Subiri povu la ndumilakuwili Wa ufipa street a.k.a nyumbu....wanafiki at their best!Ufumbuzi utapatikana leo baada ya Edo na familia yake including uyo Fred kurudi CCM?
Edo ameishi CDM takriban miaka mitatu na ushee atujawahi kusikia vocha jero jero wala buku buku.
Kama tunataka kupambana na ufisadi tusiwe na double standard huu sasa undumiwakuwili unatokea wapi?
Sent using Jamii Forums mobile app
Utakuwa haujitambui.Hii iliandaliwa na timu Maembe kabla ya Uchaguzi mkuu wa 2015 kwa leo hii waliopoona mambo yanawaendea mrama kisiasa wameanza kuyumba na kuona ni bora kufukua makaburi ya uongo.
Niweke hoja kwani hapa tuko mahakamani?...Weka hoja.
Acha umbeya wa mtaa wa sitaUtakuwa haujitambui.
Teh teh teh!Mimi nimefukuwa ama ni RA na Maghufuli?
Kwahiyo mmerudisha waendelee kupiga! Zile zilizoliwa ni makaburi. Kwahiyo wananchi hawaruhisiwi kuuliza kuhusu matumizi ya kodi zao. Ndiyo maana kama nchi imewashinda acheni uchaguzi huru! Si unakumbuka ni kwanini kule kwenye ile thread ya bank M nilikufananisha na kina jingalao, kipara kipya, MISULI, Lizaboni Laki Si Pesa na wengineo humu? Mashahidi wangu Kalamu1 na Mag3 .
We kada mkuu.Who cares! Nani kakwambia nina chama? Utakuwa umeanza kunisoma leo humu!
Chadema waliuzima huu ufisadi? Ngoja wadau wake wenye kufahamu vyema ni kwa jinsi gani waliuzima ufisadi huu!Teh teh teh!
Ila narudia tena sina chama chochote mkuu.
Isipokuwa naunganisha dot thread ya EPA na hii hapa kuhusu hao uliwataja leo nimegundua hasira za Edo na familia yake including uyo Fred kurudi CCM mkuu.
Surprisingly alivyokuwa CDM kwanini huu ufisadi ulizimwa mkuu?
Sent using Jamii Forums mobile app
Binafsi mi naona watu waliowajinga ni wale waliomkaribisha mtu waliemwita fisadi aje agombee urais. Ama pale ndio nikahakikisha kua siasa ni unafiki tu. Yaani mlikubali kabisa yule mlomwita fisadi agombee urais? Njaa hatari na pesa kiboko.mliuza utu na chama kwa hela tu. Leo karudi kwao mnaanza kufukua makaburiYamefichwa ama ni matokeo ya kuminya uhuru wa habari? We unadhani kupotea kwa Ben Saanane na wengine kuuwawa ni kwasababu gani? Ni ili wajinga kama wewe waendelee kubaki na ujinga wao wa wao waendelee kutafuna nchi.
No...adui #1 wa nchi hii ni ccm ...full stop!!Adui namba moja tz ni ufisadi!
Kama hauko mahakamani hapa unafanya nini sasa? Wewe jamaa bonge la msengerema.Niweke hoja kwani hapa tuko mahakamani?
Tena kumbe kuna mtu aliye resign? FaizaFoxy ulidhani ikiungwa ndo hoja itakufa eeh?😀
- Tenders resignation letter this morning
- Feared he may flee the country to avoid prosecution
- Sources reveal how Vodacom Tanzania MD met more than 10 times with Tanil Somaiya, Rostam Aziz to negotiate $5 million kickback
- Vodacom corporate affairs chief issues cover-up statement that back-fires
DAR ES SALAAM
VODACOM Tanzania's Managing Director, Rene Meza, has resigned over the $350 million (over 675 billion shillings) scandal involving the sale of pirate mobile phone vouchers to Tanzanians.
