Ufisadi katika fedha za uchangiaji wa faini za za viongozi wa CHADEMA

Ufisadi katika fedha za uchangiaji wa faini za za viongozi wa CHADEMA

Chadema imeendelea kuwathibitishia wanachama wake wachache waliobaki kuwa ni chama cha kundi dogo la watu wanaojali maslahi yao binafsi kuliko maslahi ya mtanzania mwingine yeyote.
Hii inathibitika katika zoezi lililomalizika la uchangiaji wa fedha kwa ajili ya faini za makosa waliyofanya viongozi hao kwa maslahi yao yaliyowatia hatiani katika mahakama ya hakimu mkazi Kisutu.
Mambo yafuatayo yanaonesha wazi ubadhirifu uliopo na unaoendelea juu ya michango hii ambayo inalenga kufaidisha kikundi hiki cha watu wachache ndani ya chama.

1.Matumizi ya Namba za Simu Binafsi

Tunafahamu kuwa michango ya chama au ya taasisi inapaswa kutumia simu yenye jina la ile taasisi au jina la lile tukio.Tulitegemea kwa kuwa kuna account na namba za chama ambazo zinatumika kila siku,zitumike kukusanya pesa hizi na zipelekwe mahakamani kuwatoa wanachama hawa.Lakini namba binafsi zimetumika makusudi kuficha ubadhirifu ambao unaendelea kufanyika wa kukwapua mali na fedha za wanachama ndani ya chama.Wapo wenye namba ambao wamesha anza kutoa hela wakidai hela hizo ni binafsi na sio hela za makusanyo ya faini za wanachama.Mkanganyiko huu unadhihirisha wazi kuwa kadiri zoezi linavyoendelea zipo pesa nyingi zitakazopigwa kwa staili hii.

2.Taarifa kuchelewa kuwafikia wanachama

Chadema imefanya makusudi kutumia mitandao ya kujamii kutangaza zoezi la uchangiaji kwa lengo kuwa taarifa za uchangiaji zitafika pole pole kwa wanachama wao na licha ya zoezi kuwa limefungwa,wapo wanachama watakao endelea kuchangia hizo fedha kwa kuchelewa kupata taarifa.Hivyo wale wanufaika wakawa wale wanachama pendwa wa chama ambao ni sehemu ya genge la wapigaji ndani ya chama.Wizi huu unasaidiwa na hoja ya kwanza ya matumizi ya namba za simu za watu binafsi kwa makusanyo ya fedha za kijamii.

3.Ukandamizaji wa Wanyonge.

Viongozi wa Chadema wamekua wakipiga kelele kuwa hali ya uchumi ni ngumu,na watu hawana hela,wameenda mbali na kuzunguka katika nchi za wahisani kuzuia mikopo,kwa hoja za kutunga na zile za kutengeneza.Tunajua mshahara wa Mbunge,tunafahamu marupurupu ya Mbunge,tunafahamu posho za vikao na pesa za jimbo,tunafahamu mali za kila mbunge na account zao nje ya nchi.Tunafahamu pesa iliyopo ndani ya chama,na pesa ambazo mabeberu wanachangia chama.Jiulize,hivi ni sawa kweli kumtaka mtanzania mnyonge mwenye hali mbaya kukopa kwenye tigo pesa au mtu maskini kuchangia kisa ulipe faini ya kosa ulilojitakia wakati una uwezo wa kulipa hiyo pesa?.Ni wazi tabia za mabeberu za alie nacho huongezewa zimekita ndani ya mioyo yao na kutokuwa na huruma kwa Watanzania.

4.Kutokuanisha michango mikubwa katika makusanyo.

Taarifa zilizopo zinzonesha kuwa michango mikubwa inayotoka kwa wadhamini wa nje ya nchi wa chama cha Chadema imekua haiwekwi bayana kwani ni sehemu muhimu ya upigaji wa fedha.Michango hii inakadiriwa kuzidi kiwango kilichohitajika kwa ajili ya faini za viongozi hawa wa chama.

5.Kutumia tukio hili kama kitega uchumi.

Ni wazi kuwa viongozi hawa wa Chadema walitenda kosa hili bila kujua uimara wa mahakama kwa awamu hii ya tano.Walidhania kuwa mahakama inaweza kuyumbishwa na wanasiasa,walidhani kuwa wanaweza kuwa juu ya sheria.Baada ya kugundua kuwa wanaweza kufungwa kama watanzania wengine waliamua kutumia tukio kisiasa na kupata huruma ya wananchi kupitia michango.

6.Utakatishaji Fedha
Kuna kila dalili ya jinai ya utakatishaji katika zoezi zima la ukusanyaji wa michango,hii inatokana na zoezi lilivyoendeshwa na usiri uliopo kwenye makusanyo.Pili kuna wanachama wengi wa chadema waliokuwa wakijihusisha na madawa ya kulevya ambao wamepata kichaka cha kuhalalisha pesa zao.

