Ufuatao ni 'Mjumuisho' wangu wa 'Kiuchambuzi' baada ya kuiona Simba SC jana katika 'Simba Day' yao

Ufuatao ni 'Mjumuisho' wangu wa 'Kiuchambuzi' baada ya kuiona Simba SC jana katika 'Simba Day' yao

Credit kwako Genta! Uchambuzi mzuri sana.

Kuongezea kidogo:-
1. Aliye karibu na benchi la ufundi la Simba awaambie kabisa wamwambie Inonga kuwa bado hajawajua vizuri mashabiki wa Tanzania. Siku akifungisha na hasa iwe mechi ya "derby " ndiyo atajua hajui kwani hao hao wanaomwimba leo ndio siku hiyo watamtukana na kuiona Simba na Tanzania chungu. Itokee tu bahati mbaya afungishe kwa sababu mpira ni mchezo wa makosa lakini kama ikitokea ni makosa kwa sababu ya hizo "turn" zake ili apewe sifa wakati ni mtu wa mwisho basi shauri yake. Akumbuke kuwa wapo wachezaji wenye akili wameshamsoma kwa hiyo ni suala la timing tu. Siku zote beki hasifiwi kwa hiyo ni bora awe anatoa mipira nje ili timu ijipange kuliko "risk" anayobeba wakati huo yeye ndio mtu wa mwisho. Ikibidi benchi la ufundi limtafutie "clip" ya kipa wa Colombia Rene Higuita VS Roger Miler kuna kitu Inonga atajifunza .
2. Mwenda inaonekana kuna mtu mzito sana pale Simba anambeba. Duchu amemzidi sana huyo dogo. Lakini hata akibebwa vipi ipo siku tu itatokea mechi kubwa halafu Kapombe majeruhi hapo labda benchi la ufundi lijiongeze kumtumia Erasto au kiraka Kapama.
3. Kanoute kila siku uwezo wake unazidi kupungua na sasa inaonekakana jezi ya Simba ni kubwa sana kwake. Zile rafu zake sio "technical" kabisa kama alizokuwa anacheza Lwanga. Kwa hiyo kadi zitamhusu sana.
4. Akpan kama vile alipaniki mashabiki wa Simba wampe muda huenda labda atatulia. Kwa vibe lile inahitaji mchezaji atulize kichwa sana.
5. Sakho bado ana utoto mwingi anatakiwa aambiwe ukweli acheze "team work" aache kucheza na jukwaa.
6 Kiyombo alikuwa anahama sana katikati kiasi mabeki wa St. George wakawa hawana kazi ngumu na mipira ikija unakuta yeye yupo "out of position". Angetumia muda mwingi kukaa katikati nina hakika angepata goli kama sio magoli.
7. Chama ameanza kurudi enzi zake, mzungu yupo fresh, Okwa utulivu wa hali ya juu sana mpira ukiwa miguuni kwake, Okra naona kama vile na yeye "vibe ' lilimchanganya kwa kiasi fulani ila ana kitu mguuni, Phiri nahitaji kumuona akicheza muda mrefu, Muzamiru na Mkude walijitahidi kwa kiasi chao.

Mapungufu makubwa niliyona kwa Simba jana ni ukabaji pale katikati kwani mabeki wa kati walikuwa wanafikiwa kirahisi sana. Inabidi benchi la ufundi lifanyie kazi mapungufu hayo.
 
Yaani Genta ni mnafiki siyo! Kwa hiyo ndiyo kusema juzi kati tu hapa alikuwa anawatishia viongozi wake kumsajili Manzoki, badala ya huyo Mzungu!

Halafu leo baadavyavMzungu kucheza kwa dakika chache tu; tayari kamsahau Manzoki, na pongezi na sifa zote anazipeleka kwa Mzungu yule yule aliyemponda hapo kabla!
Hii style yako hii...haya bana..!!
 
Heko kwa Msemaji Ahmed Ally amejitahidi, ila kwa Siku zijazo awe na back up ya Mtu mwingine Maarufu, Mchangamshaji na mwenye Sauti ya Juu ya Kimatukio.

