UFISADI: $350 million stolen from Tanzanians in Vodacom scandal

UFISADI: $350 million stolen from Tanzanians in Vodacom scandal

Picha haimuoneshi Lowasa, bali mtoto wake anayeitwa Fred. Hata kama Fred Lowasa ndiye architect wa pesa chafu za mzee wake lakini ktk kadhia hii katajwa yeye Fred na si babaye.

Pia, kuhusu Chadema nafkiri post hii haina mlango wa kuingilia kwa Chadema. Anayway, kama hawakumhoji walikosea sana wao wanatakiwa kujua mtu wanayempa tiketi ya urais ubora na udhaifu wake kabla ya kumruhusu kugombania kiti cha urais.

Mambo yasiwe mengi, mengi yasiwe mambo
Mimi namzungumzia Fred Lowassa sio Edward Lowassa.

Kwano Fred hakuwa mwanachama wa CHADEMA?

Au kwa vile hakugombea uraisi hakupaswa kuhojiwa na chama?

Kama hakupaswa kuhojiwa huoni CCM watajitetea hivyo hivyo kwamba Fred na RA hawakuwa wagombea uraisi kupitia CHADEMA, Hivyo hawana wajibu wa kuwahoji au kuwawajibisha?
 
Wanajamvi,

Katika mwendelezo wangu wa kuishangaa serikali ya kifisadi ya ccm, haswa baada ya RA kukaribishwa pale ikulu, na baadaye akampeleka Lowassa, nimekutana na hii scandal nyingine ambayo iliweza kulipatia taifa letu hasara kubwa ya dola za kimarekani milioni 350($350), ambazo ni sawa na TZS 675B!

Waliohusika, pamoja na wengine, ni Rostam Aziz pamoja na Fred Lowassa ambaye ni motto wa Edward Lowassa. Wengine ni Peter Noni, Tanil Somaiya, Rene Meza, Dilip Kesaria! Ebu jisomee habari hii kutoka "whistleblower press"

voda-page00011.jpg

• Tycoons Tanil Somaiya & Rostam Aziz implicated in the scam
• Vodacom Tanzania MD Rene Meza receives $5 million bribe to keep silent
• Tax worth over 121.5 billion/- evaded in the deal
• Tanzania regulators, anti-graft bodies caught napping in massive fraud, which is bigger than EPA and Escrow scandals combined

A staggering $350 million (over 675 billion shillings) was stolen from Tanzanians in a massive scandal involving the sale of pirated electronic recharge vouchers from Vodacom Tanzania to customers.

The scam, which is bigger than the Bank of Tanzania’s infamous external payment arrears (EPA) and IPTL Tegeta escrow account scandals combined, involves Tanil Somaiya, a business tycoon behind several dubious deals in Tanzania, including the military radar transaction with Britain’s BAE Systems.

The production of the electronic recharge vouchers followed the signing of a contract between Vodacom Tanzania and Tanil’s Shivacom Group in 2007/08. This means that Shivacom acted both as a Vodacom super dealer and printer and supplier of electronic recharge vouchers, an obvious conflict of interest.

In the elaborate scandal, Tanil’s company, Shivacom Group, printed millions of pirated 500 shillings electronic recharge vouchers (Jero Jero) between 2008 and 2012 and colluded with other companies owned by Fred Lowassa (Alphatel) and TIB Development Bank Managing Director Peter Noni (Planetel) to distribute the vouchers across Tanzania.

Fred Lowassa is the director of Alphatel, a Vodacom super dealer, while Noni, a former senior Bank of Tanzania (BoT) official, also owns another Vodacom super dealer, Planetel.

Rostam Aziz, the biggest Tanzanian shareholder of Vodacom Tanzania, has also been implicated in the scandal due to his silence over the embezzlement of over 675 billion shillings.

Together, Shivacom colluded with Alphatel and Planetel to carry out the massive fraud involving the production, distribution and sale of pirate electronic recharge vouchers worth over 675 billion shillings without Vodacom’s knowledge until the scam was unearthed in 2012.

