Ufaulu wa elimu ya Tanzania unanipa mashaka sana kila kukicha

Ufaulu wa elimu ya Tanzania unanipa mashaka sana kila kukicha

chizcom

JF-Expert Member
Joined
Jul 31, 2016
Posts
8,680
Reaction score
18,035
Napata wasi wasi na elimu hii ya tanzania kila kukicha ikichezewa na wizara ya elimu.

Miaka ya nyuma ilikuwa ni kazi sana kuona kundi kubwa la ufaulu ukilinganisha na leo. Kuanzia shule ya msingi mpaka sekondari.

Sababu ambazo zinanipa mashaka ni kwamba watoto wanamatokeo mazuri ila hawajui walichokichosoma mfano. Kama mnabisha waulizeni maswali rafiki waliosoma shuleni tu kama wata wajibu .
 
Napata wasi wasi na elimu hii ya tanzania kila kukicha ikichezewa na wizara ya elimu.

Miaka ya nyuma ilikuwa ni kazi sana kuona kundi kubwa la ufaulu ukilinganisha na leo.Kuanzia shule ya msingi mpaka sekondari.

Sababu ambazo zinanipa mashaka ni kwamba watoto wanamatokeo mazuri ila hawajui walichokichosoma mfano.Kama mnabisha waulizeni maswali rafiki waliosoma shuleni tu kama wata wajibu .
Ukitaka kuua Taifa lolote lile Ua kwanza Mfumo wake wa Elimu, automatically Taifa hilo litakuwa limekufa.

Tanzania kuna kifo Cha Mfumo wa elimu.
People have been Certificated but not educated.
 
Napata wasi wasi na elimu hii ya tanzania kila kukicha ikichezewa na wizara ya elimu.

Miaka ya nyuma ilikuwa ni kazi sana kuona kundi kubwa la ufaulu ukilinganisha na leo.Kuanzia shule ya msingi mpaka sekondari.

Sababu ambazo zinanipa mashaka ni kwamba watoto wanamatokeo mazuri ila hawajui walichokichosoma mfano.Kama mnabisha waulizeni maswali rafiki waliosoma shuleni tu kama wata wajibu .
Ndugu yangu, (Umeniwahi🙂 Nimekaa leo na mimi nikijiuliza swali hilo hilo kuwa kwani elimu ya Tanzania sasa ikoje (kwa mantiki ya kuwa imerahisishwa kwa kisasi gani.
Nakumbuka miaka ya 80's huko let say shule yenye graduate 200 wa Form 4 unaweza kuta Div 1 may be 13,, Div 2 labda 35, Div 3 may be 50 (and still selected to Form 5), Div 4 - 80 (these are still selected to go to colleges) and may be 20 ( Div 0)

Siku hizi naona Class ya graduate 150 unakuta 75-80 Div 1, halafu Div 2 - 50, Div 3 -25, Div 4 =6-8, Na Div 0 (Nothing🙂

Hii trending imekuwa ikinipa shida sana kuielewa kwamba tatizo ikuwa ni sisi watoto wa siku hizo ama hawa ma GenZ ndio wenye uelewa mpana kushinda sisi🙂?

Lakini pia cha ajabu ni kuwa watoto waofutiwa mitihani trending yao ni kubwa sana na hii ni (indicator) kwamba things are not right somewhere,...It looks like cheating during exams has been very rampantly.

My two cents contribution.
 
Hizo private zina siri nyingi mkuu! Usiwe mwepesi wa kuamini hayo matokeo! Ninakijua ninachokisema! Hizo ni biashara na biashara ni matangazo, na matangazo ni gharama! Mtoto analipa milion 8 alafu asipate one???
Private sectors wanatoa sana hongo kwa watumishi wa serikali kuanzia TCRA, TRA, mpaka NECTA. Hakuna penye afadhali mkuu..
 
Zamani mlikuwa mnasomea vibatari, siku hizi umeme upo. Madogo wanasoma kwa raha.

Zamani shule zilikuwa mbovu, walimu wachache, vitabu duni, lakini siku hizi materials kila mahala, youtube, internet, soft copies nakadhalika.

Halafu nyie zamani mlikuwa mnaenda shuleni peku peku huku kaptula imetoboka kwenye makalio unaswampa tu, siku hizi watoto makalio yao huwezi kuyaona kabisa.

Kanisa moja takatifu la mitume.

Cc: johnthebaptist Lamomy Extrovert
 
Napata wasi wasi na elimu hii ya tanzania kila kukicha ikichezewa na wizara ya elimu.

Miaka ya nyuma ilikuwa ni kazi sana kuona kundi kubwa la ufaulu ukilinganisha na leo.Kuanzia shule ya msingi mpaka sekondari.

Sababu ambazo zinanipa mashaka ni kwamba watoto wanamatokeo mazuri ila hawajui walichokichosoma mfano.Kama mnabisha waulizeni maswali rafiki waliosoma shuleni tu kama wata wajibu .
Hakuna elimu ni mauzauza tu, nani kiongozi anayesomesha mwanae shule za serikali? Siasa imeua elimu na nobody cares tutaendelea kubaki nyuma.
 
Zamani mlikuwa mnasomea vibatari, siku hizi umeme upo. Madogo wanasoma kwa raha.

Zamani shule zilikuwa mbovu, walimu wachache, vitabu duni, lakini siku hizi materials kila mahala, youtube, internet, soft copies nakadhalika.

Halafu nyie zamani mlikuwa mnaenda shuleni peku peku huku kaptula imetoboka kwenye makalio unaswampa tu, siku hizi watoto makalio yao huwezi kuyaona kabisa.

Kanisa moja takatifu la mitume.

Cc: johnthebaptist Lamomy Extrovert
Kuna shule kata sekondari kijijini nimeangalia yani wamepata devision 1 na 2.cha kushangaza ilikuwa mshika mkia
 
Hakuna elimu ni mauzauza tu, nani kiongozi anayesomesha mwanae shule za serikali? Siasa imeua elimu na nobody cares tutaendelea kubaki nyuma.
Halafu labda mnaangalia shule chache za private tu ndio wanafaulu sana,

Lakini huku kwenye shule za serikali kuna MASIFURI ya kutosha.

Wanaofeli ni wengi kuliko wanaofaulu....

Hata mpwa wa Extrovert amepata DIVISHENI FOO
 
Zamani mlikuwa mnasomea vibatari, siku hizi umeme upo. Madogo wanasoma kwa raha.

Zamani shule zilikuwa mbovu, walimu wachache, vitabu duni, lakini siku hizi materials kila mahala, youtube, internet, soft copies nakadhalika.

Halafu nyie zamani mlikuwa mnaenda shuleni peku peku huku kaptula imetoboka kwenye makalio unaswampa tu, siku hizi watoto makalio yao huwezi kuyaona kabisa.

Kanisa moja takatifu la mitume.

Cc: johnthebaptist Lamomy Extrovert
Una akili sana
 
Kanunue maandazi ushushie, uzuri niliscreenshot
Screenshot_20250123-195454~2.png
 
Back
Top Bottom