaanza kuwekwa vizuri.

Marekani na washirika wake wamefikia tamati ya ubabe wanaelekewa kuburutwa.
 
Russia hawezi akaendesha vita nyingine nje ya Ukraine, Ulaya Magharibi vita vyao vitapigwa na Waafrika, wanatafuta nchi ya kuweka Askari wa miguu tu
 
Russia hawezi akaendesha vita nyingine nje ya Ukraine, Ulaya Magharibi vita vyao vitapigwa na Waafrika, wanatafuta nchi ya kuweka Askari wa miguu tu
Russia anaweza,na anafanya through Wagner. Kama alivyofanya kule Syria.
 
Ndo alichoamua kufanya sasa hivi.Unafikiri Wagner kule Centrafrique,Mali,Burkina Bé wanafanya kazi ya ulinzi bure ?Serikali inawalipa Wagner na wanachukua dhahabu,Almas na natural ressources zingine bureeee.
Russia anatafuta resources Africa?
 
Sasa Russia yupo Centrafrique tokea 2018.Maisha ya wananchi yamebadilika?Hawakimbilii tena France?Nini kimebadilika pale Bangui zaidi walichofanikiwa ni kumlinda Rais asifanyiwe coup d'état kwa kuyazuia majeshi ya waasi kuteka Bangui.
Ndicho kilichompeleka.
Na kafanikiwa...
 
Anachokifanya urusi kwa sasa ni kumkatia Marekani na machoko wenzake supply ya mahitaji muhimu ikiwamo mafuta na uranium.

Kuna story kuwa marekani anategemea kutumia technology ya umeme kuendesha mitambo na magari, hivi mnafahamu umeme unazalishwa na nini?! [emoji23][emoji23][emoji23]

Urusi kwa kifupi amewashika pabaya Western homosexuals. Amekamata mataifa yote ambayo yana ukuaji mzuri kiuchumi na kuyapa msaada wa kijeshi na kitechnology kimya kimya.

Tazama China, tazama North Korea, tazama Iran, na sasa tazama Niger inaanza kuwekwa vizuri.

Marekani na washirika wake wamefikia tamati ya ubabe wanaelekewa kuburutwa.
Bado sn
 
Russia anatafuta resources Africa?
Unafikiri anatafuta nini?Ila kweli Waafrica nani kawarooooooga?.Unafikiri anafanya kazi ya hasara?Anakupa ulinzi bure????Nenda Centrafrique ndo utajua Russia anafanya nini pale.
 
Ndicho kilichompeleka.
Na kafanikiwa...
Sasa kumbe na yeye ni faida kwa kikundi kimoja tu kilichopo madarakani.Ila wananchi wasio familia na marafiki wa aliyeko madarakani. Moto ni ule ule.
 
Unafikiri anatafuta nini?Ila kweli Waafrica nani kawarooooooga?.Unafikiri anafanya kazi ya hasara?Anakupa ulinzi bure????Nenda Centrafrique ndo utajua Russia anafanya nini pale.
Si kazi ya Bure nafahamu, ila Kusema Kwamba Russia anatafuta resources rn.
Nitashangaa.
Markets, Allies, Puppets na kuwakatia West chain Ya Supply ya resources.
Ndicho anachofanya Russia.
Kuhusu resources they have in Abundance kwao.
 
Back
Top Bottom