7.Hofu ya kuchunguzwa matumizi.

Watanzania wote wanajua wazi kuwa Raisi wetu anaupendo mkubwa na watanzania wote,licha ya kuwa yeye ni kiongozi wa chama tawala lakini pia husaidia vyama vingine pale inapobidi.Kwa kuwa Rais ni ndugu wa Peter Msigwa alifuatwa na familia na kuchangia kiasi cha 38m ili Msigwa na wanachama wengine watoke.Taarifa za ndani zinaonesha kuwa hela aliyotoa ilitakiwa ingie kwenye kapu ambalo halina hesabu akakataa kutokana na wasiwasi wa mchakato mzima.Sote tunamjua Raisi Magufuli pesa yake hailiwi kizembe,aliamua kulipa hela na kuhakikisha Peter Msigwa anatoka.
Ushauri,serikali kupitia taasisi zake za usalama zinatakiwa zichunguze chama hiki kufahamu mapato na matumizi ya michango hii.Pia ni jukumu la wanachama kuhoji juu ya matumizi ya namba za simu binafsi na kiwango kilichochangwa. Vinginevyo kikundi cha watu wachache kitaendelea kuhujumu nchi kupitia wanachama.
Hivi Polepole alitoa taarifa za michango na hela zilipatikanaje?
Lumumba pangeni mikakati ya uhamasishaji. Chadema itawatoa nje

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Taarifa zilizopo zinzonesha kuwa michango mikubwa inayotoka kwa wadhamini wa nje ya nchi wa chama cha Chadema imekua haiwekwi bayana kwani ni sehemu muhimu ya upigaji wa fedha.Michango hii inakadiriwa kuzidi kiwango kilichohitajika kwa ajili ya faini za viongozi hawa wa chama.
[emoji867]
Uchaguzi umekaribia pesa za maandalizi ya uchaguzi hizo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Chadema imeendelea kuwathibitishia wanachama wake wachache waliobaki kuwa ni chama cha kundi dogo la watu wanaojali maslahi yao binafsi kuliko maslahi ya mtanzania mwingine yeyote.
Hii inathibitika katika zoezi lililomalizika la uchangiaji wa fedha kwa ajili ya faini za makosa waliyofanya viongozi hao kwa maslahi yao yaliyowatia hatiani katika mahakama ya hakimu mkazi Kisutu.
Mambo yafuatayo yanaonesha wazi ubadhirifu uliopo na unaoendelea juu ya michango hii ambayo inalenga kufaidisha kikundi hiki cha watu wachache ndani ya chama.

1.Matumizi ya Namba za Simu Binafsi

Tunafahamu kuwa michango ya chama au ya taasisi inapaswa kutumia simu yenye jina la ile taasisi au jina la lile tukio.Tulitegemea kwa kuwa kuna account na namba za chama ambazo zinatumika kila siku,zitumike kukusanya pesa hizi na zipelekwe mahakamani kuwatoa wanachama hawa.Lakini namba binafsi zimetumika makusudi kuficha ubadhirifu ambao unaendelea kufanyika wa kukwapua mali na fedha za wanachama ndani ya chama.Wapo wenye namba ambao wamesha anza kutoa hela wakidai hela hizo ni binafsi na sio hela za makusanyo ya faini za wanachama.Mkanganyiko huu unadhihirisha wazi kuwa kadiri zoezi linavyoendelea zipo pesa nyingi zitakazopigwa kwa staili hii.

2.Taarifa kuchelewa kuwafikia wanachama

Chadema imefanya makusudi kutumia mitandao ya kujamii kutangaza zoezi la uchangiaji kwa lengo kuwa taarifa za uchangiaji zitafika pole pole kwa wanachama wao na licha ya zoezi kuwa limefungwa,wapo wanachama watakao endelea kuchangia hizo fedha kwa kuchelewa kupata taarifa.Hivyo wale wanufaika wakawa wale wanachama pendwa wa chama ambao ni sehemu ya genge la wapigaji ndani ya chama.Wizi huu unasaidiwa na hoja ya kwanza ya matumizi ya namba za simu za watu binafsi kwa makusanyo ya fedha za kijamii.

3.Ukandamizaji wa Wanyonge.

Viongozi wa Chadema wamekua wakipiga kelele kuwa hali ya uchumi ni ngumu,na watu hawana hela,wameenda mbali na kuzunguka katika nchi za wahisani kuzuia mikopo,kwa hoja za kutunga na zile za kutengeneza.Tunajua mshahara wa Mbunge,tunafahamu marupurupu ya Mbunge,tunafahamu posho za vikao na pesa za jimbo,tunafahamu mali za kila mbunge na account zao nje ya nchi.Tunafahamu pesa iliyopo ndani ya chama,na pesa ambazo mabeberu wanachangia chama.Jiulize,hivi ni sawa kweli kumtaka mtanzania mnyonge mwenye hali mbaya kukopa kwenye tigo pesa au mtu maskini kuchangia kisa ulipe faini ya kosa ulilojitakia wakati una uwezo wa kulipa hiyo pesa?.Ni wazi tabia za mabeberu za alie nacho huongezewa zimekita ndani ya mioyo yao na kutokuwa na huruma kwa Watanzania.