Sources inside Vodacom South Africa headquarters in Johannesburg and Vodacom Tanzania in Dar es Salaam confirmed that Meza tendered his resignation earlier today.
"I can confirm that Mr. Rene Meza resigned as Vodacom Tanzania MD effectively from this morning," an official close to the mobile phone company confirmed.
"Vodacom executives are currently holding crisis meetings to issue a public statement on Meza's exit."
Insiders say Meza has been under fire from the company's top executives for his role in the scandal where he is known to have received a $5 million bribe from the owner of Shivacom Group, Tanil Somaiya, to keep quiet about the fraud.
It has now been revealed that Meza secretly met at least 10 times with Somaiya and Rostam Aziz, a Vodacom Tanzania shareholder, to negotiate the bribe.
"It is feared that Mr Meza could flee the country after his resignation to avoid criminal prosecution over the matter," said another insider.
"Rostam and Tanil would also favour Meza's exit from the country because they can use him as a scapegoat and thwart any criminal investigation against them."
VODACOM'S COVER-UP ATTEMPT BACK-FIRES
As noted by a section of the Tanzanian media, Vodacom Tanzania issued a carefully-worded statement on 30 April 2015 denying the scandal.
However, the statement signed by Vodacom Tanzania's chief corporate affairs officer, Georgia Mutagahya, has spectacularly back-fired after the company unsuccessfully tried to play down the massive scandal.
In her statement, Ms. Mutagahya claimed the allegations of fraud and bribery against the company were "grossly inflated."
She also claimed that there was neither fraud nor a "multi-million dollar loss" suffered as a result of the scandal.
However, a Vodacom Tanzania letter dated 11 July 2012 to Shivacom Group terminating the contract (see below) clearly states that there was massive fraud in the printing, distribution and sale of pirate recharge vouchers by Shivacom.
The letter signed by Vodacom Tanzania's chief legal officer to Mr Tanil Somaiya, owner of Shivacom Group, also said Vodacom suffered huge financial losses from the fraud.
"It has been established that you have been fraudulently, and in total breach of the contract, producing duplicate pirate electronic recharge vouchers using pin numbers provided by Vodacom," Vodacom Tanzania's chief legal officer, Walarick Nittu, said in the letter to Tanil.
He added that Shivacom's acts of breach have caused "enormous business losses" to Vodacom Tanzania.
Meza and Ms. Mutagahya's cover-up attempt (pictured together above) has since failed to defuse the situation.
The Parliamentary Finance and Economic Affairs Committee has already ordered the Tanzania Revenue Authority (TRA) to submit a comprehensive report on how much taxes were evaded from the scandal.
There are also reports that the Tanzania Police Force and the Prevention and Combating of Corruption Bureau (PCCB) could soon launch parallel investigations.
SOURCE: Vodacom Tanzania MD Rene Meza resigns over $350 million scandal
UPDATE: May 11, 2015
Yanafidiwa mpaka leo!Hayo mabilioni yatafidiwa na sisi walalahoi..
Tangu kugundulika kwa ufisadi huo walianza kwa kupandisha bei za Vifurushi na kukata hela kwenye M-pesa na kwenye muda wa maongezi hata kama hujatumia unakuta pesa au muda wa maongezi umepungua!!!
Hapa kila siku wadau wanalalamika Ujambazi wa Vodacom lakini wenye mamlaka wamekaa kimya kana kwamba hawapo vile. Inashangaza
BACK TANGANYIKA
Mjinga sana wewe.Kama hauko mahakamani hapa unafanya nini sasa? Wewe jamaa bonge la msengerema.
Acha kulia lia.Binafsi mi naona watu waliowajinga ni wale waliomkaribisha mtu waliemwita fisadi aje agombee urais. Ama pale ndio nikahakikisha kua siasa ni unafiki tu. Yaani mlikubali kabisa yule mlomwita fisadi agombee urais? Njaa hatari na pesa kiboko.mliuza utu na chama kwa hela tu. Leo karudi kwao mnaanza kufukua makaburi
Watu wanakuambia ujibu kwa hoja wewe unaanza michezo ya kujitoa akili. Hovyo kweli wewe jamaa.Mjinga sana wewe.
