Ufaransa watazidiwa stratejia katika vita vya uchumi dhidi ya Urusi?

Ufaransa watazidiwa stratejia katika vita vya uchumi dhidi ya Urusi?

Si kazi ya Bure nafahamu, ila Kusema Kwamba Russia anatafuta resources rn.
Nitashangaa.
Markets, Allies, Puppets na kuwakatia West chain Ya Supply ya resources.
Ndicho anachofanya Russia.
Kuhusu resources they have in Abundance kwao.
Wewe dunia hii hakuna mtu anaetosheka,hata kama wanavyo kwao,watataka kuongeza kutoka kwingine. Wenzako wanafikiria miaka 100 ijayo .
 
Wewe dunia hii hakuna mtu anaetosheka,hata kama wanavyo kwao,watataka kuongeza kutoka kwingine. Wenzako wanafikiria miaka 100 ijayo .
Madam tutaenda Kwa facts au mtindo huu unaoenda nao sasa?
First tunakubaliana kuwa wanaagenda yao, tunachotofautiana ni namna Unaview hiyo Agenda na mie nnavyoiona.
Njoo na hoja tueleweshane.
 
Sera yetu ya NAM ndio inatulinda ...bado BRICS sio mshirika mwenye uwezo wa kuaminiwa na bado nchi yetu haina muscles za kumkataa NATO.
Uoga tu mbona uganda anawakataa usa anachimba mikwara ya vikwazo kwa uganda na watu wamekaza
 
Ndo alichoamua kufanya sasa hivi.Unafikiri Wagner kule Centrafrique,Mali,Burkina Bé wanafanya kazi ya ulinzi bure ?Serikali inawalipa Wagner na wanachukua dhahabu,Almas na natural ressources zingine bureeee.
hela za kuwapa hawana ndio maana wanachukuwa wanachoweza wao wanatumia resources zao kukulinda
 
Niger inageuka kuwa kete muhimu ya vita vya kiuchumi katikati ya mataifa nguli na yenye misuli duniani.
Viashiria ni kwamba sera za mfaransa Africa zimetikiswa ndani ya wiki hii ambapo Niger anaenda kumkataa mfaransa kama mshirika wa kihistoria kiuchumi.Jambo ambalo linaenda kutishia uchumi wa ufaransa uliokuwa unategemea makoloni yake ya zamani.

Ufaransa anaumizwa katika kipindi kigumu kwani almost makoloni yake yote yamemtupa mkono huku urusi akihisiwa kumkandamiza kistratejia. Je Ufaransa atapata msaada kutoka umoja wa Ulaya???

Italy kwa upande mwingine amechukizwa na uzembe wa mfaransa unaopelekea wakimbizi wa kiuchumi kutoka Africa kuendelea kumiminika huko Italy...huu ni mparanganyiko mkubwa sana unaoashiria vita vya tatu vya dunia.

Nigeria amechelewa kushtukia hii game akikurupuka nchi itagawanyika mara tatu

Urusi ameamua kukinukisha kila kona ya dunia ili NATO itulie. Chonde Chonde kwa Tanzania....huu ni wakati wa kuboresha Sera yetu muhimu ya kutofungamana na yoyote...ndio sera bora ya muda wote.

KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA!!
Sawa ndg.J.lao
 
Sasa Russia yupo Centrafrique tokea 2018.Maisha ya wananchi yamebadilika?Hawakimbilii tena France?Nini kimebadilika pale Bangui zaidi walichofanikiwa ni kumlinda Rais asifanyiwe coup d'état kwa kuyazuia majeshi ya waasi kuteka Bangui.
Central Africa Republic inasikitisha sana. CAR ndiyo ilinifanya niichukie Ufaransa kuliko maelezo wangese wale.
Anzia Bangui ndiyo mji mkuu wa nchi lakini ni kama Lindi iliyo changamka, una mandhari mzuri sana inaypewa uhai na mto Ubangi (Bangi) unaopita kwenye mji huo. Ni mji mkongwe ulioanzishwa na Wafaranza mwaka 1889 kwa umri wa mji huo na ile status ya mji mkuu, hauwezi ukaamini kwa jinsi ulivyo.
Nenda Bamingui, mpakani na Chad,huu mji una mvua za kutosha, misitu, pia mbuga za wanyama, na wana ardhi nzuri kwa kilimo lakini kilimo chao ni cha kujikimu kwa chakula pia kwa wachache angalau kujenga nyumba ya bati. Fika mpaka Sobo, birao mpakani na Dafur, mji umebaki na mahame tu kutokana na vita, ukiwa kule ni kama upo Chipogolo iliyopo Mpwapwa tofauti ni mahame. Nenda Nana Mambere mji safi kabisa wenye kila.
Sogeasogea kama vile unataka kuelekea Cameroon, unakutana na mkoa wa Nana Mambere. Huu badala ya kuwa busy na shughuli za ufugaji na Kilimo, umegeuzwa kuwa mkoa wa Kijeshi, wanajeshi kila mahala, kuanzia wa UN Rwanda na wengineo. Wanajichotea tu madini, CAR ina madini ya kila aina, kuanzia Manganese, dhahabu, uranium, iron ore, copper, almas n.k. Mara nyingi wananchi wakikutwa wanafanya shyghuli za maendeleo kama kilimo na ufugaji huvamiwa na mifugo kuibwa au kuuawa au mazao kuharibiwa na wao kujeruhiwa vibaya. Hii yote ni katika kuwajengea wananchi hofu ya kutumia ardhi yao kufanya shughuli za kimaendeleo na badala yake waishie kuwa manamba tu.

Turudi Bangui, it's very interesting ukikutana na vijana wa Bangui ambaonwana exposure, wengi plans zao hazipo kuendelea kubaki nchini, wengi plans zao ni kwenda Ufaransa, and Ufaransa ameweka vigezo na masharti nafuu sana kwa vijana wa CAD kuingia nchini mwao. Yote hiyo ni mipango ya Ufaransa kuilemaza CAD ikose strong backbone ya vijana wa kuipigania na kuiendeleza ili aendelee kui exploit.
Wanasiasa wa CAD na viongozi wao huandaliwa Paris, ingawa rais wa sasa aliamua kuomba msaada Russia na Putin akampatia Wagner na Wlishaanza kuingia kule. France analitumia sana Jeshi la Rwanda kule CAD, hata huku kwetu ilikua ni Plan ya France kuwapeleka Rwanda kule Capo Delgado. France alijificha nyuma ya European Union kwamba wansipa tender Rwanda kwenda kusimamia Amani Msumbiji, kule behind ilikua Rwanda awe anawa backup wale magaidi ili waanza kutusumbua. Mama alipoingia na kwenda France, deal la PK likabuma.
France ni nchi ya kishenzi sana, ni nchi ambayo binafsi nimeifuta katika nchi ambazo nilitakiwa kutembelea na nitakazotakiwa kwenda, hata mazoea na raia wa ufaransa huwa siyataki.
Kuna siku nilimtamkia msichana wa Kifaransa kuwa kuliko kumla Mfaransa, masturbation is the best option.
Wafaransa, Warusi wote ni Mafala tu.
 