4.Kutokuanisha michango mikubwa katika makusanyo.

Taarifa zilizopo zinzonesha kuwa michango mikubwa inayotoka kwa wadhamini wa nje ya nchi wa chama cha Chadema imekua haiwekwi bayana kwani ni sehemu muhimu ya upigaji wa fedha.Michango hii inakadiriwa kuzidi kiwango kilichohitajika kwa ajili ya faini za viongozi hawa wa chama.

5.Kutumia tukio hili kama kitega uchumi.

Ni wazi kuwa viongozi hawa wa Chadema walitenda kosa hili bila kujua uimara wa mahakama kwa awamu hii ya tano.Walidhania kuwa mahakama inaweza kuyumbishwa na wanasiasa,walidhani kuwa wanaweza kuwa juu ya sheria.Baada ya kugundua kuwa wanaweza kufungwa kama watanzania wengine waliamua kutumia tukio kisiasa na kupata huruma ya wananchi kupitia michango.

6.Utakatishaji Fedha
Kuna kila dalili ya jinai ya utakatishaji katika zoezi zima la ukusanyaji wa michango,hii inatokana na zoezi lilivyoendeshwa na usiri uliopo kwenye makusanyo.Pili kuna wanachama wengi wa chadema waliokuwa wakijihusisha na madawa ya kulevya ambao wamepata kichaka cha kuhalalisha pesa zao.

7.Hofu ya kuchunguzwa matumizi.

Watanzania wote wanajua wazi kuwa Raisi wetu anaupendo mkubwa na watanzania wote,licha ya kuwa yeye ni kiongozi wa chama tawala lakini pia husaidia vyama vingine pale inapobidi.Kwa kuwa Rais ni ndugu wa Peter Msigwa alifuatwa na familia na kuchangia kiasi cha 38m ili Msigwa na wanachama wengine watoke.Taarifa za ndani zinaonesha kuwa hela aliyotoa ilitakiwa ingie kwenye kapu ambalo halina hesabu akakataa kutokana na wasiwasi wa mchakato mzima.Sote tunamjua Raisi Magufuli pesa yake hailiwi kizembe,aliamua kulipa hela na kuhakikisha Peter Msigwa anatoka.
Ushauri,serikali kupitia taasisi zake za usalama zinatakiwa zichunguze chama hiki kufahamu mapato na matumizi ya michango hii.Pia ni jukumu la wanachama kuhoji juu ya matumizi ya namba za simu binafsi na kiwango kilichochangwa. Vinginevyo kikundi cha watu wachache kitaendelea kuhujumu nchi kupitia wanachama.
CCM ni majizi na wafujaji wa pesa za wananchi, mfano trilioni 1.5 mpaka leo hazijulikani zipo wapi na bado kuna nyingine kama hizo zimepigwa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Chadema imeendelea kuwathibitishia wanachama wake wachache waliobaki kuwa ni chama cha kundi dogo la watu wanaojali maslahi yao binafsi kuliko maslahi ya mtanzania mwingine yeyote.
Hii inathibitika katika zoezi lililomalizika la uchangiaji wa fedha kwa ajili ya faini za makosa waliyofanya viongozi hao kwa maslahi yao yaliyowatia hatiani katika mahakama ya hakimu mkazi Kisutu.
Mambo yafuatayo yanaonesha wazi ubadhirifu uliopo na unaoendelea juu ya michango hii ambayo inalenga kufaidisha kikundi hiki cha watu wachache ndani ya chama.

1.Matumizi ya Namba za Simu Binafsi

Tunafahamu kuwa michango ya chama au ya taasisi inapaswa kutumia simu yenye jina la ile taasisi au jina la lile tukio.Tulitegemea kwa kuwa kuna account na namba za chama ambazo zinatumika kila siku,zitumike kukusanya pesa hizi na zipelekwe mahakamani kuwatoa wanachama hawa.Lakini namba binafsi zimetumika makusudi kuficha ubadhirifu ambao unaendelea kufanyika wa kukwapua mali na fedha za wanachama ndani ya chama.Wapo wenye namba ambao wamesha anza kutoa hela wakidai hela hizo ni binafsi na sio hela za makusanyo ya faini za wanachama.Mkanganyiko huu unadhihirisha wazi kuwa kadiri zoezi linavyoendelea zipo pesa nyingi zitakazopigwa kwa staili hii.

