UFISADI: $350 million stolen from Tanzanians in Vodacom scandal

UFISADI: $350 million stolen from Tanzanians in Vodacom scandal

Tulia wewe hapo shida ni CCM, CCM CCM, CCM...! Unafikiri hiyo scandal imepita hivihivi bila mikono michafu ya CCM na serikali yake? Rostam Alikua mweka hazina huko Magambani na shareholder mkubwa Vodacom, Tanil somaiya amehusishwa na deal nyingi zinazoitesa hii nchi ikiwemo RADAR... CCM wamo humo, Huyo Mwanasheria wake alishatimuliwa Uingereza Kufanya sheria kaja Tanzania hii ya Majizi ya CCM karuhusiwa Kupractice...Yes karuhusiwa kwa sababu maCCM yameamua kuifanya hii nchi corrupt kila mahali,....unajua Management board huko Vodacom ni kina nani? Fanya homework yako kisha urudi hapa kwanza hii muvie ndio imeanza... kaa mkao wa kula

Wenzako wameleta hoja hapo kuonyesha jinsi wizi ulivyofanyika,na katika article yote hiyo sijaona mahali CCM imetajwa.Kampuni zinazohusishwa na fraud ni zile ambazo si Rostam wala wenzake wanahusika.Kama Rostam ni shareholder wa vodacom ina maana kwa upande mmoja yeye ni mwathirika wa wizi huo maana wamemkosesha mapato.Ulisikia wapi mtu akajiibia mwenyewe?muda mwingine tuwe tunaufikirisha ubongo wetu kabla ya kukurupuka kuongelea vitu bila kutafakri.

Labda nikuulize katika hizo kampuni zilizotajwa,shivacom,planetel.Alphatel,wamiliki wake umewasoma hapo juu au umesoma juujuu tu?
 
Hapa anaetafutwa ni LOWASA tu, hakuna mwingine Urais huu, utamsababishia hata alieitunga mimba yake achunguzwe alitolea mbegu muda gani, ccm weeee kwisha habari yenu.
 
Wenzako wameleta hoja hapo kuonyesha jinsi wizi ulivyofanyika,na katika article yote hiyo sijaona mahali CCM imetajwa.Kampuni zinazohusishwa na fraud ni zile ambazo si Rostam wala wenzake wanahusika.Kama Rostam ni shareholder wa vodacom ina maana kwa upande mmoja yeye ni mwathirika wa wizi huo maana wamemkosesha mapato.Ulisikia wapi mtu akajiibia mwenyewe?muda mwingine tuwe tunaufikirisha ubongo wetu kabla ya kukurupuka kuongelea vitu bila kutafakri.

Labda nikuulize katika hizo kampuni zilizotajwa,shivacom,planetel.Alphatel,wamiliki wake umewasoma hapo juu au umesoma juujuu tu?

Usichangıe mada zınazohtaji advanced brain.Wewe nenda jukwaa la uhusiano na mapenzi.SHIVACOM NI YA NANI?
 
Kuna ufisadi zaidi ya huu ya mabilioni ya hela wanayokatwa wateja miaka nenda miaka rudi na wizara husika wanalijua hili ila nao kimya kwakuwa ni wanufaika wa wizi kwa vocha zetu.
Hawa jamaa ndio maana wanatumia pesa nyingi kuutaka urais wakijua wanaingia ikulu kufanya biashara. Hii timu ni ya kufilisi kabisa na kutupwa jela
 
Wenzako wameleta hoja hapo kuonyesha jinsi wizi ulivyofanyika,na katika article yote hiyo sijaona mahali CCM imetajwa.Kampuni zinazohusishwa na fraud ni zile ambazo si Rostam wala wenzake wanahusika.Kama Rostam ni shareholder wa vodacom ina maana kwa upande mmoja yeye ni mwathirika wa wizi huo maana wamemkosesha mapato.Ulisikia wapi mtu akajiibia mwenyewe?muda mwingine tuwe tunaufikirisha ubongo wetu kabla ya kukurupuka kuongelea vitu bila kutafakri.

Labda nikuulize katika hizo



ni wazi kuwa scandal iko kisiasa zaidi.hata jina la rostam kama limepachikwa tu.
ila mtunzi kajitahidi sana kutuwekekea manamba mengi ionekana kuna ukweli.
bilion 600 pesa ndefu sana,ingekuwa kweli ingeonekana siku nyingi na hata voda wangetetereka
 
Yaani hao Vodacom walikuwa hawafanyi reconciliation Ya mauzo Ya voucher na matumizi Ya wateja wao au ? Sijaaelewa au Ndio very sophiscated inside job ilihusika from finance dept to technical dept .