Golikipa Beno David Kakolanya ameimarika na Kukomaa vyema ila ajitahidi sana kufanyia Kazi 'Footwork' yake ambayo si nzuri na hata Mwenzake Aishi Manila analo tatizo hili japo Kwake siyo kwa sana.

Beki Mohammed Outarra sina cha Kumdai kwani ni Beki ambaye amekuja Kutibu tatizo Sugu la Simba SC la kutocheza vyema Mipira ya Juu ( Aerial Balls ) ambalo limekuwa likiigharimu kwa muda mrefu. Niseme tu Asante kwa Waliomsajili na nimemkubali 100% zote.

Beki Henock Inonga Baka nilishawahi Kumuandika hapa JamiiForums Kwanza Kukiri kuwa ni Beki Bora na mwenye Kipaji ila nilisema na leo narudia tena kusema kuwa arekebishwe na tabia yake ya Kujiamini kulikopitiliza, kupenda Sifa, Kudekadeka hovyo na kupenda Jukwaa kwa kufanya Upekee.

Henock Inonga Baka asiporekebishwa haraka nina uhakika ama katika Mechi ya Jumamosi na Yanga SC au zile za Klabu Bingwa atakuja Kutugharimu pakubwa na tutajuta.

Kijana Beki wa Kulia Israel Patrick Mwenda sijui mpaka leo kwanini bado yuko Simba SC kwani ameshindwa Kuimarika, anakamia mno na hana Umakini wa Kutosha.

Sioni sababu ni kwanini Mchezaji mahiri David Kameta Duchu tuliyemtoa kwa Mkopo Geita Gold FC ambaye amecheza vyema sana katika Ligi Kuu ya NBC iliyomalizika harejeshwi Simba SC na tumebakia na Beki mbovu kama Israel Patrick Mwenda.

Kwa Mabeki Mahiri na Mafundi akina Kapombe na Tshabalala sina Deni nao kwani bado wapo vizuri na Ninawapenda zaidi.

Kama kuna Mchezaji wa Simba SC ambaye simkubali na nilishangaa kuona Yeye kabakishwa na Thadeo Lwanga kaachwa ni Saido Kanoute.

Kanoute hajui Kukaba na akikaba anakaba kwa Kucheza Rafu ( Faulo ) za Kijinga kama siyo Kipumbavu, anagombana hovyo na Marefa, Mbishi na anachoka ( Tenki linapungua ) mapema sana.

Mchezaji Okra anaonekana na Vitu vingi Mguuni na Kipaji kweli ila ameathirika na Presha ya kutaka kufanya makubwa ndani ya Simba SC kwa muda mfupi kitu ambacho ni Kigumu na with time atakuja Kuweza kufanya kile ambacho amekikamia kutaka kutufanyia wana Simba SC.

Mchezaji Sakho nadhani ni Sikio la Kufa kwani licha ya kuwa na Kipaji Kikubwa ila ni Mbinafsi ( Mchoyo ) na anapenda Chenga ambazo haziisaidii Timu bali zinamsaidia Yeye Binafsi na Utoto wake unaomsumbua. Akibadilika au akibadilishwa atakuja kuwa na Msaada mkubwa wa Ushindi kwa Simba SC yetu. Ana Mbwembwe nyingi zisizo na Faida kwa Klabu na Binafsi huwa ananiboa mno tu.

Mchezaji Okwa ( kutokea nchini Nigeria ) kama wana Simba SC wote tunajitambua basi huyu sasa ndiyo Mfalme mpya ndani ya Simba SC kwani ana Kila Kitu na ni bonge la 'Playmaker' na kwa Uchezaji wake atasumbua sana Uwanjani hasa sehemu ya Kiungo na Ushambuliaji ambayo ndiyo amebobea nayo na anaitendea vyema. Kwa Mpira mkubwa anaoucheza jana nilitamani muda wote awe anapelekewa Mpira ili afanye Maufundi ( Maudambwidambwi ) yake.

