Ufaulu huu wa kidato cha nne hadi ngapi unaenda kidato cha tano,na ngapi kusomea ualimu wa primary?

Kwa sasa ku-fail Ni option ya mwanafunzi mwenyewe na dent kipanga aliyeishia Form three(3) kwa shule kama Feza,Marian au zile St.lazima apige Division 2.

Check Alama walizotumia:

A 75-100
B+ 60-74
B. 50-59
C. 40-49
D. 30-39
E. 20-29
F. 0-19

Mpangilio mpya wa MADARAJA:

Daraja. Points

l. 7--17
ll. 18--24
lll. 25--31
lV. 32--( )
O. ( )--49.

Hapo kwenye mabano patatolewa ufafanuzi na Kawambwa mwenyewe maana Kuna Div 4.44 na Div 0.44 PIA Kuna Div 4.42,Div 0.42.etc

Hebu cheki matokea ya MANYUNYU SEC S0271.ni ile list ya kwanza (green color) hii Ni sample Tu lkn shule zote nilizopitia wameMULUGOLIZE hivyo.
 
Naomba watueleweshe,mtu ana D,E,D.C,C,E,D,sasa huyu kijana anaenda form V? Ana div IV ya 35

Huyo anaendana na mdogo wangu hata sijui cha kumshauri
Wenye ufahamu watusaidie
 
matokeo ya sasa sijui yapoje sister angu ana D E D B C C F ana four ya 34.sijui kama sifa ya kwenda advance
 
wana count points vp?
 

O inaanzia 41 wew
 
Mi sijaelewa wanavyo panga madaraja. Mwingine kapata point 42 kawekewa 0 na mwingine 42 kapewa div 4. Hapa ndo nin?
 
 
mi sina hata cha kusema kama vip gomeni kama mwaka jana yasahihishwe mara ya pili kuna au fv wachukue c tatu na d tatu kwa masomo yote
 
for government school lazima uwe na division 3 yenye pass zisizopungua tano ambamo ndani yake lazima uwe na credit 3 ...!
credit include : A-C
pass include :A-D

example
C,B,C,D,D ana sifa ya kwenda gorvenment high school as long as ana division 3
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…