Ufugaji na kilimo unalipa sana

Ufugaji na kilimo unalipa sana

Nilikwenda gerezani mtaa wa makamba this week.kuna kampuni inaitwa Suba na nikakuta mbegu ya ufuta lindi2002 imeisha though wamesema ikifika watanipigia.naenda morogoro this weekend nitacheck Tanzania seed Association wanazo hizo mbegu.ni shs 5000 kwa kg.
Kuna mtu anajua tanzania seed association ipo wapi hapa dar? Watakuwa na hizo mbegu.

Dah, kwa hiyo mbegu zinawahi kuisha namna hiyo? That means I'll need to buy hizo mbegu mapema sana kabla ya msimu wa kulima haujaanza mwakani. Vipi kama nikinunua 3 or 4 months prior to commencing time mbegu zitafaa? haziharibiki??
Pia kwa heka moja ni kilo ngapi za mbegu zitatosha???

Swali la ushahidi, mkuu hivi hii eka tunayoitaja humu ni Acre or Hectare??
 
Dah, kwa hiyo mbegu zinawahi kuisha namna hiyo? That means I'll need to buy hizo mbegu mapema sana kabla ya msimu wa kulima haujaanza mwakani. Vipi kama nikinunua 3 or 4 months prior to commencing time mbegu zitafaa? haziharibiki??
Pia kwa heka moja ni kilo ngapi za mbegu zitatosha???

Swali la ushahidi, mkuu hivi hii eka tunayoitaja humu ni Acre or Hectare??

Kwa Acre moja mbegu kilo mbili inatosha, Tunaongelea Acre sio Hectare!
 
Mkuu MalafyaleP asante sana kwa ufafanuzi wako na mimi najiandaa mwaka huu lazima niingie kwenye kilimo aise maana hii biashara ya kukaa na kusubiri wengine walime na sisi tununue sio kabisa
tatizo Arusha mashamba ni bei balaa ni bora kutoka nje kabisa ya arusha kuangalia namna ya kuanzisha kilimo
Asante sana mkuu kwa ufafanuzi wako

Kununua napo siyo mbaya...mim nimenunua mpunga umenidodea mana kikwete kaleta mchele wa msaada sasa wenye mipunga tunalia...ila kama ningeuza mwaka huu mambo yangekuwa poa...ila mpunga hautoki nashindwa kuendelea kununua mwingine..hii ndo changamoto iliyopo
 
Last edited by a moderator:
Nawaonea donge wadau mnaolima. Mi tangu nipate hasara ya vitunguu bado sijajikita tena kwenye kilimo

Mkuu hebu tuambie kwanza hasara uliipata wapi na ulilima ekari ngapi??na hasara ilikuwa hasa ukapata??kuna kitu ulifanya wrong au??

Sent from my BlackBerry 9800 using JamiiForums
 
Hongera sana Mkuu...Habari nzuri hii inatupa moyo wengine ....nimeanza kufuga nguruwe sasa ....soko lake niaje?
 
Kununua napo siyo mbaya...mim nimenunua mpunga umenidodea mana kikwete kaleta mchele wa msaada sasa wenye mipunga tunalia...ila kama ningeuza mwaka huu mambo yangekuwa poa...ila mpunga hautoki nashindwa kuendelea kununua mwingine..hii ndo changamoto iliyopo

Hili ndio tatizo la nchi yetu hii
Ukienda Nzega na Igunnga na Tinde kule Shinyanya au Geita Buseresesere kule au Sengerema mpunga ni wa kumwaga na hauna bei kubwa kihivyo ila utashangaa wanaenda kuagiza mchele nje wanaacha wa wakulima wadogo wadofo unadoda kwwenye maghala na wenye maghala nao wanakula kodi kama kawaida
Ila bado mchele wa wakulima wa hapa nyumbani una ladha yake na una uzuri wake sio kama huo wa kuagizwa nje ambao una harufu mpaka ya magunia
bado utauzika maana hali ya chakula kwa baadhi ya sehem sio nzuri kwa mwaka uliopita sister usiwe na shaka wala usikate tamaa japo najua kimtaji unarudi nyuma unaposhindwa kufanya biashara yako
 
