Ufaransa yasalimu amri na kuondoa lockdown, ni baada ya uchumi kuyumba vibaya

Ufaransa yasalimu amri na kuondoa lockdown, ni baada ya uchumi kuyumba vibaya

Kwani Lockdown ilikuwa ya milele ?Wamefanya hivyo sababu maambukizi yanapungua. Na Bar,Clubs,restaurants,makanisa,misikiti vinaendelea kufungwa.
Wamefungua shule za msingi tu. Na hawatasita ku Lockdown tena kama maambukizi yakiongezeka.
 
Hebu nitajie nchi hata moja ambayo maambukizi yalipungua halafu yakaongezeka tena.
Taja nchi ambazo ziliweka lockdown halafu ikaondoa lockdown kwanza ili tuziangalie, na pia nani akupe taarifa kwamba eti curve imepanda tena, kwani wao wajinga? Logic implies kama awali nchi zote zilikuwa na 0 cases, means lazima kulikuwa na mgonjwa wa kwanza (patient number 1) katika kila nchi ambae ndie amesababisha mlipuko wote katika nchi husika, kwahiyo kama lockdown inaondolewa pakiwa bado pana hata mgonjwa mmoja tu? Ni kwanini mlipuko usirudi tena one way or the other? Then lockdown haikuwa na maana ila cha maana ni kuchukua tahadhari zinazotolewa na wataalam
 
Lockdown haiwezi kuwa ya milele. Lockdown ina mwisho wake. Sasa ndio mwisho wake umefika. Inaondolewa. Sasa nyie mashabiki mnashangilia eti mmepata points! Crazy!
Logic implies ni either uweke lockdown hadi wagonjwa wafike 0 kabisa (practically impossible) au usiweke kabisa, kwasababu kila nchi hapo awali ilikuwa na 0 cases, kwa hiyo lazima kulikuwa na yule mgonjwa wa kwanza kabisa ambae ndiye alisababisha mlipuko wote katika nchi husika, sasa kuondoa lockdown wakati kuna hata mgonjwa mmoja tu amebaki means the whole lockdown was use less, maana huyo mmoja ataaambukiza tena na lockdown itahitajika tena, sasa kwanini tu wasifuate maagizo ya kujikinga na kuchukua tahadhari badala ya lockdown?
 
Kwani Lockdown ilikuwa ya milele ?Wamefanya hivyo sababu maambukizi yanapungua. Na Bar,Clubs,restaurants,makanisa,misikiti vinaendelea kufungwa.
Wamefungua shule za msingi tu. Na hawatasita ku Lockdown tena kama maambukizi yakiongezeka.
Logic implies ni either uweke lockdown hadi wagonjwa wafike 0 kabisa (practically impossible) au usiweke kabisa, kwasababu kila nchi hapo awali ilikuwa na 0 cases, kwa hiyo lazima kulikuwa na yule mgonjwa wa kwanza kabisa ambae ndiye alisababisha mlipuko wote katika nchi husika, sasa kuondoa lockdown wakati kuna hata mgonjwa mmoja tu amebaki means the whole lockdown was use less, maana huyo mmoja ataaambukiza tena na lockdown itahitajika tena, sasa kwanini tu wasifuate maagizo ya kujikinga na kuchukua tahadhari badala ya lockdown? Maana itachukuwa lockdown nyingine tena ya miezi kadhaa ili kushusha tena curve, huo ni uwendawazimu, hakuna uchumi unaweza kustahimili hiyo ‘yoyo’ effect
 
Logic implies ni either uweke lockdown hadi wagonjwa wafike 0 kabisa (practically impossible) au usiweke kabisa, kwasababu kila nchi hapo awali ilikuwa na 0 cases, kwa hiyo lazima kulikuwa na yule mgonjwa wa kwanza kabisa ambae ndiye alisababisha mlipuko wote katika nchi husika, sasa kuondoa lockdown wakati kuna hata mgonjwa mmoja tu amebaki means the whole lockdown was use less, maana huyo mmoja ataaambukiza tena na lockdown itahitajika tena, sasa kwanini tu wasifuate maagizo ya kujikinga na kuchukua tahadhari badala ya lockdown? Maana itachukuwa lockdown nyingine tena ya miezi kadhaa ili kushusha tena curve, huo ni uwendawazimu, hakuna uchumi unaweza kustahimili hiyo ‘yoyo’ effect
Lockdown imesaidia sana kupunguza maambukizi. Lockdown inasaidia kuongeza social distance ambayo ndo factor number moja katika kuzuia propagation ya virus.
Maisha baada ya Lockdown yatakuwa sawa na maisha kabla ya Lockdown.
Kwanza kila raia atatakiwa kuvaa mask akipanda usafiri wa umma.Pia kwa mfano darasani kutakuwa na wanafunzi 15 maximum kwa kila darasa.
As I told you social gatherings zingine zimeendelea kufungwa,wafanyakazi wanaoweza kufanya kazi via online wataendelea kufanya hivyo. Hivyo basi siyo kwamba ile situation ya kama vile hamna Coronavirus inarudi.
 
