Ufugaji na kilimo unalipa sana

Ufugaji na kilimo unalipa sana

Tafadhali naomba unijuze blogs zinazohusiana na kilimo
uzijuazo wewe.
Ubarikiwe mkuu
 
Wana JF,

Nimeona mm pia nitoe testimonial kwa faida ya wajasiriamali wanaopenda kilimo na ufugaji.

Ndoto yangu imekuwa kutafuta ujasiriamali utakaoniwezesha kuachana na ajira at 40yrs.Baada ya kujaribu biashara mbalimbali nikagundua kuwa faida zilizopo kwenye kilimo na ufugaji ni kubwa mno especially kama una kamtaji ka kuanzia kapo.Nikaanza kutafuta mashamba.Nikapata kadhaa ila hili la Maseyu ndilo hasa linazaa matunda.kwa wale wanajua morogoro road, hicho kijiji kipo baada ya bwawani au km6 kabla ya mikese.Shamba lipo km1.5 toka barabarani.Nilinunua eka 100 mwaka 2011.

Immediately nikaanza kufyeka na kung'oa visiki.Nikalima eka10 za mahindi na alizeti mwishoni 2012.Nililima eka 2 za tikiti maji.mazao yanastawi si mchezo.masika ya 2013 nikalima eka 20 za alizeti na mahindi.pia nikaanzisha mradi wa nguruwe. Nilianza na nguruwe 8 jike na dume mmoja.sasa nina nguruwe kama 70 hv.Nilipata changamoto kidogo,nguruwe watatu walikufa.kwa changamoto hizo nimepata uzoefu mkubwa. Mambo mengi kama kuchoma chanjo na kutibu baadhi ya magonjwa naweza kufanya mwenyewe kwa maana madaktari nao ni changamoto.nategemea kuanza kuuza nguruwe wakubwa by April.wadogo nauza though soko lake sio kubwa sana.

Pamoja na upungufu wa mvuA mazao yangu ya vule yamekomaa.nna tikiti kama eka10 na mahindi kama eka25. Nextmonth nategemea kulima eka kama 70 hv.nataka kulima mahindi,alizeti,ufuta,mtama na maboga.vyote kwa biashara na chakula ya mifugo yangu.

Nataka niweze kuuza nguruwe 20 kila mwezi by this year. Mwaka jana nimevuna zaidi ya gunia 200 za mahindi na 150 za alizeti.fuso 2 za tikiti maji.Cha zaidi nimetoa ajira kwa vijana kazaa. Tatizo la maji shambani nimetatua last year kwa ku design bwawa na matank cheap.

Karibuni wajasiriamali,future ipo kwenye kilimo.

abari za leo Kiongozi, pamoja na kuwa hii testimonial ni ya muda lakini nahitaji muongozo wako kwenye kilimo hapo Morogoro, kwa upande wa kukodisha, mazao, maeneo mazuri, kwa kifupi nina maswali kadhaa ambayo wewe ndiye utaweza kunisaidia kabla sijaingia morogoro. Nahitaji namba yako ya simu. Nakutakia siku njema.
 
Malafyalep habari Ndugu, na hongera sana kwa kuwekeza kwenye kilimo na ufugaji, & pia asante sana kwa hii elimu uliyotugawia, kweli imekuwa chachu na msaada mkubwa kwa wengi wetu. Mimi kaka naomba kujua kama una uzoefu na Mashamba ya kisarawe. Nina shamba ambalo halijalimwa, na ningependa kuanza na kilimo, then ufugaji. Je kutayarisha tu shamba peke yake inaweza nicost sh....ngapi kwa eka?, mbegu na upandaji je?. Na ni Mazao gani unafikiri yanaweza kukubali katika eneo hilo. Mimi si mjuzi wa Shamba hivyo,ingawa ningependa kijaribu, na msaada wako na wa wengine wenye, uzoefu humu ndani utanisaidia sana. Nitangulize shukrani zangu. Ubarikiwe.
 
Nakupataje mkuu ili tuweze kushare ili nami nifaidike ingawa nimechelewa sana!!! Ila kuna usemi better late than never!!! Naomba contact tuwasiliane kwa simu ili niweze kujifunza.
Wana JF,

Nimeona mm pia nitoe testimonial kwa faida ya wajasiriamali wanaopenda kilimo na ufugaji.

