FRANCIS DA DON
JF-Expert Member
- Sep 4, 2013
- 38,920
- 44,970
Baada ya kujifungia ndani kwa muda mrefu, wafaransa wameamua kama kufa na wafe tu, lockdown haivumiliki tena, wame ‘ease’ lockdown ili kunusuru uchumi.
Source: BBC TV usiku huu
Watu wakipanga foleni ya kupewa msaada wa wali maharage huko Paris, Ufaransa.
Source: BBC TV usiku huu
Watu wakipanga foleni ya kupewa msaada wa wali maharage huko Paris, Ufaransa.