Costa yuko vizuri sana. Uzuri wa pambano nahisi haukuonekana sababu Adesanya Style yake ya kupigana imemtoa kwenye reli costa.
Wewe mtu anakimbia kimbia, akija paa leading leg yako anaichakaza kwa teke. Mara tena paaa mpka nati za mguu zinalegea. Mara head kick za kushtukiza halafu huyo kachomoka. Yaani kajamaa Adesanya kanaudhi sana. Kila ukikaweka kwenye kumi na nane zako kanachoropoka.
Sasa hayo yooote hapo yanaudhi sana kwa opponent wako. So it's more of a mind game fight utaipata kutoka kwa Adesanya. Ukishakaa nje ya reli sasa ndio kajamaa kanakumaliza.
Kiukweli sipendi kabisa style yake ya kupigana Adesanya sema I have always been racist. Nnapoona black fighters, I become their fans no matter what.