luangalila
JF-Expert Member
- Jan 12, 2014
- 6,346
- 6,928
Una andikaje UZI mkubwa kama huu wa shutuma nzito bila hata kaushahidi either kapicha au ka video ?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mkuu me mwenyewe nita mshitakia mizimu ya kwetu kama serekali ikismuachia huru!Sabaya kuwa huru na ku clear kesi zote linaweza kuwa ajabu la tisa la dunia
Kitendo cha kutumia neno 'hata'ni kuhalalisha dhambi kwa dhambi nyngine ambapo hakikubaliki kisheria piaMkuu, ukijibishana na Mtu, akaanza kusema, “hata Wewe!” Mara hata nyie mtakufa, hata nyie ni mafisadi, ni ishara ya kufilisika hoja! #pushgang wameishiwa vibaya sana, wanapigwa kotekote bila Huruma!
During hay days!
Jumatatu itacheua full version!Bashite nae alichukuliwa juz kwake igoma hapa,soon mtaskia kimeumana
With my naked eyes nmeona gar tatu kwake hapo juz baada ya muda wakatoka jamaa wawil shombeshombe wako na m earphones,muda kidogo jamaa katolewa nje kapandshwa kwny gar wakaondoka nae,ila nlishangaa Hamdun kasema hawajamshikiliaJumatatu itacheua full version!
Huyu ndiye jambazi sugu Sabaya?
Yeah for public interest lazima waseme hivyo kwanza...! Unachukuliwa unahojiwa kisha unapigwa search ya kibabe, halafu wanalinganisha findings za search, utetezi wako na tuhuma zinazokukabiliWith my naked eyes nmeona gar tatu kwake hapo juz baada ya muda wakatoka jamaa wawil shombeshombe wako na m earphones,muda kidogo jamaa katolewa nje kapandshwa kwny gar wakaondoka nae,ila nlishangaa Hamdun kasema hawajamshikilia
ile barabara ya tiles aliyoijenga njia ya kwao..na ule mjengo wa capri point uliisha ? gorofa 5 la rwagasore? kajamaa ni tajiri sanaBashite nae alichukuliwa juz kwake igoma hapa,soon mtaskia kimeumana
Wamepigwa mbele na nyumaMkuu, ukijibishana na Mtu, akaanza kusema, “hata Wewe!” Mara hata nyie mtakufa, hata nyie ni mafisadi, ni ishara ya kufilisika hoja! #pushgang wameishiwa vibaya sana, wanapigwa kotekote bila Huruma!
Jambazi aliyekuwa na kibali cha rais
..Mbio...siyo ...mbiyo ..Hapo kwenye “mboo”, bila shaka ulimaanisha mbiyo.
Wafuasi wala hatuhangaiki na utunzi wa Malisa.Kiongozi wa mbio za Mwenge kitaifa, Luteni Josephine Mwambashi amekataa kuweka Jiwe la Msingi kwenye Kituo cha Afya kilichopo wilayani Hai kwa madai kuwa ujenzi wa kituo hicho umegubikwa na rushwa. Awali katika hotuba ya ufunguzi ilielezwa kwamba aliyekua mkuu wa wilaya hiyo Lengai Ole Sabaya ndiye aliunda kamati ya kukusanya fedha kutoka kwa wadau mbalimbali ili kufanikisha ujenzi wa kituo hicho.
Sabaya aliviagiza vyama vya ushirika wilayani Hai vichangie jumala ya TZS 600M ambapo katika hatua ya awali viliweza kuchangia TZS 338M na kuahidi kuendelea kuchanga kadri ujenzi unavyoendelea. Wadau wengine wakiwemo wafanyabiashara na wawekezaji walichangia jumla ya TZS 169M.
Sabaya aliunda kamati ya fedha ambayo ilimjumuisha yeye kama Mwenyekiti, mabaunsa wake wawili kama wajumbe, na watu wengine wawili ambao si watumishi wa umma. Kamati hiyo ndiyo iliyohusika na kutoa pesa kwenye akaunti ya ujenzi wa kituo hicho. Hii ni kinyume na sheria ya manunuzi ya umma ya mwaka 2011 ambayo inataka pawepo na watumishi wa umma katika kamati hiyo.
Hadi sasa zaidi ya 369M zimeshatumika lakini hakuna maandishi yoyote yanayoonesha fedha zilitokaje bank na zilitumikaje. Pia hakuna nyaraka yoyote inayoonesha "signatories" wa kutoa fedha hizo kati ya wajumbe watano wa kamati hiyo.
Hata vyama vya ushirika ambavyo ni wadau wakubwa katika mradi huo hawakushirikishwa kwenye kamati ya fedha ili kujua fedha zao zimetumikaje. "Waliambiwa wachangie na walipomaliza kuchangia, hawakuhusishwa kwenye kamati iliyoratibu ujenzi, hivyo hawajui fedha walizochangia zimetumikaje" amesema Luteni Mwambashi.
Kufuatia hali hiyo, Kiongozi huyo wa mbio za mwenge kitaifa, ameagiza ofisi ya TAKUKURU mkoa wa Kilimanjaro wafanye uchunguzi, ili kama kuna ubadhirifu watu wote waliohusika wapewe haki yao ya kikatiba.!
Credit: Malisa GJ
My Take
Wafuasi mna kazi kubwa ya kutetea jizi