Last edited by a moderator:
Hili ndio tatizo la nchi yetu hii
Ukienda Nzega na Igunnga na Tinde kule Shinyanya au Geita Buseresesere kule au Sengerema mpunga ni wa kumwaga na hauna bei kubwa kihivyo ila utashangaa wanaenda kuagiza mchele nje wanaacha wa wakulima wadogo wadofo unadoda kwwenye maghala na wenye maghala nao wanakula kodi kama kawaida
Ila bado mchele wa wakulima wa hapa nyumbani una ladha yake na una uzuri wake sio kama huo wa kuagizwa nje ambao una harufu mpaka ya magunia
bado utauzika maana hali ya chakula kwa baadhi ya sehem sio nzuri kwa mwaka uliopita sister usiwe na shaka wala usikate tamaa japo najua kimtaji unarudi nyuma unaposhindwa kufanya biashara yako

Ni kweli kimtaji nimeyumba mana nilitegemea niuze huu ndipo nipate hela ya kununua tena mwaka huu..
 
Last edited by a moderator:
Ni kweli kimtaji nimeyumba mana nilitegemea niuze huu ndipo nipate hela ya kununua tena mwaka huu..
Najua sana sister hiyo inakurudisha nyuma sana ila usikate tamaa naamini kuna wakati utafika utaona umuhimu wa kuwa na hiyo akiba yako ya mpunga na ukipata nafasi tafuta mtaji kwingine wa kuongezea ununue huu mpya uendelee kufanya biashara
 
Last edited by a moderator:
Duh kaka umenifanya nifikirie mara mbili kuhusu kujiingiza kwenye kilimo. Ngoja tukichange change na sisis tuje huko.
 
Najua sana sister hiyo inakurudisha nyuma sana ila usikate tamaa naamini kuna wakati utafika utaona umuhimu wa kuwa na hiyo akiba yako ya mpunga na ukipata nafasi tafuta mtaji kwingine wa kuongezea ununue huu mpya uendelee kufanya biashara

Ok nashukuru kwa hili wazo lako..ngoja nijitahidi nitakapoishia basi
 
Last edited by a moderator:
Safi sana niko nyuma yako mkuu ngoja nimaloze kusoma[/QUOTE]

Malafyale ubarikiwe sana kwa kutuhamasisha. hii shule imekuja kwa wakati.. kwa sasa naona nisifanye tena over analysis muhimu ni kuchukua hatua. Fursa za kilimo na ufugaji ni nyingi sana Tanzania vijana tuzichangamkie mapema kabla hazijaja nyakati mbaya ardhi itapokuwa hadimu sana. wakat ni sasa
 
Safi sana niko nyuma yako mkuu ngoja nimaloze kusoma

Malafyale ubarikiwe sana kwa kutuhamasisha. hii shule imekuja kwa wakati.. kwa sasa naona nisifanye tena over analysis muhimu ni kuchukua hatua. Fursa za kilimo na ufugaji ni nyingi sana Tanzania vijana tuzichangamkie mapema kabla hazijaja nyakati mbaya ardhi itapokuwa hadimu sana. wakat ni sasa[/QUOTE]
Karibu kaka.ni vema tukaendelea kupambana
 
Nilikwenda gerezani mtaa wa makamba this week.kuna kampuni inaitwa Suba na nikakuta mbegu ya ufuta lindi2002 imeisha though wamesema ikifika watanipigia.naenda morogoro this weekend nitacheck Tanzania seed Association wanazo hizo mbegu.ni shs 5000 kwa kg.
Kuna mtu anajua tanzania seed association ipo wapi hapa dar? Watakuwa na hizo mbegu.
Wana JF nimetafuta sana hii mbegu ya ufuta LINDI 2002 sijafanikiwa. Kama kuna mtu anajua kwa kupata tafadhali nambie.
Naona dar na morogoro imekuwa adimu!
 