Mshambuliaji HATARI Moses Phiri niliyemfahamu Mimi Msimu uliopita alipokuwa Kwao nchini Zambia siyo huyu anayenipa MASHAKA kwa sasa.

Mshambuliaji Mzawa Habib Kiyombo namuona kama tu akirekebishwa hasa Kisaikolojia basi atakuja kuwa Tegemeo na Faida Kubwa katika sehemu ya Ushambuliaji.

Napenda Mikimbio yake, anavyojipanga, Nguvu zake na uwezo wake wa Kupiga Mashuti ya Kulenga Goli.

Mshambuliaji Kibu Denis anaendelea Kuimarika ila naomba tu asaidiwe jinsi ya kujua ni wapi atumie Nguvu na wapi atumie Akili kwani nimegundua ana tatizo Kubwa la kutokujua ni wapi avitumie Kiufasaha vyote hivi Viwili, ila ni Mchezaji muhimu na atatusaidia zaidi Simba SC hasa katika zile Mechi zinazohitaji 'Physical' hasa.

Mwisho nimesikitika sana kuona Wapumbavu fulani ambao wanasema ( wamesema ) kuwa Mzungu Mserbia Dejan Simba SC tumepigwa na kwamba si mzuri.

Sasa leo GENTAMYCINE nawaambieni msiojua Mpira kuwa kama kuna Mchezaji ambaye kama tu akipewa Ushirikiano mzuri na Wenzake, akiyazoea Mazingira ya Tanzania na Ligi yetu, akiaminiwa na asipofanyiwa Mambo ya Uswahili na Wenzake atakuja kuwa Msaada na Tegemeo ni huyu Mserbia Dejan.

Ana Nguvu, Kasi, Mpambanaji halafu anachonivutia ni kwamba hasimami sehemu moja, ana Pumzi na anaweza hadi Kushuka chini kuja kusaidia Kukaba na kuanzisha Mashambulizi.

All in all ni Usajili wa Matumaini ila ninachokiomba hasa kwa Uongozi wa Simba SC na wana Simba SC wote ni Umoja, Nguvu Moja na Ushirikiano mkubwa, Kujitoa na Kupambana kweli ndani na nje ya Uwanja hasa tukitambua kuwa Mpira ni Mchezo wa Vita isiyotumia Silaha za Moto.

Mikakati ya Ubingwa ianze sasa hivi!!!

Cc: Bila bila, Msanii, adriz
Upo sahihi 100%
 
Baada ya tarehe 13 utakuja kuwatukana hapa kwa kipigo watakachopata.
 
Japo haongelewi sana ila Banda naona kunajambo anataka kulionyesha kocha ampe nafasi tu
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] simba queens tena??
Ukienda kwa wanaume watakugegeda mrembo na wanajua kuioelekea moto mbususu utanogewa utashindwa kazi
 
Heko kwa Msemaji Ahmed Ally amejitahidi, ila kwa Siku zijazo awe na back up ya Mtu mwingine Maarufu, Mchangamshaji na mwenye Sauti ya Juu ya Kimatukio.

Golikipa Beno David Kakolanya ameimarika na Kukomaa vyema ila ajitahidi sana kufanyia Kazi 'Footwork' yake ambayo si nzuri na hata Mwenzake Aishi Manila analo tatizo hili japo Kwake siyo kwa sana.

Beki Mohammed Outarra sina cha Kumdai kwani ni Beki ambaye amekuja Kutibu tatizo Sugu la Simba SC la kutocheza vyema Mipira ya Juu ( Aerial Balls ) ambalo limekuwa likiigharimu kwa muda mrefu. Niseme tu Asante kwa Waliomsajili na nimemkubali 100% zote.

Beki Henock Inonga Baka nilishawahi Kumuandika hapa JamiiForums Kwanza Kukiri kuwa ni Beki Bora na mwenye Kipaji ila nilisema na leo narudia tena kusema kuwa arekebishwe na tabia yake ya Kujiamini kulikopitiliza, kupenda Sifa, Kudekadeka hovyo na kupenda Jukwaa kwa kufanya Upekee.