2.Taarifa kuchelewa kuwafikia wanachama

Chadema imefanya makusudi kutumia mitandao ya kujamii kutangaza zoezi la uchangiaji kwa lengo kuwa taarifa za uchangiaji zitafika pole pole kwa wanachama wao na licha ya zoezi kuwa limefungwa,wapo wanachama watakao endelea kuchangia hizo fedha kwa kuchelewa kupata taarifa.Hivyo wale wanufaika wakawa wale wanachama pendwa wa chama ambao ni sehemu ya genge la wapigaji ndani ya chama.Wizi huu unasaidiwa na hoja ya kwanza ya matumizi ya namba za simu za watu binafsi kwa makusanyo ya fedha za kijamii.

3.Ukandamizaji wa Wanyonge.

Viongozi wa Chadema wamekua wakipiga kelele kuwa hali ya uchumi ni ngumu,na watu hawana hela,wameenda mbali na kuzunguka katika nchi za wahisani kuzuia mikopo,kwa hoja za kutunga na zile za kutengeneza.Tunajua mshahara wa Mbunge,tunafahamu marupurupu ya Mbunge,tunafahamu posho za vikao na pesa za jimbo,tunafahamu mali za kila mbunge na account zao nje ya nchi.Tunafahamu pesa iliyopo ndani ya chama,na pesa ambazo mabeberu wanachangia chama.Jiulize,hivi ni sawa kweli kumtaka mtanzania mnyonge mwenye hali mbaya kukopa kwenye tigo pesa au mtu maskini kuchangia kisa ulipe faini ya kosa ulilojitakia wakati una uwezo wa kulipa hiyo pesa?.Ni wazi tabia za mabeberu za alie nacho huongezewa zimekita ndani ya mioyo yao na kutokuwa na huruma kwa Watanzania.

4.Kutokuanisha michango mikubwa katika makusanyo.

Taarifa zilizopo zinzonesha kuwa michango mikubwa inayotoka kwa wadhamini wa nje ya nchi wa chama cha Chadema imekua haiwekwi bayana kwani ni sehemu muhimu ya upigaji wa fedha.Michango hii inakadiriwa kuzidi kiwango kilichohitajika kwa ajili ya faini za viongozi hawa wa chama.

5.Kutumia tukio hili kama kitega uchumi.

Ni wazi kuwa viongozi hawa wa Chadema walitenda kosa hili bila kujua uimara wa mahakama kwa awamu hii ya tano.Walidhania kuwa mahakama inaweza kuyumbishwa na wanasiasa,walidhani kuwa wanaweza kuwa juu ya sheria.Baada ya kugundua kuwa wanaweza kufungwa kama watanzania wengine waliamua kutumia tukio kisiasa na kupata huruma ya wananchi kupitia michango.

6.Utakatishaji Fedha
Kuna kila dalili ya jinai ya utakatishaji katika zoezi zima la ukusanyaji wa michango,hii inatokana na zoezi lilivyoendeshwa na usiri uliopo kwenye makusanyo.Pili kuna wanachama wengi wa chadema waliokuwa wakijihusisha na madawa ya kulevya ambao wamepata kichaka cha kuhalalisha pesa zao.

7.Hofu ya kuchunguzwa matumizi.

Watanzania wote wanajua wazi kuwa Raisi wetu anaupendo mkubwa na watanzania wote,licha ya kuwa yeye ni kiongozi wa chama tawala lakini pia husaidia vyama vingine pale inapobidi.Kwa kuwa Rais ni ndugu wa Peter Msigwa alifuatwa na familia na kuchangia kiasi cha 38m ili Msigwa na wanachama wengine watoke.Taarifa za ndani zinaonesha kuwa hela aliyotoa ilitakiwa ingie kwenye kapu ambalo halina hesabu akakataa kutokana na wasiwasi wa mchakato mzima.Sote tunamjua Raisi Magufuli pesa yake hailiwi kizembe,aliamua kulipa hela na kuhakikisha Peter Msigwa anatoka.
Ushauri,serikali kupitia taasisi zake za usalama zinatakiwa zichunguze chama hiki kufahamu mapato na matumizi ya michango hii.Pia ni jukumu la wanachama kuhoji juu ya matumizi ya namba za simu binafsi na kiwango kilichochangwa. Vinginevyo kikundi cha watu wachache kitaendelea kuhujumu nchi kupitia wanachama.
Mkuu hivi Lugumi yupo?
Mkuu hivi Lugola amefungwa?
Mkuu hivi dege zinanunuliwa kwa shilingi ngapi?
Tupe majibu aya kwanza
 
Hakika Kama ndio ningekuwa mwenyekiti wenu ccm, ningefukuza vijana wore maana mnavichwa vya hovyooo. Kama aliyechanga hajaumia wewe mshikwa ... Umawashwa Nini??
 
Fools dont know when to stop!CCM ilishachutama sasa wewe unakuja kuipulizia upepo nyeti zionekane?
Lumumba mmejazana wajinga!
 
Chadema imeendelea kuwathibitishia wanachama wake wachache waliobaki kuwa ni chama cha kundi dogo la watu wanaojali maslahi yao binafsi kuliko maslahi ya mtanzania mwingine yeyote.