There was also rampant tax evasion in the scandal with Value Added Tax (VAT) worth more than 121 billion shillings evaded by Shivacom and its conspirators, which is a serious criminal offence.

Senior officials at Tanzania government regulatory and watchdog agencies such as the Tanzania Revenue Authority (TRA), the Tanzania Communications Regulatory Authority (TCRA) and the Prevention and Combating of Corruption Bureau (PCCB were either complicit in the scandal or were caught napping.

Shivacom alone distributed more than half of the fake recharge vouchers, while the other pirate vouchers were distributed by its conspirators — Alphatel and Planetel.
The “Jero Jero” vouchers are the most fast-moving electronic recharge vouchers in Tanzania, with Shivacom printing hundreds of millions of fake vouchers using pins provided by Vodacom Tanzania.

The scandal not only caused Vodacom Tanzania huge financial loss, it also resulted in the detrimental loss of customer confidence. This is partly attributed to Vodacom Tanzania losing its dominance in Tanzania’s mobile phone industry, with Airtel and Tigo now threatening to wrestle away the company’s market share.
Insiders say Vodacom Tanzania’s MD, Rene Meza, found out about the scandal after just arriving in Tanzania from Kenya to take up the position of Vodacom Tanzania managing director.

“Rene Meza confronted Tanil about the scandal and demanded a $10 million kickback to keep quiet. Tanil arrogantly told him to piss off, so Rene retaliated by instructing Vodacom’s legal counsel to write a letter to Shivacom to terminate the electronic recharge voucher agreement for breach of contract,” said a well-placed source.

“Tanil went to Vodacom South Africa’s Group CEO, Shameel, and gave him a bribe of $400,000. Shameel then instructed Vodacom Tanzania to settle the matter with Shivacom. Rene Meza finally settled for a $5 million bribe from Tanil and Vodacom paid Tanil hefty compensation for termination of the contract despite the obvious fraud.”

Vodacom Tanzania’s lawyers gave legal advice that the contract should be terminated and Shivacom should pay compensation to Vodacom for the fraud. However, after bribes exchanged hands, Shivacom ended being paid a hefty compensation by Vodacom despite perpetrating the massive fraud.
In all this scandal, Tanil used a Dar es Salaam-based lawyer, Dilip Kesaria, to respond to legal queries from Vodacom.

Kesaria, who was disbarred in the United Kingdom for malpractices but fraudulently allowed to operate as a lawyer in Tanzania, is the Principal at Kesaria & Company advocates.

The following is a chronology of key events in the massive 675 billion shillings fraud involving Vodacom Tanzania’s Jero Jero electronic recharge vouchers:

Key Facts and Figures
• 2008.
A 10-year agreement comes into effect for Shivacom Tanzania Limited to provide electronic recharge vouchers (EVD) to Vodacom Tanzania Limited. This means that Shivacom effectively played a dual role of being a Vodacom super dealer and EVD supplier in separate agreements.

• 2008-2012. The massive fraud committed by Shivacom over the 5-year period is worth more than $350 million (675 billion Tanzanian shillings), which is bigger than the Bank of Tanzania EPA and Tegeta Escrow account scandals combined. This fraud was done by Shivacom printing TZS 500 electronic recharge vouchers (Jero Jero) fraudulently and distributing them into the market without Vodacom’s knowledge.
Other Vodacom super dealers, including Alphatel and Planetel are also implicated in directly colluding with Shivacom to distribute pirate recharge vouchers.

• 31 July 2012. Vodacom Tanzania Ltd’s Chief Legal & Regulatory Officer writes a letter to Shivacom Tanzania Ltd to formally notify the company about breach of contract. This comes after Vodacom Tanzania Ltd discovered that Shivacom has been engaged in massive fraud over the past 5 years (2008-2012) by printing and distributing pirate electronic recharge vouchers using pin numbers provided by Vodacom. This letter effectively terminated the EVD contract between Vodacom Tanzania Ltd and Shivacom Ltd

3 August 2012. Shivacom responds to Vodacom’s letter, disputing the decision to terminate the EVD contract under advice from Kesaria.