Henock Inonga Baka asiporekebishwa haraka nina uhakika ama katika Mechi ya Jumamosi na Yanga SC au zile za Klabu Bingwa atakuja Kutugharimu pakubwa na tutajuta.

Kijana Beki wa Kulia Israel Patrick Mwenda sijui mpaka leo kwanini bado yuko Simba SC kwani ameshindwa Kuimarika, anakamia mno na hana Umakini wa Kutosha.

Sioni sababu ni kwanini Mchezaji mahiri David Kameta Duchu tuliyemtoa kwa Mkopo Geita Gold FC ambaye amecheza vyema sana katika Ligi Kuu ya NBC iliyomalizika harejeshwi Simba SC na tumebakia na Beki mbovu kama Israel Patrick Mwenda.

Kwa Mabeki Mahiri na Mafundi akina Kapombe na Tshabalala sina Deni nao kwani bado wapo vizuri na Ninawapenda zaidi.

Kama kuna Mchezaji wa Simba SC ambaye simkubali na nilishangaa kuona Yeye kabakishwa na Thadeo Lwanga kaachwa ni Saido Kanoute.

Kanoute hajui Kukaba na akikaba anakaba kwa Kucheza Rafu ( Faulo ) za Kijinga kama siyo Kipumbavu, anagombana hovyo na Marefa, Mbishi na anachoka ( Tenki linapungua ) mapema sana.

Mchezaji Okra anaonekana na Vitu vingi Mguuni na Kipaji kweli ila ameathirika na Presha ya kutaka kufanya makubwa ndani ya Simba SC kwa muda mfupi kitu ambacho ni Kigumu na with time atakuja Kuweza kufanya kile ambacho amekikamia kutaka kutufanyia wana Simba SC.

Mchezaji Sakho nadhani ni Sikio la Kufa kwani licha ya kuwa na Kipaji Kikubwa ila ni Mbinafsi ( Mchoyo ) na anapenda Chenga ambazo haziisaidii Timu bali zinamsaidia Yeye Binafsi na Utoto wake unaomsumbua. Akibadilika au akibadilishwa atakuja kuwa na Msaada mkubwa wa Ushindi kwa Simba SC yetu. Ana Mbwembwe nyingi zisizo na Faida kwa Klabu na Binafsi huwa ananiboa mno tu.

Mchezaji Okwa ( kutokea nchini Nigeria ) kama wana Simba SC wote tunajitambua basi huyu sasa ndiyo Mfalme mpya ndani ya Simba SC kwani ana Kila Kitu na ni bonge la 'Playmaker' na kwa Uchezaji wake atasumbua sana Uwanjani hasa sehemu ya Kiungo na Ushambuliaji ambayo ndiyo amebobea nayo na anaitendea vyema. Kwa Mpira mkubwa anaoucheza jana nilitamani muda wote awe anapelekewa Mpira ili afanye Maufundi ( Maudambwidambwi ) yake.

Mshambuliaji HATARI Moses Phiri niliyemfahamu Mimi Msimu uliopita alipokuwa Kwao nchini Zambia siyo huyu anayenipa MASHAKA kwa sasa.

Mshambuliaji Mzawa Habib Kiyombo namuona kama tu akirekebishwa hasa Kisaikolojia basi atakuja kuwa Tegemeo na Faida Kubwa katika sehemu ya Ushambuliaji.

Napenda Mikimbio yake, anavyojipanga, Nguvu zake na uwezo wake wa Kupiga Mashuti ya Kulenga Goli.

Mshambuliaji Kibu Denis anaendelea Kuimarika ila naomba tu asaidiwe jinsi ya kujua ni wapi atumie Nguvu na wapi atumie Akili kwani nimegundua ana tatizo Kubwa la kutokujua ni wapi avitumie Kiufasaha vyote hivi Viwili, ila ni Mchezaji muhimu na atatusaidia zaidi Simba SC hasa katika zile Mechi zinazohitaji 'Physical' hasa.

