Ufisadi wa Sabaya: Mwenge wakataa mradi aliosimamia, Mabaunsa wake walikuwa Wajumbe wa Kamati

Una andikaje UZI mkubwa kama huu wa shutuma nzito bila hata kaushahidi either kapicha au ka video ?
 
Duh kumbe sabaya alikuwa mhasibu wa miradi na mwenyekiti na muweka hazina duh mavyeo kama yote!
 
K
Mkuu, ukijibishana na Mtu, akaanza kusema, “hata Wewe!” Mara hata nyie mtakufa, hata nyie ni mafisadi, ni ishara ya kufilisika hoja! #pushgang wameishiwa vibaya sana, wanapigwa kotekote bila Huruma!
Kitendo cha kutumia neno 'hata'ni kuhalalisha dhambi kwa dhambi nyngine ambapo hakikubaliki kisheria pia
 
With my naked eyes nmeona gar tatu kwake hapo juz baada ya muda wakatoka jamaa wawil shombeshombe wako na m earphones,muda kidogo jamaa katolewa nje kapandshwa kwny gar wakaondoka nae,ila nlishangaa Hamdun kasema hawajamshikilia
Yeah for public interest lazima waseme hivyo kwanza...! Unachukuliwa unahojiwa kisha unapigwa search ya kibabe, halafu wanalinganisha findings za search, utetezi wako na tuhuma zinazokukabili

Wakishajiridhisha kuna kesi ya/za kujibu wanakukamata officially sasa! Lakini ukamataji wake unakuwa tofauti kidogo, umma unaweza kuambiwa kuwa ni kwa ajili tu ya mahojiano na kutaka ufafanuzi wa masuala fulani, lakini ndio inakuwa imetoka iyo
Kifuatacho ni mahakamani na baadhi ya kesi ni
Matumizi mabaya ya ofisi
Uhujumu uchumi
Rushwa
Mauaji
Nyingi ya hizo tuhuma HAZINA DHAMANA!
 
Bashite nae alichukuliwa juz kwake igoma hapa,soon mtaskia kimeumana
ile barabara ya tiles aliyoijenga njia ya kwao..na ule mjengo wa capri point uliisha ? gorofa 5 la rwagasore? kajamaa ni tajiri sana
 
Mkuu, ukijibishana na Mtu, akaanza kusema, “hata Wewe!” Mara hata nyie mtakufa, hata nyie ni mafisadi, ni ishara ya kufilisika hoja! #pushgang wameishiwa vibaya sana, wanapigwa kotekote bila Huruma!
Wamepigwa mbele na nyuma
 
Ifike mahala Viongozi wa mbio za Mwenge wa Uhuru wapewe Uhuru wa kuhoji,kukamata na kufungulia mashitaka yeyote anayehujumu miradi ya maendeleo hata kama tayari alikwisha tuhumiwa na makosa mengine.
Hapo ndipo tutakapowaenzi Waasisi wetu kwa kutuchia tochi yenye Mwanga mkali.
Ni aibu kwa viongozi wa mbio za Mwenge kufika sehemu za uzinduzi na kukuta kuna uhuni na ubadhirifu mkubwa wa mradi, huko ni kuupoteza muda na kuvunja Heshima ya Mwenge wa Uhuru.
Ingelikuwa ni enzi zile za 1970-1983's kuna mtu leo angelikuwa kizuizini.
 
Wafuasi wala hatuhangaiki na utunzi wa Malisa.

Tunahangaika na kutekeleza ilani ya CCM sssa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…