• 3 September 2012. Shivacom Group’s Managing Director, Tanil Somaiya, writes a letter to Vodacom’s Group CEO in South Africa, Shameel Aziz Joosub, requesting a meeting to discuss the EVD contract termination. Tanil succeeds in meeting with Shameeel, who is compromised and orders Vodacom Tanzania to settle the matter with Shivacom and pay compensation to the company for contract termination despite the fraud. The meeting between Tanil and Shameel with other senior Vodacom officials took place on 1 November 2012.

Vodacom Tanzania MD, Rene Meza, receives a bribe of $5 million from Tanil Somaiya to resolve the matter.

• 9 November 2012. Tanil writes a letter to Shameel, saying he was offering his Shivacom Superdealership subscriber base for sale. Shivacom gave Vodacom the right of first refusal and asked for consent to scout around for alternative buyers if Vodacom was not interested in buying the dealership.

• 14 November 2012. Vodacom Tanzania Ltd’s Chief Legal & Regulatory Officer writes a letter to Shivacom offering compensation payment for termination of the contract. This is despite the fact that Vodacom’s lawyers gave legal advice to the firm to terminate the contract with Shivacom given the fact that Shivacom have breached the contract by duplicating TZS 500 vouchers.

29 November 2012. Tanil writes a letter to Shameel rejecting Vodacom’s “paltry” compensation offer. Tanil demands hefty compensation for loss of profit, cost of hardware and software of the voucher production equipment and cost of unutilized stock of raw materials.

• 2012-2015. Vodacom settles with Shivacom by paying the company a multi-million U.S. dollar compensation despite the company committing the massive fraud.

$350 million (675 BILLION SHILLINGS) stolen from Tanzanians in Vodacom scandal

Kalamu1 Mag3 mrangi TANMO
Yaani habari ya tangu 2015 umeikalia tu hadi leo. Tumempigia deki barabara mamvi na tukazungusha mikono hadi misuli ikauma wewe umengoja hadi mamvi ametuacha ndio unaitoa hii habari?
 
Yaani mimi nashangaa sana, ufisadi ni ufisadi tu uwe wa Magu au wa Kikwete,we have to question.Ilipostiwa zamani so what? Ufisadi wa zamani sio ufisadi? Issue kuna watu waliowajibishwa?

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwanini imerudishwa baada ya Edo na familia yake including uyo Fred kurudi CCM?

Siku zote kaburi alikuwepo au liliota magugu?

Tusiwe vigeu geu na nakuakikishia ingekuwa Edo ajarudi CCM wangesema Mheshimiwa rais hana chuki na wafanyabiashara.

Akiwa kwao malaika akienda sehemu nyingine shetani.



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Yaani habari ya tangu 2015 umeikalia tu hadi leo. Tumempigia deki barabara mamvi na tukazungusha mikono hadi misuli ikauma wewe umengoja hadi mamvi ametuacha ndio unaitoa hii habari?
Hivi kumbe ndivyo hivi ccm mnavyo operate? Mavi ya kale hayanuki!😀
 
Kwanini imerudishwa baada ya Edo na familia yake including uyo Fred kurudi CCM?

Siku zote kaburi alikuwepo au liliota magugu?

Tusiwe vigeu geu na nakuakikishia ingekuwa Edo ajarudi CCM wangesema Mheshimiwa rais hana chuki na wafanyabiashara.

Akiwa kwao malaika akienda sehemu nyingine shetani.



Sent using Jamii Forums mobile app
Hivi Fred na Edward siyo nafsi mbili tofauti? Yani macho yenu yamekufa kabisa hayamuoni tena RA maskini ya Mungu! Poor danganyika!
 
Hii scandal ilinguruma sana 2015 ila naona mawimbi yakawa mazito ikazimwa hakuna majibu yaliyopatikana.