Ndoto yangu imekuwa kutafuta ujasiriamali utakaoniwezesha kuachana na ajira at 40yrs.Baada ya kujaribu biashara mbalimbali nikagundua kuwa faida zilizopo kwenye kilimo na ufugaji ni kubwa mno especially kama una kamtaji ka kuanzia kapo.Nikaanza kutafuta mashamba.Nikapata kadhaa ila hili la Maseyu ndilo hasa linazaa matunda.kwa wale wanajua morogoro road, hicho kijiji kipo baada ya bwawani au km6 kabla ya mikese.Shamba lipo km1.5 toka barabarani.Nilinunua eka 100 mwaka 2011.

Immediately nikaanza kufyeka na kung'oa visiki.Nikalima eka10 za mahindi na alizeti mwishoni 2012.Nililima eka 2 za tikiti maji.mazao yanastawi si mchezo.masika ya 2013 nikalima eka 20 za alizeti na mahindi.pia nikaanzisha mradi wa nguruwe. Nilianza na nguruwe 8 jike na dume mmoja.sasa nina nguruwe kama 70 hv.Nilipata changamoto kidogo,nguruwe watatu walikufa.kwa changamoto hizo nimepata uzoefu mkubwa. Mambo mengi kama kuchoma chanjo na kutibu baadhi ya magonjwa naweza kufanya mwenyewe kwa maana madaktari nao ni changamoto.nategemea kuanza kuuza nguruwe wakubwa by April.wadogo nauza though soko lake sio kubwa sana.

Pamoja na upungufu wa mvuA mazao yangu ya vule yamekomaa.nna tikiti kama eka10 na mahindi kama eka25. Nextmonth nategemea kulima eka kama 70 hv.nataka kulima mahindi,alizeti,ufuta,mtama na maboga.vyote kwa biashara na chakula ya mifugo yangu.

Nataka niweze kuuza nguruwe 20 kila mwezi by this year. Mwaka jana nimevuna zaidi ya gunia 200 za mahindi na 150 za alizeti.fuso 2 za tikiti maji.Cha zaidi nimetoa ajira kwa vijana kazaa. Tatizo la maji shambani nimetatua last year kwa ku design bwawa na matank cheap.

Karibuni wajasiriamali,future ipo kwenye kilimo.
 
MalafayaleP hongera sana. Nimefungua attachment zako mambo ni mazuri sana.
Wana JF,

Nimeona mm pia nitoe testimonial kwa faida ya wajasiriamali wanaopenda kilimo na ufugaji.

Ndoto yangu imekuwa kutafuta ujasiriamali utakaoniwezesha kuachana na ajira at 40yrs.Baada ya kujaribu biashara mbalimbali nikagundua kuwa faida zilizopo kwenye kilimo na ufugaji ni kubwa mno especially kama una kamtaji ka kuanzia kapo.Nikaanza kutafuta mashamba.Nikapata kadhaa ila hili la Maseyu ndilo hasa linazaa matunda.kwa wale wanajua morogoro road, hicho kijiji kipo baada ya bwawani au km6 kabla ya mikese.Shamba lipo km1.5 toka barabarani.Nilinunua eka 100 mwaka 2011.

Immediately nikaanza kufyeka na kung'oa visiki.Nikalima eka10 za mahindi na alizeti mwishoni 2012.Nililima eka 2 za tikiti maji.mazao yanastawi si mchezo.masika ya 2013 nikalima eka 20 za alizeti na mahindi.pia nikaanzisha mradi wa nguruwe. Nilianza na nguruwe 8 jike na dume mmoja.sasa nina nguruwe kama 70 hv.Nilipata changamoto kidogo,nguruwe watatu walikufa.kwa changamoto hizo nimepata uzoefu mkubwa. Mambo mengi kama kuchoma chanjo na kutibu baadhi ya magonjwa naweza kufanya mwenyewe kwa maana madaktari nao ni changamoto.nategemea kuanza kuuza nguruwe wakubwa by April.wadogo nauza though soko lake sio kubwa sana.

Pamoja na upungufu wa mvuA mazao yangu ya vule yamekomaa.nna tikiti kama eka10 na mahindi kama eka25. Nextmonth nategemea kulima eka kama 70 hv.nataka kulima mahindi,alizeti,ufuta,mtama na maboga.vyote kwa biashara na chakula ya mifugo yangu.

Nataka niweze kuuza nguruwe 20 kila mwezi by this year. Mwaka jana nimevuna zaidi ya gunia 200 za mahindi na 150 za alizeti.fuso 2 za tikiti maji.Cha zaidi nimetoa ajira kwa vijana kazaa. Tatizo la maji shambani nimetatua last year kwa ku design bwawa na matank cheap.