Lockdown imesaidia sana kupunguza maambukizi. Lockdown inasaidia kuongeza social distance ambayo ndo factor number moja katika kuzuia propagation ya virus.
Maisha baada ya Lockdown yatakuwa sawa na maisha kabla ya Lockdown.
Kwanza kila raia atatakiwa kuvaa mask akipanda usafiri wa umma.Pia kwa mfano darasani kutakuwa na wanafunzi 15 maximum kwa kila darasa.
As I told you social gatherings zingine zimeendelea kufungwa,wafanyakazi wanaoweza kufanya kazi via online wataendelea kufanya hivyo. Hivyo basi siyo kwamba ile situation ya kama vile hamna Coronavirus inarudi.
Umeelewa kweli nilichoandika? Msaada wa lockdown unakua permanent kama ikiweka to the last patient, Sasa hizo hatua za social distancing na kukaa 15 kwanini zisinhefanyika kabla ya lockdown ambayo inaathiri uchumi irrepairably?! Kama kweli hizo hatua za social gathering kupigwa marufuku na social distancing ndio zinatatua tatizo kwanini wasingezitumia kabla ya lockdown bila kuweka lockdown as we are doing, whats the point of a lockdown then?
 
Umeelewa kweli nilichoandika? Msaada wa lockdown unakua permanent kama ikiweka to the last patient, Sasa hizo hatua za social distancing na kukaa 15 kwanini zisinhefanyika kabla ya lockdown ambayo inaathiri uchumi irrepairably?! Kama kweli hizo hatua za social gathering kupigwa marufuku na social distancing ndio zinatatua tatizo kwanini wasingezitumia kabla ya lockdown bila kuweka lockdown as we are doing, whats the point of a lockdown then?
Lockdown imezuia almost vifo 60,000.The point ya Lockdown ni kusaidia kutoparalayse mfumo wa huduma ya afya. Kwa sababu wagonjwa wangekuwa wengi hadi hospital na watumishi wa afya wangezidiwa then mfumo ungecolapse.
 
Lockdown imezuia almost vifo 60,000.The point ya Lockdown ni kusaidia kutoparalayse mfumo wa huduma ya afya. Kwa sababu wagonjwa wangekuwa wengi hadi hospital na watumishi wa afya wangezidiwa then mfumo ungecolapse.
Kwahiyo hii social distancing na kukaa wanafunzi 15 haina maana yeyote basi, kama ingekuwa na maana ingefanyika badala ya lockdown, sivyo?, unless otherwise tuvitegemee hivyo vifo 60,000/= kutokea maana lockdown imeondolewa sasa, na probably wakati lockdown inawekwa hapakuwa na as many case as zilizopo sasa japo zimeshuka toka kwenye peak ila bado ni nyingi kulinganisha na cases zilizokuwepo wakati wa kuweka lockdown, so tunatoa lockdown now when there are more case than zilizokuwepo wakati tunaweka, where is the logic?
 
Hata hapa nilipo wamelegeza tulipewa siku 21 zikaisha wakaongeza wiki mbili zikaisha. Tukapewa wiki moja tutoke nje na baadhi ya shughuli ziendelee ila leo ndio mwisho wa hiyo wiki tuliyopewa lakini kwa jinsi ninavyoona hapa tena hakuna lock down. Mwendo mpela mpela mana watu washachoka.
 
Hakuna mtu anakomalia. Uamzi ni wa Jiwe. Alivyoamua ndivyo hivyo. Point - don't use Europeans to justify stupid decisions you make. Mmekomaa na Wazungu na Wachina kufungua lockdown. Kwani waliwaambia wangekaa katika lockdown mpaka mwisho wa dunia? Tafuteni point nyingine. Hii siyo point.
Wenye hela wameishindwa Lockdown, wewe kanyeramumo unakomalia utawalisha nini watu?
 
Wewe ni nani mpaka uwaamulie hivyo? What are you trying to justify? You do not need to justify anything. The lockdowns in China and Europe have achieved objectives and are now being removed. Wapi imendikwa kuwa mlikubaliana kuwa lockdown zitaondolewa siku wagonjwa watakapokuwa 0? Au unataka mawazo yako hapo Tandika yaendeshe China na nchi za Ulaya?
Hiki ndicho ninachojaribu kusema, kutoa lockdown means wagonjwa ni 0 kabisa, otherwise the whole lockdown was a waste of time, curve itapanda na watakaa tena lockdown?
 
Hawaaminiki kabisa UCHINA mkuu Si
We unaamini data za waChina? Kuna kipindi walibanwa wakarevise idadi ya vifo ikawa mara 2 ya waliyotangaza, kumbuka, unahitaji mgonjwa mmoja tu (patient zero) ili ugonjwa kulipuka tena upya au zaidi ya mwanzo
Kama walivyo rivise UK hapajuzi wakawa wanaongoza EUROPE nzima MKUU ama ?!

Sent using My COVID-19
 
Acha uongo... hicho kipindi unachosema walibana hizo data walivokuja kutoa waliweka wazi kwamba ni za wagonjwa ambao hawakuhesebiwa na most walifia majumbani.

Halafu eti unasema tusiziamini data za china. Kwa hiyo tuziamini data za ccm?
Nahisi anaweza akakuelewa kama hatataka kua mbishi.....

Sent using My COVID-19
 
Back
Top Bottom