Hii inathibitika katika zoezi lililomalizika la uchangiaji wa fedha kwa ajili ya faini za makosa waliyofanya viongozi hao kwa maslahi yao yaliyowatia hatiani katika mahakama ya hakimu mkazi Kisutu.

Mambo yafuatayo yanaonesha wazi ubadhirifu uliopo na unaoendelea juu ya michango hii ambayo inalenga kufaidisha kikundi hiki cha watu wachache ndani ya chama.

1.Matumizi ya Namba za Simu Binafsi
Tunafahamu kuwa michango ya chama au ya taasisi inapaswa kutumia simu yenye jina la ile taasisi au jina la lile tukio.Tulitegemea kwa kuwa kuna account na namba za chama ambazo zinatumika kila siku,zitumike kukusanya pesa hizi na zipelekwe mahakamani kuwatoa wanachama hawa.Lakini namba binafsi zimetumika makusudi kuficha ubadhirifu ambao unaendelea kufanyika wa kukwapua mali na fedha za wanachama ndani ya chama.Wapo wenye namba ambao wamesha anza kutoa hela wakidai hela hizo ni binafsi na sio hela za makusanyo ya faini za wanachama.Mkanganyiko huu unadhihirisha wazi kuwa kadiri zoezi linavyoendelea zipo pesa nyingi zitakazopigwa kwa staili hii.

2.Taarifa kuchelewa kuwafikia wanachama
Chadema imefanya makusudi kutumia mitandao ya kujamii kutangaza zoezi la uchangiaji kwa lengo kuwa taarifa za uchangiaji zitafika pole pole kwa wanachama wao na licha ya zoezi kuwa limefungwa,wapo wanachama watakao endelea kuchangia hizo fedha kwa kuchelewa kupata taarifa.Hivyo wale wanufaika wakawa wale wanachama pendwa wa chama ambao ni sehemu ya genge la wapigaji ndani ya chama.Wizi huu unasaidiwa na hoja ya kwanza ya matumizi ya namba za simu za watu binafsi kwa makusanyo ya fedha za kijamii.

3.Ukandamizaji wa Wanyonge
Viongozi wa Chadema wamekua wakipiga kelele kuwa hali ya uchumi ni ngumu,na watu hawana hela,wameenda mbali na kuzunguka katika nchi za wahisani kuzuia mikopo,kwa hoja za kutunga na zile za kutengeneza.

Tunajua mshahara wa Mbunge,tunafahamu marupurupu ya Mbunge,tunafahamu posho za vikao na pesa za jimbo,tunafahamu mali za kila mbunge na account zao nje ya nchi.Tunafahamu pesa iliyopo ndani ya chama,na pesa ambazo mabeberu wanachangia chama.Jiulize,hivi ni sawa kweli kumtaka mtanzania mnyonge mwenye hali mbaya kukopa kwenye tigo pesa au mtu maskini kuchangia kisa ulipe faini ya kosa ulilojitakia wakati una uwezo wa kulipa hiyo pesa?

Ni wazi tabia za mabeberu za alie nacho huongezewa zimekita ndani ya mioyo yao na kutokuwa na huruma kwa Watanzania.

4.Kutokuanisha michango mikubwa katika makusanyo
Taarifa zilizopo zinzonesha kuwa michango mikubwa inayotoka kwa wadhamini wa nje ya nchi wa chama cha Chadema imekua haiwekwi bayana kwani ni sehemu muhimu ya upigaji wa fedha.Michango hii inakadiriwa kuzidi kiwango kilichohitajika kwa ajili ya faini za viongozi hawa wa chama.

5.Kutumia tukio hili kama kitega uchumi
Ni wazi kuwa viongozi hawa wa Chadema walitenda kosa hili bila kujua uimara wa mahakama kwa awamu hii ya tano.Walidhania kuwa mahakama inaweza kuyumbishwa na wanasiasa,walidhani kuwa wanaweza kuwa juu ya sheria.Baada ya kugundua kuwa wanaweza kufungwa kama watanzania wengine waliamua kutumia tukio kisiasa na kupata huruma ya wananchi kupitia michango.

6.Utakatishaji Fedha
Kuna kila dalili ya jinai ya utakatishaji katika zoezi zima la ukusanyaji wa michango,hii inatokana na zoezi lilivyoendeshwa na usiri uliopo kwenye makusanyo.Pili kuna wanachama wengi wa chadema waliokuwa wakijihusisha na madawa ya kulevya ambao wamepata kichaka cha kuhalalisha pesa zao.

7.Hofu ya kuchunguzwa matumizi
Watanzania wote wanajua wazi kuwa Raisi wetu anaupendo mkubwa na watanzania wote,licha ya kuwa yeye ni kiongozi wa chama tawala lakini pia husaidia vyama vingine pale inapobidi.Kwa kuwa Rais ni ndugu wa Peter Msigwa alifuatwa na familia na kuchangia kiasi cha 38m ili Msigwa na wanachama wengine watoke.

