Ufugaii Nguruwe vs ufugaji Kuku

Aisee..
Hao wasio na mafuta mengi ndo mpango mzima sasa!
 
The more unainvest capital the more u gain profit
 
Kwa sasa pure breeds na hybrid zinaonekana kua na faida zaidi ya kuchinja mfano mtoto aliechishwa anauzwa kuanzia laki 2 nakuendelea ukiangalia kwenye chakula anakua ametumia kiwango kidogo sana mpaka kufikia hapo zaidi ya kunyonya kwa mama kwa maoni yangu ukiwa breeder utapata pesa zaidi.
 
Ahsante sana
 
Ndio Nani huyo?


Huyo aliyekupatia jinsia yako ya kike, mbona huelewi??.

Kuna maswali ya aina mbili ambayo watu wanachanganya; mfano mtu anapouliza wewe ni nani na wewe jina lako nani, hayo ni maswali mawili tofauti na hivyo yanakuwa na majibu tofauti.
 
Huyo aliyekupatia jinsia yako ya kike, mbona huelewi??.

Kuna maswali ya aina mbili ambayo watu wanachanganya; mfano mtu anapouliza wewe ni nani na wewe jina lako nani, hayo ni maswali mawili tofauti na hivyo yanakuwa na majibu tofauti.
Tatizo wewe unamjua alietoa jinsia Mimi simjui...ndo nataka uniambie Ni Nani huyo
 
Tatizo wewe unamjua alietoa jinsia Mimi simjui...ndo nataka uniambie Ni Nani huyo


Tatizo wewe unashindwa kuuliza unachokihitaji, unapouliza; "Ni nani ??"---- hapo unataka kujua Wasifu wa mtu, kiumbe nk, sasa mimi nakupa Wasifu wa huyo unayetaka kumjua, Yeye pamoja na sifa zingine alizonazo sifa mojawapo aliyonayo ni kutupatia sisi viumbe wake jinsia zetu kwani hakuna mtu au kiumbe hai yeyote anaweza kudai kwamba alijichagulia jinsia yeye mwenyewe.

Kama unataka kujua jina lake Yeye anaitwa Mwenyezi Mungu (The Almighty God).

Jina lake:----Mwenyezi Mungu.
Ni nani:- ---- Yeye ndiye aliyekuchagulia kisha akakupa jinsia jinsia uliyonayo na pia akakupa akili ambayo kwa ujinga wa nafsi yako unatumia akili hiyo kumkana Yeye.
 
Kwani wapi Nimemkana??
Mi nataka nimjue.
Haya....jinsia anachaguaje?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…