jmushi1
Platinum Member
- Nov 2, 2007
- 26,329
- 25,263
Mimi sizungumzi kwa niaba ya chama chochote kile. Siyo kila mtu ni “Simba au Yanga”Baba na Mwana timu moja. Mnataka kutwambia kuwa hii ishu imegundulikana juzi tu baada ya Baba krudi nyumbani? au mliijua lakini mkataka kumlnda?