Mwisho nimesikitika sana kuona Wapumbavu fulani ambao wanasema ( wamesema ) kuwa Mzungu Mserbia Dejan Simba SC tumepigwa na kwamba si mzuri.

Sasa leo GENTAMYCINE nawaambieni msiojua Mpira kuwa kama kuna Mchezaji ambaye kama tu akipewa Ushirikiano mzuri na Wenzake, akiyazoea Mazingira ya Tanzania na Ligi yetu, akiaminiwa na asipofanyiwa Mambo ya Uswahili na Wenzake atakuja kuwa Msaada na Tegemeo ni huyu Mserbia Dejan.

Ana Nguvu, Kasi, Mpambanaji halafu anachonivutia ni kwamba hasimami sehemu moja, ana Pumzi na anaweza hadi Kushuka chini kuja kusaidia Kukaba na kuanzisha Mashambulizi.

All in all ni Usajili wa Matumaini ila ninachokiomba hasa kwa Uongozi wa Simba SC na wana Simba SC wote ni Umoja, Nguvu Moja na Ushirikiano mkubwa, Kujitoa na Kupambana kweli ndani na nje ya Uwanja hasa tukitambua kuwa Mpira ni Mchezo wa Vita isiyotumia Silaha za Moto.

Mikakati ya Ubingwa ianze sasa hivi!!!

Cc: Bila bila, Msanii, adriz
Tunasubiri zile nondo ulisema utaziachia baada ya simba kusajili mzungu
 
Ukienda kwa wanaume watakugegeda mrembo na wanajua kuioelekea moto mbususu utanogewa utashindwa kazi
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] khaaaah
 
Hujawahi kuniangusha Kwa uchambuzi ulioshiba. Lakini kuna Mtu umemuacha na Mimi ni shabiki wake mkubwa lakini Jana kaniangusha vibaya. Victor Akpan. Huyu jamaa ana nguvu na akili za wastani, ana mwili unaotosha Kwa vurugu za dimba la chini lakini namuona kama ameathiriwa na maneno ya Kocha kumkataa wakati amesajiliwa juzi tu. Anatakiwa kujua anachezea timu kubwa na pia ni mchezaji wa kulipwa (professional). Kiwango alichoonyesha Jana bado ana kazi kubwa ya kuwaonyesha mashabiki na walimu wake kwamba anafaa kuwa hapo vinginevyo ajiandae Kwa mkopo January 2023.
Kuhusu Inonga uko sahihi. Humu huwa tunabaki wawili tu tunaomsema maana wengine wakipenda hata chongo wataita kengeza. Varane wa Bongo ana tatizo mahali, anapenda Sana sifa kama Wahaya (samàhani), Angeacha Tabia ya kucheza na jukwaa msimu huu tungekuwa tumemsikia anatafutwa Ulaya kufanya majaribio.
Israel bado ndugu, nadhani Israel mtoa roho anamvuta ili amtoe Simba. Wakati mwingine makocha Wana mawazo binafsi na macho ya pekee, lakini Kwa macho ya kawaida inashangaza Duchu kuwa Geita Gold na Israel kuwa Simba.
Kuhusu Kanoute ha ha ha ha! Kijana yule anapewa nafasi ambayo yeye analazimisha awepo ili aguse mpira mara nyingi awe star. Kanoute hawezi kusukuma timu, apewe winga ya kulia awe backup ya Mtu mwingine katika mfumo wa 4-3-3.
Kuna Wachezaji wawili toka Zambia wameingia Tanzania mwaka huu, Phiri na Kambole. Hawa jamaa saikolojia Yao nadhani ilikuwa kwenda Ulaya wakashitukia wameangukia Afrika Tanzania.
Okrah ni Sakho wa Mwanzo aliyetaka kuachwa na Simba mwaka Jana. Kwa bahati mbaya hawajui Watanzania, mashabiki wa Simba hawana tofauti na Wa Manchester Utd atazodolewa aombe kuondoka. Ni mzuri lakini asiharakishe kutafuta ufalme.
Okwa ameijua njia, Hana makuu na hajui kama anashangiliwa au anazomewa yeye Yuko kazini.
Muzamiru na Mkude Mungu aendelee kuwapambania, Kwa Umri wao Jana wamefanya vema.
Chama asante Kwa Utulivu, lakini ni kama mwili na roho vinaongea lugha tofauti. Asante kocha Kwa kumfanya kuwa sub.

