Ufisadi wa Sabaya: Mwenge wakataa mradi aliosimamia, Mabaunsa wake walikuwa Wajumbe wa Kamati

ile barabara ya tiles aliyoijenga njia ya kwao..na ule mjengo wa capri point uliisha ? gorofa 5 la rwagasore? kajamaa ni tajiri sana
C point kasimamisha gorofa tano na zinapanda kwa pamoja,yaan haka kajamaa kana hela nying sanaa,juz ndo usalama walikuwa wamepak magar njia ya kwao aliyoipiga zege ...ss iv atakuwa anahojiwa,na kama hakuwa na akili za kumpanga mtu kwa ajil ya hizo mali soon nae kitaumana
 
hata kama kuna mtu kampanga,haitasaidia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…