Huyu Tanil, MD wa Shivacom anaonekan ni Mafia sana, Vodacom yote alishika korodani wakashindwa cha kumfanya ila nyuma ya picha the real mastermind anaonekana.

Mr. RA alihusika directly kunegotiate hongo ya Rene Meza from Shivacom ili akae kimya batch ya vocha zilizobaki iuzwe.

Shivacom wakarudishiwa mkataba wa vocha na hela ya usumbufu wakalipwa.

Mabilioni ya jero jero feki yakavunwaaa, yakaingilia Shivacom(Tanil), Planetel(Noni) na Alphatel(Manywele) then yakatoweka kusikojulikana.

By coincidence hii ilikuwa 2015, tunaelekea uchaguzi. Then Mr. RA akahamia majuu, JPM is in power then in 2018 shares zake za Vodacom akazipiga bei.

RA mwaka jana karudi, kaenda ikulu kunywa chai na mazungumzo ya viwanda na uwekezaji(porojo). Mipango chap chap amemrudisha mzee Lumumba. Hii ni 2019 tunaelekea uchaguzi tena mwakani.

Hii series tuko Season ngapi vile? Ni mawazo yangu tu ya kijinga wana jamvi mnipuuze [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app
Unajua kwanini ilizimwa mkuu?

Kwasababu mhusika ya scandal wa ufisadi Edo na familia yake including uyo Fred walikuwa CDM.

Kwaiyo imerudi baada ya Edo kurudi CCM.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Chadema ni watakatishaji wa ufisadi
Chadema inahusika vipi kwenye hoja hii? Unaweza kuniwekea hiyo connection na mimi nipate kuwa enlightened?

Btw sikukuona kabisa kule kwenye thread ya Bank M, pamoja na kwamba nilikutag mara kibao lakini hukutokea! Kule ni RA tuu katoke. Mkayeyusha mkiombea thread ijifie zake! Kumbe nilikuwa nawatizama tu nasema hiiii!

Hapa mmekuja kwasababu kumeongezeka jina la Lowassa! Bulbs kwenye bongo zenu mbovu, kama vile saa mbovu ambapo huwa sahihi mara moja kwa siku, basi mkavamia hapa na kuanza kuhusisha jina la Lowassa na chadema!

“Wakikosa hoja, wanaleta viroja”- Mzee Mwanakijiji
 
ok,tufanye revenue ilikuwa bilioni 100 kwa mwaka,ok,weka miaka 6 juu,unapata bilioni 600,total revenue,sasa kama shivacom wameiba bilion 650,sasa nani alikuwa akilipa cost za kurun vodacom miaka yote hiyo iwapo shivacom amechukua pesa yote ya mauzo?
Ndo maana nasema hii kitu ni majungu,ndo maana haikuQualify kujadiliwa hadi kufikia conculsion na bunge,sikatai labda kweli ulifanyika upigaji lakini uko overated na hakuna namna mtu ataprove ukichukulia hakukuwa na mitambo ya kumonitor makampuni ya simu
Kama unakubali vodacom by small assumption wangeweza kugenerate 600B revenue kw hicho kipindi huyu Shivacom anatuhumiwa kuzalisha vocha in duplicates. Yani in layman language kama kimkataba alitakiwa kuzalisha vocha 10 yeye anafyatua 15 au zaidi tena halali si kapewa codes na vodacom kma super dealer. Akiuza anarudisha mauzo ya zile 10 kwa vodacom(ndo revenue ya voda), hzo 5 anawapiga.

Either way, utake usitake hii scandal zilipigwa hela nyingi mno tena in tune of billions, labda kwa sababu vyombo vyetu(Bunge, TRA,TCRA, FCC na wengineo) havikuwa na uwezo au weledi kumulika technicalities za hii industry haikupi uhalali wa kudown play eti wizi huu haupimiki or ni insignificant. Hata zingeibwa billioni 50 ni wizi tu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Yamefichwa ama ni matokeo ya kuminya uhuru wa habari? We unadhani kupotea kwa Ben Saanane na wengine kuuwawa ni kwasababu gani? Ni ili wajinga kama wewe waendelee kubaki na ujinga wao wa wao waendelee kutafuna nchi.
Uhuru Wa habari umerudi sasa bila shaka......
Tanzania bila unafiki haiwezekani....

