antimatter
JF-Expert Member
- Feb 26, 2017
- 47,274
- 126,778
Aisee..Kingine zipo mbegu za nguruwe wakisasa hazina asili ya mafuta hivyo hupelekea nyama kuwa nyingi zaidi ukilinganisha na wakienyeji.
Nakupa mfano wa rafiki yangu juzi amechinja nguruwe wakisasa wenye umri miezi7 na katika wote waliochinjwa nguruwe alietoa kilo chache ametoa 50kg lakini waliobaki wametoa 60kg-70kg jambo ambalo kwa nguruwe wakienyeji hio haiwezikani.
Najilinganisha na Mimi mwenye nguruwe wa miezi 6 licha ya matunzo mazuri lakini wanawastani wa 34kg na kumbuka Chakula walichokula ni kiwango sawa na nguruwe wakisasa.
Hivyo majibu mepesi ni kwamba upo umuhumu wakutumia mbegu za kisasa kwenye ufugaji ili kuongeza tija zaidi.
Hao wasio na mafuta mengi ndo mpango mzima sasa!