MZUNGU WAKO SASA;
Yule jamaa mpira anaujua, tena anaujua vizuri tu Ila usiniambie Hakuna striker kama yeye hapana. Kwa mastriker walioko Sokoni anaifaa Simba. Tatizo lake anacheza Afrika huku akitaka kuendelea kuwa Mzungu. Siku huyu Bwana atakapopangwa hakikisha nyuma yake yupo Chama. Vinginevyo alitakiwa apate Mtu kama Saidoo nyuma yake.
Uchambuzi swaaaafiiiiii kbs .

Hapo kwa mzungu niliwaambia mashabiki wa simba kuwa akichezeshwa mbele chama huyo jamaa atang'ara sana
 
Mimi bila Manzoki kuja Simba siwezi ku coment chochote. Hata sasa sicoment kitu.
 
Legend GENTAMYCINE. Uchambuzi bora kabisa.
Heko kwa Msemaji Ahmed Ally amejitahidi, ila kwa Siku zijazo awe na back up ya Mtu mwingine Maarufu, Mchangamshaji na mwenye Sauti ya Juu ya Kimatukio.

Golikipa Beno David Kakolanya ameimarika na Kukomaa vyema ila ajitahidi sana kufanyia Kazi 'Footwork' yake ambayo si nzuri na hata Mwenzake Aishi Manila analo tatizo hili japo Kwake siyo kwa sana.

Beki Mohammed Outarra sina cha Kumdai kwani ni Beki ambaye amekuja Kutibu tatizo Sugu la Simba SC la kutocheza vyema Mipira ya Juu ( Aerial Balls ) ambalo limekuwa likiigharimu kwa muda mrefu. Niseme tu Asante kwa Waliomsajili na nimemkubali 100% zote.

Beki Henock Inonga Baka nilishawahi Kumuandika hapa JamiiForums Kwanza Kukiri kuwa ni Beki Bora na mwenye Kipaji ila nilisema na leo narudia tena kusema kuwa arekebishwe na tabia yake ya Kujiamini kulikopitiliza, kupenda Sifa, Kudekadeka hovyo na kupenda Jukwaa kwa kufanya Upekee.

Henock Inonga Baka asiporekebishwa haraka nina uhakika ama katika Mechi ya Jumamosi na Yanga SC au zile za Klabu Bingwa atakuja Kutugharimu pakubwa na tutajuta.

Kijana Beki wa Kulia Israel Patrick Mwenda sijui mpaka leo kwanini bado yuko Simba SC kwani ameshindwa Kuimarika, anakamia mno na hana Umakini wa Kutosha.

Sioni sababu ni kwanini Mchezaji mahiri David Kameta Duchu tuliyemtoa kwa Mkopo Geita Gold FC ambaye amecheza vyema sana katika Ligi Kuu ya NBC iliyomalizika harejeshwi Simba SC na tumebakia na Beki mbovu kama Israel Patrick Mwenda.

Kwa Mabeki Mahiri na Mafundi akina Kapombe na Tshabalala sina Deni nao kwani bado wapo vizuri na Ninawapenda zaidi.

Kama kuna Mchezaji wa Simba SC ambaye simkubali na nilishangaa kuona Yeye kabakishwa na Thadeo Lwanga kaachwa ni Saido Kanoute.

Kanoute hajui Kukaba na akikaba anakaba kwa Kucheza Rafu ( Faulo ) za Kijinga kama siyo Kipumbavu, anagombana hovyo na Marefa, Mbishi na anachoka ( Tenki linapungua ) mapema sana.