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwanza Alphatel ya fred lowasa na planetel ya peter noni,hawana kosa,wao walipewa kazi na shivacom ya kudistibute voucher,
pili mkataba ulikuwa ni kati ya vodacom Tanzania na shivacom ya Tanil,
mkataba ulihusu voda kuipa shivacom mkataba wa miaka 10kuanzia 2008-2018 kusupply electronic recharge voucher,whatever that means,au pengine voda walitaka shivacom auze airtime electronically,siezi jua,
so shivacom ili sasa auze mda wa hewani akaanza kuprint zile vocha za jerojero na kuzipa kazi alphatel na planetel kusambaza wao wakiwa kama superdealer,
kumbuka zile pin number ni Voda wenyewe ndo walitoa,
sasa haingii akilini shivacom waliiba vipi,au kama shivacom walikosea kuprint na walitakiwa kuuza airtime electronically
 
internet penetration haikuwa juu kivile,na kulikuwa na hadi kifurushi cha jero kwa mwezi,mara nyingi watu walikuwa wanabrowse bila hata kujiunga na kifurushi,means internet ilikuwa cheap.
Mimi nimeifahamu internet 2001,kabla hata google haijakuwepo,
Tcra walikuwa hawajafunga mitambo ya kumonitor makampuni ya simu ili kuweza kutambua kodi halisi iliyotakiwa kulipwa,means ukadiliaji wa kodi ulitegemea mahesabu ya mapato ya makampuni ya simu,
kusema kuwa mkurugenzi wa voda alihonga bilioni 5,ili kuachia wahindi waibe bilion 650,wakati yeye ndo alikuwa boss,ni too unreallistic
2001 giogle haikuwepo? Mmh, google imeanza 1998

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nyie mnaosema hii scandal sijui ya zamani bla blah blah, so what? Je ilipatiwa ufumbuzi? Kwani inaondoa vipi uhalali wa kushughulikiwa tena kwa maslahi mapana ya our motherland? Tegeta Escrow au EPA ilichukua muda gani kuanza mpaka kushughulikiwa?

Hili la Voda pia ni "another one" na wahusika ni wale wale tena now wanagonga cheers pale mjini kati.

Sent using Jamii Forums mobile app
Ufumbuzi utapatikana leo baada ya Edo na familia yake including uyo Fred kurudi CCM?

Edo ameishi CDM takriban miaka mitatu na ushee atujawahi kusikia vocha jero jero wala buku buku.

Kama tunataka kupambana na ufisadi tusiwe na double standard huu sasa undumiwakuwili unatokea wapi?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wanajamvi,

Katika mwendelezo wangu wa kuishangaa serikali ya kifisadi ya ccm, haswa baada ya RA kukaribishwa pale ikulu, na baadaye akampeleka Lowassa, nimekutana na hii scandal nyingine ambayo iliweza kulipatia taifa letu hasara kubwa ya dola za kimarekani milioni 350($350), ambazo ni sawa na TZS 675B!

Waliohusika, pamoja na wengine, ni Rostam Aziz pamoja na Fred Lowassa ambaye ni motto wa Edward Lowassa. Wengine ni Peter Noni, Tanil Somaiya, Rene Meza, Dilip Kesaria! Ebu jisomee habari hii kutoka "whistleblower press"

voda-page00011.jpg

• Tycoons Tanil Somaiya & Rostam Aziz implicated in the scam
• Vodacom Tanzania MD Rene Meza receives $5 million bribe to keep silent
• Tax worth over 121.5 billion/- evaded in the deal
• Tanzania regulators, anti-graft bodies caught napping in massive fraud, which is bigger than EPA and Escrow scandals combined

A staggering $350 million (over 675 billion shillings) was stolen from Tanzanians in a massive scandal involving the sale of pirated electronic recharge vouchers from Vodacom Tanzania to customers.

