UFISADI: $350 million stolen from Tanzanians in Vodacom scandal

UFISADI: $350 million stolen from Tanzanians in Vodacom scandal

Nimetembelea hiyo blog iliyotoa hii habari, sijaona habari yoyote tofauti na zile zilizokuwa zinatoka kwenye magazeti ya ThisDay na kulikoni enzi zile. Kablog kamejaa kashfa za tanil somaiya tu! Hii habari imejaa hearsay na vitu vingi humo ndani haviwezekani. Kumbukeni kuwa huko SA vodacom ni listed company, haiendeswhi kienyeji enyeji kama mwandishi anavyodai kuwa CEO anaweza kupiga fraud kama hili kimyakimya.

Ndugu yangu humu ndani kuna watu wamejaa mihemko tuu,wao wakisikia tu kitu hawafikirii mara mbili wanakurupuka tu na kuanza kumwaga ujinga wao.Yani wao akili zao wameshikiwa na watu wengine.
 
Tatizo la Watanzania tunapenda sana kujadili habari za kimajungu majungu.

Hii habari ni fake na haina ukweli. Akili ya kuamiwa chaganya na ya kwako
 
Wale mapacha lowasa na rostam bado wapo kazini wanaiba mchana kweupee......,......lowasa anaendelea kuifilisi hii nchi wkt tunaangalia kabisa! Watz tumelaaniwa
 
Wenzako wameleta hoja hapo kuonyesha jinsi wizi ulivyofanyika,na katika article yote hiyo sijaona mahali CCM imetajwa.Kampuni zinazohusishwa na fraud ni zile ambazo si Rostam wala wenzake wanahusika.Kama Rostam ni shareholder wa vodacom ina maana kwa upande mmoja yeye ni mwathirika wa wizi huo maana wamemkosesha mapato.Ulisikia wapi mtu akajiibia mwenyewe?muda mwingine tuwe tunaufikirisha ubongo wetu kabla ya kukurupuka kuongelea vitu bila kutafakri.

Labda nikuulize katika hizo kampuni zilizotajwa,shivacom,planetel.Alphatel,wamiliki wake umewasoma hapo juu au umesoma juujuu tu?

Nimesoma kila kitu mkuu.. usifikiri nimeandika from nowhere!! narudia tena CCM haikwepeki hapo wala tusishangae hela hizo zikatumika kwa kampeni mwaka huu. Pole kwa mapenzi yako kwa CCM ila CCM ndio chanzo cha madudu yote na ufisadi unaoendelea nchi hii.. Yes they are responsible kwani tumewapa dhamana ya kutuongoza na kulinda rasilimali zetu!!! Ni chini ya uongozi wa CCM tu unaweza kuona madudu kama haya.. EPA,RADAR, MEREMETA/KAGODA, ESCROW, MabehewaTRL etc etc etc kuna hata Twiga kupandishwa ndege mchana kweupe wachilia mbali watu kuwinda kwa vibali vya viongozi wakuu wa hicho chama chako pendwa!!!

Am out
 
tanzania ni kisiwa cha amani, nyie mnaoleta habari kama hizi hamna nia njema, hata tukilala njaa au tukiibiwa ni sawa tu kama tutabaki na amani yetu, miaka 51 ya muungano sio mchezo, hii ndio ccm hata upepo huu utapita tu!

Wewe Kichwa chako kinauhalo wa wiki nzima
 
tanzania ni kisiwa cha amani, nyie mnaoleta habari kama hizi hamna nia njema, hata tukilala njaa au tukiibiwa ni sawa tu kama tutabaki na amani yetu, miaka 51 ya muungano sio mchezo, hii ndio ccm hata upepo huu utapita tu!

Halafu eti miongoni mwao atoke rais. Ni lazima atauza nchi. Mungu tuepushe na majanga.
 
Asee hawa jamaa tutaanza kuwa xenophobia sasa.. teh teh teh wanatufanya sie kama bibi yao..

hii kauli yako mbaya sana na ni hatari...umechukuliwa mke na muhindi nini tehe tehe tehe maana una target race za watu
 
Hivi nchi hii inaelekezwa wapi kiuchumi? Ina maana serikali haijui kinachoendelea vodacom au nao wanapata mgao kutoka kwa wahujumu na wezi wa mali ya umma.
Serikali inamwogopa huyo mhindi na mwarabu wa Tabora? Wachukue hatua basi au tutawaangusha 2015 october maana tumechoka kukaa na kuongozwa na wezi. Natamani ifike siku wafungwe wote kweny gereza lao ili wizi uishe. Takukuru na tiss amkeni taifa linaporwa mno.
 
Naomba kueleweshwa wameibiwa watanzania au wameibiwa Vodacom? Aliyenunua vocha za jero jero hakupata airtime? Nafikiri systems za Vodacom ni ovyo mno kiasi unaweza kupoteza revenue kubwa kiasi hiki na wasijue. The only plausible explanation ni kuwa anayetakiwa kujua naye ni mhusika kanufaika.
 
Hii ndio tz bwana..ukipata nafas kula haswaaa
 
Tutaambiwa na ikulu kwamba pesa haikuwa ya serikali na watu wataondoka na mpunga wao poa tu!
Dawa ni kuondoa hii mijitu ya ccm ili tunusuru nchi yetu. Otherwise watajilinda kwa kutumia kodi yetu thru polisi na tutauana vya kutosha! Tuamue kwa busara kabla ya matatizo kutukuta
 
Kwa style hiyo nchi haitopiga hatua kamwe mkuu

Nan sasa aipigishe atua??watu wanakula hakuna kinachofanyika juu yao!!mm nikipata nafas full kula yaan mpaka vitukuu waikute hio mali...
 
Nan sasa aipigishe atua??watu wanakula hakuna kinachofanyika juu yao!!mm nikipata nafas full kula yaan mpaka vitukuu waikute hio mali...

Inabidi hii system ya Magamba wote waondoke ikiwezekana wateketezwe tu wazee wao hadi watoto zao yaani tunakimaliza kiini choteeee cha mafisadi
 
Inabidi hii system ya Magamba wote waondoke ikiwezekana wateketezwe tu wazee wao hadi watoto zao yaani tunakimaliza kiini choteeee cha mafisadi

Apo mkuu..umeongea point...lazima ccm watoke la sivyo maendeleo baadae sana...
 
Back
Top Bottom