Avriel
JF-Expert Member
- Jun 25, 2017
- 4,950
- 5,378
Mimi nawasubiri waganda ipo siku si nyingi watakurupuka toka ndani kama panya.
Yani nawa zoom naona kabisa hawa jamaa siku wanatoka tunaweza kushuhudia maajabu mengi sana
Sent using Jamii Forums mobile app
Rwanda tuna Siku ya 5 Leo lockdown imeshaondolewa. .