FRANCIS DA DON
JF-Expert Member
- Sep 4, 2013
- 38,920
- 44,970
Kufunga nchi sio masikharaDar is Revenue Centre.
Baada ya kulegeza curve inarudi tena juu halafu tuna rudi tena lockdown miezi mitatu alafu curve ikianza kwenda chini tunalegeza tena hivyo hivyo, si ndio?Nchi nyingi zinaanza kulegeza lakini ni baada ya kuona curve inakwenda chini sio hapa kwetu tunaficha visa vya corona.
Hiyo njaa yake siyo ya kitotoMimi nawasubiri waganda ipo siku si nyingi watakurupuka toka ndani kama panya.
Yani nawa zoom naona kabisa hawa jamaa siku wanatoka tunaweza kushuhudia maajabu mengi sana
Sent using Jamii Forums mobile app
Nchi nyingi zinaanza kulegeza lakini ni baada ya kuona curve inakwenda chini sio hapa kwetu tunaficha visa vya corona.
Malaya apande cheo awe mke sasa sio kesiKuna mshikaji mmoja wakati lockdown inatangazwa alikuwa Yuko Ndani na Malaya, Leo Malaya ana mimba na tayari ana amegomea kwa mshikaji
Lazima apande tu...Malaya apande cheo awe mke sasa sio kesi
Unapoondoa lockdown wakati ugonjwa haujaisha ina maana gani, kumbuka unahitaji mgonjwa mmoja tu (patient zero) kusababisha mlipuko mwingine kama wa awali au zaidiKwani walisema lockdown ingekuwa ya milele? Nyie watu wa TBC mbona mnatumia nguvu sana ku-justify kutokwepo lockdown Tanzania?
Ni kweli na wanaopanda ndege tu...Lazima apande tu...
Halafu eti brother COVID-19 anauaga wanaokaa kwenye AC tu? Ni kweli?
Baada ya kulegeza curve inarudi tena juu halafu tuna rudi tena lockdown miezi mitatu alafu curve ikianza kwenda chini tunalegeza tena hivyo hivyo, si ndio?
Kama wametimiza miezi 3 huyo ni mke lkn kama hawa jatimiza huyo ni mteja wake wa kudumuKuna mshikaji mmoja wakati lockdown inatangazwa alikuwa Yuko Ndani na Malaya, Leo Malaya ana mimba na tayari amegomea kwa mshikaji, ungekuwa ni wewe ungefanyaje?