Mchezaji Okra anaonekana na Vitu vingi Mguuni na Kipaji kweli ila ameathirika na Presha ya kutaka kufanya makubwa ndani ya Simba SC kwa muda mfupi kitu ambacho ni Kigumu na with time atakuja Kuweza kufanya kile ambacho amekikamia kutaka kutufanyia wana Simba SC.

Mchezaji Sakho nadhani ni Sikio la Kufa kwani licha ya kuwa na Kipaji Kikubwa ila ni Mbinafsi ( Mchoyo ) na anapenda Chenga ambazo haziisaidii Timu bali zinamsaidia Yeye Binafsi na Utoto wake unaomsumbua. Akibadilika au akibadilishwa atakuja kuwa na Msaada mkubwa wa Ushindi kwa Simba SC yetu. Ana Mbwembwe nyingi zisizo na Faida kwa Klabu na Binafsi huwa ananiboa mno tu.

Mchezaji Okwa ( kutokea nchini Nigeria ) kama wana Simba SC wote tunajitambua basi huyu sasa ndiyo Mfalme mpya ndani ya Simba SC kwani ana Kila Kitu na ni bonge la 'Playmaker' na kwa Uchezaji wake atasumbua sana Uwanjani hasa sehemu ya Kiungo na Ushambuliaji ambayo ndiyo amebobea nayo na anaitendea vyema. Kwa Mpira mkubwa anaoucheza jana nilitamani muda wote awe anapelekewa Mpira ili afanye Maufundi ( Maudambwidambwi ) yake.

Mshambuliaji HATARI Moses Phiri niliyemfahamu Mimi Msimu uliopita alipokuwa Kwao nchini Zambia siyo huyu anayenipa MASHAKA kwa sasa.

Mshambuliaji Mzawa Habib Kiyombo namuona kama tu akirekebishwa hasa Kisaikolojia basi atakuja kuwa Tegemeo na Faida Kubwa katika sehemu ya Ushambuliaji.

Napenda Mikimbio yake, anavyojipanga, Nguvu zake na uwezo wake wa Kupiga Mashuti ya Kulenga Goli.

Mshambuliaji Kibu Denis anaendelea Kuimarika ila naomba tu asaidiwe jinsi ya kujua ni wapi atumie Nguvu na wapi atumie Akili kwani nimegundua ana tatizo Kubwa la kutokujua ni wapi avitumie Kiufasaha vyote hivi Viwili, ila ni Mchezaji muhimu na atatusaidia zaidi Simba SC hasa katika zile Mechi zinazohitaji 'Physical' hasa.

Mwisho nimesikitika sana kuona Wapumbavu fulani ambao wanasema ( wamesema ) kuwa Mzungu Mserbia Dejan Simba SC tumepigwa na kwamba si mzuri.

Sasa leo GENTAMYCINE nawaambieni msiojua Mpira kuwa kama kuna Mchezaji ambaye kama tu akipewa Ushirikiano mzuri na Wenzake, akiyazoea Mazingira ya Tanzania na Ligi yetu, akiaminiwa na asipofanyiwa Mambo ya Uswahili na Wenzake atakuja kuwa Msaada na Tegemeo ni huyu Mserbia Dejan.

Ana Nguvu, Kasi, Mpambanaji halafu anachonivutia ni kwamba hasimami sehemu moja, ana Pumzi na anaweza hadi Kushuka chini kuja kusaidia Kukaba na kuanzisha Mashambulizi.

All in all ni Usajili wa Matumaini ila ninachokiomba hasa kwa Uongozi wa Simba SC na wana Simba SC wote ni Umoja, Nguvu Moja na Ushirikiano mkubwa, Kujitoa na Kupambana kweli ndani na nje ya Uwanja hasa tukitambua kuwa Mpira ni Mchezo wa Vita isiyotumia Silaha za Moto.

Mikakati ya Ubingwa ianze sasa hivi!!!

Cc: Bila bila, Msanii, adriz
 
Inonga kawagharimu kweli 😂😂😂😆
 
Back
Top Bottom