Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwahiyo mkuu siwezi kupata Kozi nzur ya kusoma za sayansiHiyo combi ndo naiona leo asee
Acha kusoma kozi za kijinga,soma bachelor of science with Education (Physics) ,hiyo utasota tu maana ww SI mwalimu sio mkemiaNilikuwa naomba uelewa kuhusu Kozi ya BSc in physics and chemistry inayotolewa udsm kama naweza kusoma. Ufaulu wangu nimepata one ya sita, physics B, chemistry A na education C
Kwahiyo mkuu naweza nikapata nafasi ya kusoma udsm Kozi hiyo ya BSc with education(physics)Acha kusoma kozi za kijinga,soma bachelor of science with Education (Physics) ,hiyo utasota tu maana ww SI mwalimu sio mkemia
Kwahiyo mkuu naweza nikapata nafasi ya kusoma udsm Kozi hiyo ya BSc with education(physicsAcha kusoma kozi za kijinga,soma bachelor of science with Education (Physics) ,hiyo utasota tu maana ww SI mwalimu sio mkemia
Kwani wewe chuo umekalili UDSM tu, jaribu vyuo mbalimbali asee.Kwahiyo mkuu naweza nikapata nafasi ya kusoma udsm Kozi hiyo ya BSc with education(physics
Jaribu Bachelor of Science with Education chuoni utasoma physics na chemistry.Kwahiyo mkuu siwezi kupata Kozi nzur ya kusoma za sayansi
Angalia kitabu Cha tcuKwahiyo mkuu naweza nikapata nafasi ya kusoma udsm Kozi hiyo ya BSc with education(physics
Harafu one ya sita unaenda kusoma ualimu tafuta kozi ngumu ukasome ma Engineering ukoNilikuwa naomba uelewa kuhusu Kozi ya BSc in physics and chemistry inayotolewa udsm kama naweza kusoma. Ufaulu wangu nimepata one ya sita, physics B, chemistry A na education C
Tatizo mkuu sijasoma mathHarafu one ya sita unaenda kusoma ualimu tafuta kozi ngumu ukasome ma Engineering uko
Naimani inawezekana kijana, pitia TCU guide book ya mwaka huu kusoma vigezoNilikuwa naomba uelewa kuhusu Kozi ya BSc in physics and chemistry inayotolewa udsm kama naweza kusoma. Ufaulu wangu nimepata one ya sita, physics B, chemistry A na education C
Hii ni kombi gani?Nilikuwa naomba uelewa kuhusu Kozi ya BSc in physics and chemistry inayotolewa udsm kama naweza kusoma. Ufaulu wangu nimepata one ya sita, physics B, chemistry A na education C
Hana Mathematics, engineering hawezi kupata.Hii ni kombi gani?
Kwanini usisome engineering? Au unataka soma hayo makozi yasiyo na kichwa wala miguu badae uanze kujuta?
Usisome hiyo, wanasema inasumbua sana kufaulu alafu haina ajira wala kujiajiri. Hivyo chagua kusoma Bsc with education (Phys & Chem).Nilikuwa naomba uelewa kuhusu Kozi ya BSc in physics and chemistry inayotolewa udsm kama naweza kusoma. Ufaulu wangu nimepata one ya sita, physics B, chemistry A na education C
Aachane na education..asome bachelor of chemistry.Usisome hiyo, wanasema inasumbua sana kufaulu alafu haina ajira wala kujiajiri. Hivyo chagua kusoma Bsc with education (Phys & Chem).
Sasa kijana ulisoma hiyo combi ukiwa na lengo la kusomea nini? Si bora ungesoma ile kombi yenye hata computer?Tatizo mkuu sijasoma math
Kuna kozi kamaHana Mathematics, engineering hawezi kupata.