Karibuni wajasiriamali,future ipo kwenye kilimo.
 
With ekari 100 mimi naacha na kazi ya kuajiriwa aisee. Big up brother.
 
Za siku Mama Joe, Naona umeongelea mbuzi hapa, vipi biashara yake kwa Dar inalipa, nina hekari kama 70 hivi Rufiji huko pembeni ya mto na kwa tahmini ya haraka ardhi ya huko inakubali sana majani yale marefu yanayoliwa na mifugo na maji yapo ya kutosha,

Nilikuwa ninampango wa kufuga nguruwe ila naona wakazi wengi pale ni waislamu na mto tunashare nao kwa hiyo kelele ni nyingi si unajua tena, na wao ndio wenyeji wangu.

Kama una info zozote za Mbuzi hasa wale wanao zaa mapacha naomba unipe kwa maana ya bei ya sokoni na ni wangapi wanaweza kutunzwa kwa hekari moja maana nitakuwa nawalimia majani(maji yapo ya kutosha mwaka mzima).

Shukrani sana
Mkuu sasa hivi Rufiji ekari moja inatembea kiasi gani!?
 
Mkuu vp bado unaendelea na project za kilimo? Vp maebdeleo kwa sasa? Tunatamani kusikia kutoka kwako mkuu
 
Ndio.Hii project ndio inatuweka mjini.Tumepanua zaidi.Tunauza hadi nguruwe wenye mimba sasa
 
dah mkuu kiukweli unanihamasisha sana.
big up sana bro itabidi nikutafute nije nijifunze zaidi.
na mm nikianza na heka hata mbili nadhani si mbaya.
 
Hata mimi nitakutafuta very soon unipe utaalam mheshimiwa Chief wa Wanyakyusa.ubarikiwe kwa upendo wako umejitoa kutuelimisha!.
 
Wana JF,

Nimeona mm pia nitoe testimonial kwa faida ya wajasiriamali wanaopenda kilimo na ufugaji.

Ndoto yangu imekuwa kutafuta ujasiriamali utakaoniwezesha kuachana na ajira at 40 yrs. Baada ya kujaribu biashara mbalimbali nikagundua kuwa faida zilizopo kwenye kilimo na ufugaji ni kubwa mno especially kama una kamtaji ka kuanzia kapo. Nikaanza kutafuta mashamba. Nikapata kadhaa ila hili la Maseyu ndilo hasa linazaa matunda. Kwa wale wanajua Morogoro road, hicho kijiji kipo baada ya bwawani au km6 kabla ya Mikese. Shamba lipo km1.5 toka barabarani. Nilinunua eka 100 mwaka 2011.

Immediately nikaanza kufyeka na kung'oa visiki. Nikalima eka10 za mahindi na alizeti mwishoni 2012. Nililima eka 2 za tikiti maji, mazao yanastawi si mchezo. Masika ya 2013 nikalima eka 20 za alizeti na mahindi. Pia nikaanzisha mradi wa nguruwe. Nilianza na nguruwe 8 jike na dume mmoja. Sasa nina nguruwe kama 70 hv. Nilipata changamoto kidogo, nguruwe watatu walikufa. Kwa changamoto hizo nimepata uzoefu mkubwa. Mambo mengi kama kuchoma chanjo na kutibu baadhi ya magonjwa naweza kufanya mwenyewe kwa maana madaktari nao ni changamoto.nategemea kuanza kuuza nguruwe wakubwa by April.wadogo nauza though soko lake sio kubwa sana.

Pamoja na upungufu wa mvua mazao yangu ya vule yamekomaa, nna tikiti kama eka10 na mahindi kama eka 25. Next month nategemea kulima eka kama 70 hivi, nataka kulima mahindi, alizeti, ufuta, mtama na maboga. Vyote kwa biashara na chakula ya mifugo yangu.

Nataka niweze kuuza nguruwe 20 kila mwezi by this year. Mwaka jana nimevuna zaidi ya gunia 200 za mahindi na 150 za alizeti, fuso 2 za tikiti maji. Cha zaidi nimetoa ajira kwa vijana kazaa. Tatizo la maji shambani nimetatua last year kwa ku-design bwawa na matank cheap.

Karibuni wajasiriamali, future ipo kwenye kilimo.
kama nakuona mukesh amban wa miaka 5 ijayo..big up mkuu
 
Back
Top Bottom