Asante Kwa shule hii
Central Africa Republic inasikitisha sana. CAR ndiyo ilinifanya niichukie Ufaransa kuliko maelezo wangese wale.
Anzia Bangui ndiyo mji mkuu wa nchi lakini ni kama Lindi iliyo changamka, una mandhari mzuri sana inaypewa uhai na mto Ubangi (Bangi) unaopita kwenye mji huo. Ni mji mkongwe ulioamzishwa na Wafaranza mwaka 1889 kwa umri wa mji huo ma ile syayis ya mji mkuu, hauwezi ukaamini kama ni mkongwe kiasi hicho.
Nenda Bamingui, mpakani na Chad,huu mji una mvua za kutosha, misitu, pia mbuga za wanyama, na wana ardhi nzuri kwa kilimo lakini kilimo chao ni cha kujikimu kwa chakula pia kwa wachache angalau kujenga nyumba ya bati. Fika mpaka Sobo, birao mpakani na Dafur, mji umebaki na mahame tu kutokana na vita, ukiwa kule ni kama upo Chipogolo iliyopo Mpwapwa tofauti ni mahame. Nenda Nana Mambere mji safi kabisa wenye kila.
Sogeasogea kama vile unataka kuelekea Cameroon, unakutana na mkoa wa Nana Mambere. Huu badala ya kuwa busy na shughuli za ufugaji na Kilimo, umegeuzwa kuwa mkoa wa Kijeshi, wanajeshi kila mahala, kuanzia wa UN Rwanda na wengineo. Wanajichotea tu madini, CAR ina madini ya kila aina, kuanzia Manganese, dhahabu, uranium, iron ore, copper, almas n.k. Mara nyingi wananchi wakikutwa wanafanya shyghuli za maendeleo kama kilimo na ufugaji huvamiwa na mifugo kuibwa au kuuawa au mazao kuharibiwa na wao kujeruhiwa vibaya. Hii yote ni katika kuwajengea wananchi hofu ya kutumia ardhi yao kufanya shughuli za kimaendeleo na badala yake waishie kuwa manamba tu.

Turudi Bangui, it's very interesting ukikutana na vijana wa Bangui ambaonwana exposure, wengi plans zao hazipo kuendelea kubski nchini, wengi plans zao ni kwenda Ufaransa, and Ufaransa ameweka v8gezo na masharti nafuu sana kwa vijana wa CAD kuingia nchini mwao.
Wanasiasa wa CAD na viongozi wao huandaliwa Paris, ingawa rais wa sasa aliamua kuomba msaada Russia na Putin akampatia Wagner na Wlishaanza kuingia kule. France analitumia sana Jeshi la Rwanda kule CAD, hata huku kwetu ilikua ni Plan ya France kuwapeleka Rwanda kule Capo Delgado. France alijificha nyuma ya European Union kwamba wansipa tender Rwanda kwenda kusimamia Amani Msumbiji, kule behind ilikua Rwanda awe anawa backup wale magaidi ili waanza kutusumbua. Mama alipoingia na kwenda France, deal la PK likabuma.
France ni nchi ya kishenzi sana, ni nchi ambayo binafsi nimeifuta katika nchi ambazo nilitakiwa kutembelea na nitakazotakiwa kwenda, hata mazoea na raia wa ufaransa huwa siyataki.
Kuna siku nilimtamkia msichana wa Kifaransa kuwa kuliko kumla Mfaransa, masturbation is the best option.
Wafaransa, Warusi wote ni Mafala tu.
 
Niger inageuka kuwa kete muhimu ya vita vya kiuchumi katikati ya mataifa nguli na yenye misuli duniani.
Viashiria ni kwamba sera za mfaransa Africa zimetikiswa ndani ya wiki hii ambapo Niger anaenda kumkataa mfaransa kama mshirika wa kihistoria kiuchumi.Jambo ambalo linaenda kutishia uchumi wa ufaransa uliokuwa unategemea makoloni yake ya zamani.

Ufaransa anaumizwa katika kipindi kigumu kwani almost makoloni yake yote yamemtupa mkono huku urusi akihisiwa kumkandamiza kistratejia. Je Ufaransa atapata msaada kutoka umoja wa Ulaya???

Italy kwa upande mwingine amechukizwa na uzembe wa mfaransa unaopelekea wakimbizi wa kiuchumi kutoka Africa kuendelea kumiminika huko Italy...huu ni mparanganyiko mkubwa sana unaoashiria vita vya tatu vya dunia.

Nigeria amechelewa kushtukia hii game akikurupuka nchi itagawanyika mara tatu

Urusi ameamua kukinukisha kila kona ya dunia ili NATO itulie. Chonde Chonde kwa Tanzania....huu ni wakati wa kuboresha Sera yetu muhimu ya kutofungamana na yoyote...ndio sera bora ya muda wote.

KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA!!
Sisi tuko na Marekani wavaa nepi au nakosea
 
IIi ujitoe kwa Mabeberu lazima kuwe na Option, bila Russia au China ku rise hatujitoa

Central Africa Republic inasikitisha sana. CAR ndiyo ilinifanya niichukie Ufaransa kuliko maelezo wangese wale.
Anzia Bangui ndiyo mji mkuu wa nchi lakini ni kama Lindi iliyo changamka, una mandhari mzuri sana inaypewa uhai na mto Ubangi (Bangi) unaopita kwenye mji huo. Ni mji mkongwe ulioamzishwa na Wafaranza mwaka 1889 kwa umri wa mji huo ma ile status ya mji mkuu, hauwezi ukaamini kwa jinsi ulivyo.
Nenda Bamingui, mpakani na Chad,huu mji una mvua za kutosha, misitu, pia mbuga za wanyama, na wana ardhi nzuri kwa kilimo lakini kilimo chao ni cha kujikimu kwa chakula pia kwa wachache angalau kujenga nyumba ya bati. Fika mpaka Sobo, birao mpakani na Dafur, mji umebaki na mahame tu kutokana na vita, ukiwa kule ni kama upo Chipogolo iliyopo Mpwapwa tofauti ni mahame. Nenda Nana Mambere mji safi kabisa wenye kila.
Sogeasogea kama vile unataka kuelekea Cameroon, unakutana na mkoa wa Nana Mambere. Huu badala ya kuwa busy na shughuli za ufugaji na Kilimo, umegeuzwa kuwa mkoa wa Kijeshi, wanajeshi kila mahala, kuanzia wa UN Rwanda na wengineo. Wanajichotea tu madini, CAR ina madini ya kila aina, kuanzia Manganese, dhahabu, uranium, iron ore, copper, almas n.k. Mara nyingi wananchi wakikutwa wanafanya shyghuli za maendeleo kama kilimo na ufugaji huvamiwa na mifugo kuibwa au kuuawa au mazao kuharibiwa na wao kujeruhiwa vibaya. Hii yote ni katika kuwajengea wananchi hofu ya kutumia ardhi yao kufanya shughuli za kimaendeleo na badala yake waishie kuwa manamba tu.

Turudi Bangui, it's very interesting ukikutana na vijana wa Bangui ambaonwana exposure, wengi plans zao hazipo kuendelea kubski nchini, wengi plans zao ni kwenda Ufaransa, and Ufaransa ameweka v8gezo na masharti nafuu sana kwa vijana wa CAD kuingia nchini mwao.
Wanasiasa wa CAD na viongozi wao huandaliwa Paris, ingawa rais wa sasa aliamua kuomba msaada Russia na Putin akampatia Wagner na Wlishaanza kuingia kule. France analitumia sana Jeshi la Rwanda kule CAD, hata huku kwetu ilikua ni Plan ya France kuwapeleka Rwanda kule Capo Delgado. France alijificha nyuma ya European Union kwamba wansipa tender Rwanda kwenda kusimamia Amani Msumbiji, kule behind ilikua Rwanda awe anawa backup wale magaidi ili waanza kutusumbua. Mama alipoingia na kwenda France, deal la PK likabuma.
France ni nchi ya kishenzi sana, ni nchi ambayo binafsi nimeifuta katika nchi ambazo nilitakiwa kutembelea na nitakazotakiwa kwenda, hata mazoea na raia wa ufaransa huwa siyataki.
Kuna siku nilimtamkia msichana wa Kifaransa kuwa kuliko kumla Mfaransa, masturbation is the best option.
Wafaransa, Warusi wote ni Mafala tu.
Ni kosa la wana CAR wenyewe.Wanapenda Paris kuliko Bangui.Kweli Assimilation policy iliwaingia tokea mababu zao mpaka vizazi na vizazi.Walitakiwa waungane na wajenge nchi yao.Ila ndo hivyo .Hata Rais wa sasa nae ni wale wale tu.Sema yeye kabadili tu Master. Kweli Bangui hata Mwanza mjini kwetu ni pazuri mno tena mno. ILa ki Giografia nchi yao ni nzuri sana na imebarikiwa sana in terms of natural ressources. Wana kila kitu kama ulivyosema na wana Tropical rainforest wanafanana sana na DRC Congo.Ila ndo hivyo majority ni masikini wa kutupwa.
 
Back
Top Bottom