Taarifa za ndani zinaonesha kuwa hela aliyotoa ilitakiwa ingie kwenye kapu ambalo halina hesabu akakataa kutokana na wasiwasi wa mchakato mzima.Sote tunamjua Raisi Magufuli pesa yake hailiwi kizembe,aliamua kulipa hela na kuhakikisha Peter Msigwa anatoka.

Ushauri,serikali kupitia taasisi zake za usalama zinatakiwa zichunguze chama hiki kufahamu mapato na matumizi ya michango hii.Pia ni jukumu la wanachama kuhoji juu ya matumizi ya namba za simu binafsi na kiwango kilichochangwa. Vinginevyo kikundi cha watu wachache kitaendelea kuhujumu nchi kupitia wanachama.

Lumumba huna Hoja dhaifu,Account zao Na za chama zilifungwa hata zisingefungwa utatoaje hela ukiwa jela? Undugu Na makamera wapi Na wap? Pole pole alienda kama ndugu wa nani?Hao ndugu walitumwa Na msigwa kuomba au walilazimishwa kuombwa?Hakuna jinai yeyeto sababu wananchi wamechanga Kwa mapenz yao wenyewe.Kuhusu madawa kulevya ingekuwa Kweli wasingepona kumbuka wanatafutiwa kila sababu ili chama kife wanakwepa viunz
 
Nilikua sijawaza hili kiongozi...kumbe utakatishaji huu ni kwa ajili ya uchaguzi?...Hivi PCCB na vyombo vingine vinaachia hili liishe hivi bila kulitolea jicho la pili?..Kila aliyechangia katika hili anatakiwa kuchunguzwa ili tuwe salama na pesa za utakatishaji
 
Roho ya kishetani kabisa. Mlitaka kuwafunga na sasa mnafuatilia hela utafikiri mlichanga.Kila mnapofanya Roho ya kishetani Mungu anawaumbua tu
Chadema imeendelea kuwathibitishia wanachama wake wachache waliobaki kuwa ni chama cha kundi dogo la watu wanaojali maslahi yao binafsi kuliko maslahi ya mtanzania mwingine yeyote.

Hii inathibitika katika zoezi lililomalizika la uchangiaji wa fedha kwa ajili ya faini za makosa waliyofanya viongozi hao kwa maslahi yao yaliyowatia hatiani katika mahakama ya hakimu mkazi Kisutu.

Mambo yafuatayo yanaonesha wazi ubadhirifu uliopo na unaoendelea juu ya michango hii ambayo inalenga kufaidisha kikundi hiki cha watu wachache ndani ya chama.

1.Matumizi ya Namba za Simu Binafsi
Tunafahamu kuwa michango ya chama au ya taasisi inapaswa kutumia simu yenye jina la ile taasisi au jina la lile tukio.Tulitegemea kwa kuwa kuna account na namba za chama ambazo zinatumika kila siku,zitumike kukusanya pesa hizi na zipelekwe mahakamani kuwatoa wanachama hawa.Lakini namba binafsi zimetumika makusudi kuficha ubadhirifu ambao unaendelea kufanyika wa kukwapua mali na fedha za wanachama ndani ya chama.Wapo wenye namba ambao wamesha anza kutoa hela wakidai hela hizo ni binafsi na sio hela za makusanyo ya faini za wanachama.Mkanganyiko huu unadhihirisha wazi kuwa kadiri zoezi linavyoendelea zipo pesa nyingi zitakazopigwa kwa staili hii.

2.Taarifa kuchelewa kuwafikia wanachama
Chadema imefanya makusudi kutumia mitandao ya kujamii kutangaza zoezi la uchangiaji kwa lengo kuwa taarifa za uchangiaji zitafika pole pole kwa wanachama wao na licha ya zoezi kuwa limefungwa,wapo wanachama watakao endelea kuchangia hizo fedha kwa kuchelewa kupata taarifa.Hivyo wale wanufaika wakawa wale wanachama pendwa wa chama ambao ni sehemu ya genge la wapigaji ndani ya chama.Wizi huu unasaidiwa na hoja ya kwanza ya matumizi ya namba za simu za watu binafsi kwa makusanyo ya fedha za kijamii.

3.Ukandamizaji wa Wanyonge
Viongozi wa Chadema wamekua wakipiga kelele kuwa hali ya uchumi ni ngumu,na watu hawana hela,wameenda mbali na kuzunguka katika nchi za wahisani kuzuia mikopo,kwa hoja za kutunga na zile za kutengeneza.