The scam, which is bigger than the Bank of Tanzania’s infamous external payment arrears (EPA) and IPTL Tegeta escrow account scandals combined, involves Tanil Somaiya, a business tycoon behind several dubious deals in Tanzania, including the military radar transaction with Britain’s BAE Systems.

The production of the electronic recharge vouchers followed the signing of a contract between Vodacom Tanzania and Tanil’s Shivacom Group in 2007/08. This means that Shivacom acted both as a Vodacom super dealer and printer and supplier of electronic recharge vouchers, an obvious conflict of interest.

In the elaborate scandal, Tanil’s company, Shivacom Group, printed millions of pirated 500 shillings electronic recharge vouchers (Jero Jero) between 2008 and 2012 and colluded with other companies owned by Fred Lowassa (Alphatel) and TIB Development Bank Managing Director Peter Noni (Planetel) to distribute the vouchers across Tanzania.

Fred Lowassa is the director of Alphatel, a Vodacom super dealer, while Noni, a former senior Bank of Tanzania (BoT) official, also owns another Vodacom super dealer, Planetel.

Rostam Aziz, the biggest Tanzanian shareholder of Vodacom Tanzania, has also been implicated in the scandal due to his silence over the embezzlement of over 675 billion shillings.

Together, Shivacom colluded with Alphatel and Planetel to carry out the massive fraud involving the production, distribution and sale of pirate electronic recharge vouchers worth over 675 billion shillings without Vodacom’s knowledge until the scam was unearthed in 2012.

There was also rampant tax evasion in the scandal with Value Added Tax (VAT) worth more than 121 billion shillings evaded by Shivacom and its conspirators, which is a serious criminal offence.

Senior officials at Tanzania government regulatory and watchdog agencies such as the Tanzania Revenue Authority (TRA), the Tanzania Communications Regulatory Authority (TCRA) and the Prevention and Combating of Corruption Bureau (PCCB were either complicit in the scandal or were caught napping.

Shivacom alone distributed more than half of the fake recharge vouchers, while the other pirate vouchers were distributed by its conspirators — Alphatel and Planetel.
The “Jero Jero” vouchers are the most fast-moving electronic recharge vouchers in Tanzania, with Shivacom printing hundreds of millions of fake vouchers using pins provided by Vodacom Tanzania.

The scandal not only caused Vodacom Tanzania huge financial loss, it also resulted in the detrimental loss of customer confidence. This is partly attributed to Vodacom Tanzania losing its dominance in Tanzania’s mobile phone industry, with Airtel and Tigo now threatening to wrestle away the company’s market share.
Insiders say Vodacom Tanzania’s MD, Rene Meza, found out about the scandal after just arriving in Tanzania from Kenya to take up the position of Vodacom Tanzania managing director.

“Rene Meza confronted Tanil about the scandal and demanded a $10 million kickback to keep quiet. Tanil arrogantly told him to piss off, so Rene retaliated by instructing Vodacom’s legal counsel to write a letter to Shivacom to terminate the electronic recharge voucher agreement for breach of contract,” said a well-placed source.

“Tanil went to Vodacom South Africa’s Group CEO, Shameel, and gave him a bribe of $400,000. Shameel then instructed Vodacom Tanzania to settle the matter with Shivacom. Rene Meza finally settled for a $5 million bribe from Tanil and Vodacom paid Tanil hefty compensation for termination of the contract despite the obvious fraud.”

Vodacom Tanzania’s lawyers gave legal advice that the contract should be terminated and Shivacom should pay compensation to Vodacom for the fraud. However, after bribes exchanged hands, Shivacom ended being paid a hefty compensation by Vodacom despite perpetrating the massive fraud.
In all this scandal, Tanil used a Dar es Salaam-based lawyer, Dilip Kesaria, to respond to legal queries from Vodacom.