Kwanini?
Hii habari haikuwataja kina Rostam ndiyo maana kina FaizaFoxy wakataka iungwe? Certainly kuna utofauti!
- Tenders resignation letter this morning
- Feared he may flee the country to avoid prosecution
- Sources reveal how Vodacom Tanzania MD met more than 10 times with Tanil Somaiya, Rostam Aziz to negotiate $5 million kickback
- Vodacom corporate affairs chief issues cover-up statement that back-fires
DAR ES SALAAM
VODACOM Tanzania's Managing Director, Rene Meza, has resigned over the $350 million (over 675 billion shillings) scandal involving the sale of pirate mobile phone vouchers to Tanzanians.
Sources inside Vodacom South Africa headquarters in Johannesburg and Vodacom Tanzania in Dar es Salaam confirmed that Meza tendered his resignation earlier today.
"I can confirm that Mr. Rene Meza resigned as Vodacom Tanzania MD effectively from this morning," an official close to the mobile phone company confirmed.
"Vodacom executives are currently holding crisis meetings to issue a public statement on Meza's exit."
Insiders say Meza has been under fire from the company's top executives for his role in the scandal where he is known to have received a $5 million bribe from the owner of Shivacom Group, Tanil Somaiya, to keep quiet about the fraud.
It has now been revealed that Meza secretly met at least 10 times with Somaiya and Rostam Aziz, a Vodacom Tanzania shareholder, to negotiate the bribe.
"It is feared that Mr Meza could flee the country after his resignation to avoid criminal prosecution over the matter," said another insider.
"Rostam and Tanil would also favour Meza's exit from the country because they can use him as a scapegoat and thwart any criminal investigation against them."
VODACOM'S COVER-UP ATTEMPT BACK-FIRES
As noted by a section of the Tanzanian media, Vodacom Tanzania issued a carefully-worded statement on 30 April 2015 denying the scandal.
However, the statement signed by Vodacom Tanzania's chief corporate affairs officer, Georgia Mutagahya, has spectacularly back-fired after the company unsuccessfully tried to play down the massive scandal.
In her statement, Ms. Mutagahya claimed the allegations of fraud and bribery against the company were "grossly inflated."
She also claimed that there was neither fraud nor a "multi-million dollar loss" suffered as a result of the scandal.
However, a Vodacom Tanzania letter dated 11 July 2012 to Shivacom Group terminating the contract (see below) clearly states that there was massive fraud in the printing, distribution and sale of pirate recharge vouchers by Shivacom.
The letter signed by Vodacom Tanzania's chief legal officer to Mr Tanil Somaiya, owner of Shivacom Group, also said Vodacom suffered huge financial losses from the fraud.
"It has been established that you have been fraudulently, and in total breach of the contract, producing duplicate pirate electronic recharge vouchers using pin numbers provided by Vodacom," Vodacom Tanzania's chief legal officer, Walarick Nittu, said in the letter to Tanil.
He added that Shivacom's acts of breach have caused "enormous business losses" to Vodacom Tanzania.
Meza and Ms. Mutagahya's cover-up attempt (pictured together above) has since failed to defuse the situation.
The Parliamentary Finance and Economic Affairs Committee has already ordered the Tanzania Revenue Authority (TRA) to submit a comprehensive report on how much taxes were evaded from the scandal.
There are also reports that the Tanzania Police Force and the Prevention and Combating of Corruption Bureau (PCCB) could soon launch parallel investigations.
SOURCE: Vodacom Tanzania MD Rene Meza resigns over $350 million scandal
UPDATE: May 11, 2015
Lofa tu wewe.Watu wanakuambia ujibu kwa hoja wewe unaanza michezo ya kujitoa akili. Hovyo kweli wewe jamaa.