Tunajua mshahara wa Mbunge,tunafahamu marupurupu ya Mbunge,tunafahamu posho za vikao na pesa za jimbo,tunafahamu mali za kila mbunge na account zao nje ya nchi.Tunafahamu pesa iliyopo ndani ya chama,na pesa ambazo mabeberu wanachangia chama.Jiulize,hivi ni sawa kweli kumtaka mtanzania mnyonge mwenye hali mbaya kukopa kwenye tigo pesa au mtu maskini kuchangia kisa ulipe faini ya kosa ulilojitakia wakati una uwezo wa kulipa hiyo pesa?

Ni wazi tabia za mabeberu za alie nacho huongezewa zimekita ndani ya mioyo yao na kutokuwa na huruma kwa Watanzania.

4.Kutokuanisha michango mikubwa katika makusanyo
Taarifa zilizopo zinzonesha kuwa michango mikubwa inayotoka kwa wadhamini wa nje ya nchi wa chama cha Chadema imekua haiwekwi bayana kwani ni sehemu muhimu ya upigaji wa fedha.Michango hii inakadiriwa kuzidi kiwango kilichohitajika kwa ajili ya faini za viongozi hawa wa chama.

5.Kutumia tukio hili kama kitega uchumi
Ni wazi kuwa viongozi hawa wa Chadema walitenda kosa hili bila kujua uimara wa mahakama kwa awamu hii ya tano.Walidhania kuwa mahakama inaweza kuyumbishwa na wanasiasa,walidhani kuwa wanaweza kuwa juu ya sheria.Baada ya kugundua kuwa wanaweza kufungwa kama watanzania wengine waliamua kutumia tukio kisiasa na kupata huruma ya wananchi kupitia michango.

6.Utakatishaji Fedha
Kuna kila dalili ya jinai ya utakatishaji katika zoezi zima la ukusanyaji wa michango,hii inatokana na zoezi lilivyoendeshwa na usiri uliopo kwenye makusanyo.Pili kuna wanachama wengi wa chadema waliokuwa wakijihusisha na madawa ya kulevya ambao wamepata kichaka cha kuhalalisha pesa zao.

7.Hofu ya kuchunguzwa matumizi
Watanzania wote wanajua wazi kuwa Raisi wetu anaupendo mkubwa na watanzania wote,licha ya kuwa yeye ni kiongozi wa chama tawala lakini pia husaidia vyama vingine pale inapobidi.Kwa kuwa Rais ni ndugu wa Peter Msigwa alifuatwa na familia na kuchangia kiasi cha 38m ili Msigwa na wanachama wengine watoke.

Taarifa za ndani zinaonesha kuwa hela aliyotoa ilitakiwa ingie kwenye kapu ambalo halina hesabu akakataa kutokana na wasiwasi wa mchakato mzima.Sote tunamjua Raisi Magufuli pesa yake hailiwi kizembe,aliamua kulipa hela na kuhakikisha Peter Msigwa anatoka.

Ushauri,serikali kupitia taasisi zake za usalama zinatakiwa zichunguze chama hiki kufahamu mapato na matumizi ya michango hii.Pia ni jukumu la wanachama kuhoji juu ya matumizi ya namba za simu binafsi na kiwango kilichochangwa. Vinginevyo kikundi cha watu wachache kitaendelea kuhujumu nchi kupitia wanachama.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Lete ushahidi...ELSE huu ni umbeya...maneno matupu..

Everyday is Saturday..................... 😎
 
Ndo maana hata rais kawashitukia,wanaotoka upinzani ndo anawapa uongozi,amegundua kuwa hawa wapiga vuvuzela waendelee na kazi hiyo maana ndo inayo wafaa
Aina ya watu mnaotumiwa kupiga propaganda dhidi ya CHADEMA ni watu dhaifu kuanzia akili hadi mitazamo..
Watu wa aina hii wanasababisha CCM iendelee kuonekana kama Chama chakavu kilichopo kwenye madaraka..
Kama Dola imeshindwa kuwarudisha nyuma CHADEMA unadhani huu ujinga wa kwenye mitandao utasaidia?


Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Chadema imeendelea kuwathibitishia wanachama wake wachache waliobaki kuwa ni chama cha kundi dogo la watu wanaojali maslahi yao binafsi kuliko maslahi ya mtanzania mwingine yeyote.

Hii inathibitika katika zoezi lililomalizika la uchangiaji wa fedha kwa ajili ya faini za makosa waliyofanya viongozi hao kwa maslahi yao yaliyowatia hatiani katika mahakama ya hakimu mkazi Kisutu.

Mambo yafuatayo yanaonesha wazi ubadhirifu uliopo na unaoendelea juu ya michango hii ambayo inalenga kufaidisha kikundi hiki cha watu wachache ndani ya chama.