We hujaelewa story..soma tena
 
Wenzako wameleta hoja hapo kuonyesha jinsi wizi ulivyofanyika,na katika article yote hiyo sijaona mahali CCM imetajwa.Kampuni zinazohusishwa na fraud ni zile ambazo si Rostam wala wenzake wanahusika.Kama Rostam ni shareholder wa vodacom ina maana kwa upande mmoja yeye ni mwathirika wa wizi huo maana wamemkosesha mapato.Ulisikia wapi mtu akajiibia mwenyewe?muda mwingine tuwe tunaufikirisha ubongo wetu kabla ya kukurupuka kuongelea vitu bila kutafakri.

Labda nikuulize katika hizo



ni wazi kuwa scandal iko kisiasa zaidi.hata jina la rostam kama limepachikwa tu.
ila mtunzi kajitahidi sana kutuwekekea manamba mengi ionekana kuna ukweli.
bilion 600 pesa ndefu sana,ingekuwa kweli ingeonekana siku nyingi na hata voda wangetetereka

na hapo ninaposema watu wawe wanafikiria kidogo tu ndipo watoe mitazamo yao au malalamiko yao kuliko kuibuka tu na kuanza kuingiza watu wasiohusika na kuwachafua.
 
Hao ndio vodacom wazee wa jay million. Wanatoa milioni 100 kila siku na wenyewe mnaona kila siku wanamtangaza mshindi na sasa washafka watatu!!! Katika miezi miwili tu.
 
Usichangıe mada zınazohtaji advanced brain.Wewe nenda jukwaa la uhusiano na mapenzi.SHIVACOM NI YA NANI?

Sihitaji malumbano na wajinga,ambao siku zote akili zao wameshikiwa na watu wengine.go to hell
 
Mkuu unahasira umesanda njaa kali...watu wanapakua pilau la kuku ki ulaini we unashindia dagaa.
Sio zali la mentali bali Akili.

Kuna mtu aliwahi niambia, kama ww ni msomi wa viwango vya juu, usije ukalogwa ukaondoka bongo. Tumia maarifa na elimu yako kufanya biashara Tz. Nlitafakari sana yale maneno nikaona ni ukweli mtupu.

Kungekuwa na ukweli kama (angalau) ungekuwa na chembe ya maendeleo
 
Yaani hao Vodacom walikuwa hawafanyi reconciliation Ya mauzo Ya voucher na matumizi Ya wateja wao au ? Sijaaelewa au Ndio very sophiscated inside job ilihusika from finance dept to technical dept .

Nimejiuliza hilo swali sijapata jibu kweli. hiyo pesa wamekula wengi hapo Vodacom
 
Usichangıe mada zınazohtaji advanced brain.Wewe nenda jukwaa la uhusiano na mapenzi.SHIVACOM NI YA NANI?
Si ndo hapo mkuu! Hichi kijinga Nakapanya kinabishabisha kijingaa wakati hii ishu ndo inamfanya Lowassa amwage fedha za kuinunua ikulu kama kumwaga mchanga! Vijitu kama huyu Nakapanya dawa yao ni kuvinyongelea mbali! Na wakae wakijua kuwa Lowassa akiingia ikulu hii nchi haitatawalika na ndani ya siku chache tu kitaeleweka!
 
Last edited by a moderator:
Hapa serikali itasema ni fedha binasfi, hakuna makosa. Hata kama kuna kodi, TRA itaambiwa iwaandikie barua kuwataka walipe, na mambo yataishia hapo.Hii ndio TZ niijuayo
 
Wenzako wameleta hoja hapo kuonyesha jinsi wizi ulivyofanyika,na katika article yote hiyo sijaona mahali CCM imetajwa.Kampuni zinazohusishwa na fraud ni zile ambazo si Rostam wala wenzake wanahusika.Kama Rostam ni shareholder wa vodacom ina maana kwa upande mmoja yeye ni mwathirika wa wizi huo maana wamemkosesha mapato.Ulisikia wapi mtu akajiibia mwenyewe?muda mwingine tuwe tunaufikirisha ubongo wetu kabla ya kukurupuka kuongelea vitu bila kutafakri.

Labda nikuulize katika hizo



ni wazi kuwa scandal iko kisiasa zaidi.hata jina la rostam kama limepachikwa tu.
ila mtunzi kajitahidi sana kutuwekekea manamba mengi ionekana kuna ukweli.
bilion 600 pesa ndefu sana,ingekuwa kweli ingeonekana siku nyingi na hata voda wangetetereka
Hivi Shivacom bado ina-sustain???
Nyie wajinga1!
 
Nimetembelea hiyo blog iliyotoa hii habari, sijaona habari yoyote tofauti na zile zilizokuwa zinatoka kwenye magazeti ya ThisDay na kulikoni enzi zile. Kablog kamejaa kashfa za tanil somaiya tu! Hii habari imejaa hearsay na vitu vingi humo ndani haviwezekani. Kumbukeni kuwa huko SA vodacom ni listed company, haiendeswhi kienyeji enyeji kama mwandishi anavyodai kuwa CEO anaweza kupiga fraud kama hili kimyakimya.
 
Back
Top Bottom