Ufaransa yaipa Tanzania mkopo wa Tsh. Bilioni 361.7 kuzalisha umeme wa jua

Tunachukua mikopo mingine ambayo tija hata haionekani,,,,kuanza kutenga hela kwa ajili ya umeme wa jua kwa kweli ni suala la aibu achilia mbali kufikia hatua kuchukua mkopo kwa ajili ya hilo
 
Hizi pesa zitatafunwa tu,maana system ya wapigaji ndo imeshaanza kurudishwa kwenye system ,mdogomdogo.hakuna jipya tena.wazilete tu hizo wapigaji wakishagawana ,watawaajiri vijana wetu mtaani watakapoanza kujenga mijengo yao.
 
K
Tunachukua mikopo mingine ambayo tija hata haionekani,,,,kuanza kutenga hela kwa ajili ya umeme wa jua kwa kweli ni suala la aibu achilia mbali kufikia hatua kuchukua mkopo kwa ajili ya hilo
Kuna wanaofananisha mkopo wa SGR na mkopo wa kuzalisha umeme wa Jua. Hadi uchaguzi mkuu 2025 ndio ccm itatuletea tunayemuona anafaa Ila kwa sasa hali sio. Kila Kona mikopo mikopo mikopo mikopo.
 
Deni la Taifa linakwenda kufikia trilioni 100 by next week.
 
Waafrika tumelogwa na nani? Yaani mnakopa kwa ajili ya Umeme? Kwani hatuna Umeme? Viongozi kopeni kwa mambo serious unaona hata wakulima wanawashangaa mmechemka! Ningekuwa Mwenye mamlaka hiyo akieomba huo mkopo angekuwa Ndani na kulipa yeye mwenyewe binafsi siyo wananchi wa tz.
 
Masharti ni yapi? Au free hiyo? Kweli?
 
Deni la Taifa limefikia trillion 71, Bado tunaenda kukopa fedha za kuzalisha umeme wa jua na kurekebidha grid ya Taifa? Hii awamu inaendeshwa na awamu ya nne.
Hatuwezi kuogopa kukopa kwaajili ya maendeleo kwa sababu tuna deni kubwa never..
 
good move. nishati ya uhakika ni chachu kwa maendeleo endelevu ya taifa letu
 
Sijaelewa huo mkopo unamashiko gani kwa taifa hivi hii serikali ya hawamu hii inatutakia mema kweli mbona mnatuuza kwa Bei ya jumla
 
Huo mkopo uchukueni, na kwakuwa tutaulipa basi wasitupangie cha kuufanyia, uende wote kwenye Rufiji hydropower.
 
Sindiyo hapo mkuu, yaani nchi ya pili kutoka chini tunafikiria maumeme
Ikibidi hizo hela zijenge kiwanda cha juisi ya mananasi watu tupate ujira
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…