1.Matumizi ya Namba za Simu Binafsi
Tunafahamu kuwa michango ya chama au ya taasisi inapaswa kutumia simu yenye jina la ile taasisi au jina la lile tukio.Tulitegemea kwa kuwa kuna account na namba za chama ambazo zinatumika kila siku,zitumike kukusanya pesa hizi na zipelekwe mahakamani kuwatoa wanachama hawa.Lakini namba binafsi zimetumika makusudi kuficha ubadhirifu ambao unaendelea kufanyika wa kukwapua mali na fedha za wanachama ndani ya chama.Wapo wenye namba ambao wamesha anza kutoa hela wakidai hela hizo ni binafsi na sio hela za makusanyo ya faini za wanachama.Mkanganyiko huu unadhihirisha wazi kuwa kadiri zoezi linavyoendelea zipo pesa nyingi zitakazopigwa kwa staili hii.

2.Taarifa kuchelewa kuwafikia wanachama
Chadema imefanya makusudi kutumia mitandao ya kujamii kutangaza zoezi la uchangiaji kwa lengo kuwa taarifa za uchangiaji zitafika pole pole kwa wanachama wao na licha ya zoezi kuwa limefungwa,wapo wanachama watakao endelea kuchangia hizo fedha kwa kuchelewa kupata taarifa.Hivyo wale wanufaika wakawa wale wanachama pendwa wa chama ambao ni sehemu ya genge la wapigaji ndani ya chama.Wizi huu unasaidiwa na hoja ya kwanza ya matumizi ya namba za simu za watu binafsi kwa makusanyo ya fedha za kijamii.

3.Ukandamizaji wa Wanyonge
Viongozi wa Chadema wamekua wakipiga kelele kuwa hali ya uchumi ni ngumu,na watu hawana hela,wameenda mbali na kuzunguka katika nchi za wahisani kuzuia mikopo,kwa hoja za kutunga na zile za kutengeneza.

Tunajua mshahara wa Mbunge,tunafahamu marupurupu ya Mbunge,tunafahamu posho za vikao na pesa za jimbo,tunafahamu mali za kila mbunge na account zao nje ya nchi.Tunafahamu pesa iliyopo ndani ya chama,na pesa ambazo mabeberu wanachangia chama.Jiulize,hivi ni sawa kweli kumtaka mtanzania mnyonge mwenye hali mbaya kukopa kwenye tigo pesa au mtu maskini kuchangia kisa ulipe faini ya kosa ulilojitakia wakati una uwezo wa kulipa hiyo pesa?

Ni wazi tabia za mabeberu za alie nacho huongezewa zimekita ndani ya mioyo yao na kutokuwa na huruma kwa Watanzania.

4.Kutokuanisha michango mikubwa katika makusanyo
Taarifa zilizopo zinzonesha kuwa michango mikubwa inayotoka kwa wadhamini wa nje ya nchi wa chama cha Chadema imekua haiwekwi bayana kwani ni sehemu muhimu ya upigaji wa fedha.Michango hii inakadiriwa kuzidi kiwango kilichohitajika kwa ajili ya faini za viongozi hawa wa chama.

5.Kutumia tukio hili kama kitega uchumi
Ni wazi kuwa viongozi hawa wa Chadema walitenda kosa hili bila kujua uimara wa mahakama kwa awamu hii ya tano.Walidhania kuwa mahakama inaweza kuyumbishwa na wanasiasa,walidhani kuwa wanaweza kuwa juu ya sheria.Baada ya kugundua kuwa wanaweza kufungwa kama watanzania wengine waliamua kutumia tukio kisiasa na kupata huruma ya wananchi kupitia michango.

6.Utakatishaji Fedha
Kuna kila dalili ya jinai ya utakatishaji katika zoezi zima la ukusanyaji wa michango,hii inatokana na zoezi lilivyoendeshwa na usiri uliopo kwenye makusanyo.Pili kuna wanachama wengi wa chadema waliokuwa wakijihusisha na madawa ya kulevya ambao wamepata kichaka cha kuhalalisha pesa zao.

7.Hofu ya kuchunguzwa matumizi
Watanzania wote wanajua wazi kuwa Raisi wetu anaupendo mkubwa na watanzania wote,licha ya kuwa yeye ni kiongozi wa chama tawala lakini pia husaidia vyama vingine pale inapobidi.Kwa kuwa Rais ni ndugu wa Peter Msigwa alifuatwa na familia na kuchangia kiasi cha 38m ili Msigwa na wanachama wengine watoke.

Taarifa za ndani zinaonesha kuwa hela aliyotoa ilitakiwa ingie kwenye kapu ambalo halina hesabu akakataa kutokana na wasiwasi wa mchakato mzima.Sote tunamjua Raisi Magufuli pesa yake hailiwi kizembe,aliamua kulipa hela na kuhakikisha Peter Msigwa anatoka.

Ushauri,serikali kupitia taasisi zake za usalama zinatakiwa zichunguze chama hiki kufahamu mapato na matumizi ya michango hii.Pia ni jukumu la wanachama kuhoji juu ya matumizi ya namba za simu binafsi na kiwango kilichochangwa. Vinginevyo kikundi cha watu wachache kitaendelea kuhujumu nchi kupitia wanachama.
Daah ww kweli ni kilaza
 
Back
Top Bottom