Kesaria, who was disbarred in the United Kingdom for malpractices but fraudulently allowed to operate as a lawyer in Tanzania, is the Principal at Kesaria & Company advocates.

The following is a chronology of key events in the massive 675 billion shillings fraud involving Vodacom Tanzania’s Jero Jero electronic recharge vouchers:

Key Facts and Figures
• 2008.
A 10-year agreement comes into effect for Shivacom Tanzania Limited to provide electronic recharge vouchers (EVD) to Vodacom Tanzania Limited. This means that Shivacom effectively played a dual role of being a Vodacom super dealer and EVD supplier in separate agreements.

• 2008-2012. The massive fraud committed by Shivacom over the 5-year period is worth more than $350 million (675 billion Tanzanian shillings), which is bigger than the Bank of Tanzania EPA and Tegeta Escrow account scandals combined. This fraud was done by Shivacom printing TZS 500 electronic recharge vouchers (Jero Jero) fraudulently and distributing them into the market without Vodacom’s knowledge.
Other Vodacom super dealers, including Alphatel and Planetel are also implicated in directly colluding with Shivacom to distribute pirate recharge vouchers.

• 31 July 2012. Vodacom Tanzania Ltd’s Chief Legal & Regulatory Officer writes a letter to Shivacom Tanzania Ltd to formally notify the company about breach of contract. This comes after Vodacom Tanzania Ltd discovered that Shivacom has been engaged in massive fraud over the past 5 years (2008-2012) by printing and distributing pirate electronic recharge vouchers using pin numbers provided by Vodacom. This letter effectively terminated the EVD contract between Vodacom Tanzania Ltd and Shivacom Ltd

3 August 2012. Shivacom responds to Vodacom’s letter, disputing the decision to terminate the EVD contract under advice from Kesaria.

• 3 September 2012. Shivacom Group’s Managing Director, Tanil Somaiya, writes a letter to Vodacom’s Group CEO in South Africa, Shameel Aziz Joosub, requesting a meeting to discuss the EVD contract termination. Tanil succeeds in meeting with Shameeel, who is compromised and orders Vodacom Tanzania to settle the matter with Shivacom and pay compensation to the company for contract termination despite the fraud. The meeting between Tanil and Shameel with other senior Vodacom officials took place on 1 November 2012.

Vodacom Tanzania MD, Rene Meza, receives a bribe of $5 million from Tanil Somaiya to resolve the matter.

• 9 November 2012. Tanil writes a letter to Shameel, saying he was offering his Shivacom Superdealership subscriber base for sale. Shivacom gave Vodacom the right of first refusal and asked for consent to scout around for alternative buyers if Vodacom was not interested in buying the dealership.

• 14 November 2012. Vodacom Tanzania Ltd’s Chief Legal & Regulatory Officer writes a letter to Shivacom offering compensation payment for termination of the contract. This is despite the fact that Vodacom’s lawyers gave legal advice to the firm to terminate the contract with Shivacom given the fact that Shivacom have breached the contract by duplicating TZS 500 vouchers.

29 November 2012. Tanil writes a letter to Shameel rejecting Vodacom’s “paltry” compensation offer. Tanil demands hefty compensation for loss of profit, cost of hardware and software of the voucher production equipment and cost of unutilized stock of raw materials.

• 2012-2015. Vodacom settles with Shivacom by paying the company a multi-million U.S. dollar compensation despite the company committing the massive fraud.

$350 million (675 BILLION SHILLINGS) stolen from Tanzanians in Vodacom scandal

Kalamu1 Mag3 mrangi TANMO
Hii iliandaliwa na timu Maembe kabla ya Uchaguzi mkuu wa 2015 kwa leo hii waliopoona mambo yanawaendea mrama kisiasa wameanza kuyumba na kuona ni bora kufukua makaburi ya uongo.
 
Back
Top Bottom