Wana Jf,
Salama!kwa wakulima nna imani mpo busy na kupanda.Huku kwetu baada ya msimu mgumu wa vuli ambapo jua lilikuwa kali mno tumevuna tayari.sasa tunalima na kupanda kwa mazao ya masika.Mvua zinaendelea vizuri.nawatakia mafanikio mema wakulima na wafugaji.
Wana JF,
Nimeona mm pia nitoe testimonial kwa faida ya wajasiriamali wanaopenda kilimo na ufugaji.
Ndoto yangu imekuwa kutafuta ujasiriamali utakaoniwezesha kuachana na ajira at 40yrs.Baada ya kujaribu biashara mbalimbali nikagundua kuwa faida zilizopo kwenye kilimo na ufugaji ni kubwa mno especially kama una kamtaji ka kuanzia kapo.Nikaanza kutafuta mashamba.Nikapata kadhaa ila hili la Maseyu ndilo hasa linazaa matunda.kwa wale wanajua morogoro road,hicho kijiji kipo baada ya bwawani au km6 kabla ya mikese.Shamba lipo km1.5 toka barabarani.Nilinunua eka 100 mwaka 2011.Immediately nikaanza kufyeka na kung'oa visiki.Nikalima eka10 za mahindi na alizeti mwishoni 2012.Nililima eka 2 za tikiti maji.mazao yanastawi si mchezo.masika ya 2013 nikalima eka 20 za alizeti na mahindi.pia nikaanzisha mradi wa nguruwe.
Nilianza na nguruwe 8 jike na dume mmoja.sasa nina nguruwe kama 70 hv.Nilipata changamoto kidogo,nguruwe watatu walikufa.kwa changamoto hizo nimepata uzoefu mkubwa. Mambo mengi kama kuchoma chanjo na kutibu baadhi ya magonjwa naweza kufanya mwenyewe kwa maana madaktari nao ni changamoto.nategemea kuanza kuuza nguruwe wakubwa by April.wadogo nauza though soko lake sio kubwa sana.
Pamoja na upunyufu wa mvuA mazao yangu ya vule yamekomaa.nna tikiti kama eka10 na mahindi kama eka25.
Nextmonth nategemea kulima eka kama 70 hv.nataka kulima mahindi,alizeti,ufuta,mtama na maboga.vyote kwa biashara na chakula ya mifugo yangu.
Nataka niweze kuuza nguruwe 20 kila mwezi by this year.
Mwaka jana nimevuna zaidi ya gunia 200 za mahindi na 150 za alizeti.fuso 2 za tikiti maji.Cha zaidi nimetoa ajira kwa vijana kazaa
Tatizo la maji shambani nimetatua last year kwa ku design bwawa na matank cheap.
Karibuni wajasiriamali,future ipo kwenye kilimo.unauza mazao yako hamna mtu anakuuliza kodi! Hahaa
 
Nawaonea donge wadau mnaolima. Mi tangu nipate hasara ya vitunguu bado sijajikita tena kwenye kilimo

Hasara ilikujaje mkuu? Tushirikishe changamoto na namna ya kuziepuka baada ya kujifunza
 
Wana JF,
Nimeona mm pia nitoe testimonial kwa faida ya wajasiriamali wanaopenda kilimo na ufugaji.
Ndoto yangu imekuwa kutafuta ujasiriamali utakaoniwezesha kuachana na ajira at 40yrs.Baada ya kujaribu biashara mbalimbali nikagundua kuwa faida zilizopo kwenye kilimo na ufugaji ni kubwa mno especially kama una kamtaji ka kuanzia kapo.Nikaanza kutafuta mashamba.Nikapata kadhaa ila hili la Maseyu ndilo hasa linazaa matunda.kwa wale wanajua morogoro road,hicho kijiji kipo baada ya bwawani au km6 kabla ya mikese.Shamba lipo km1.5 toka barabarani.Nilinunua eka 100 mwaka 2011....


Kwa uzoefu wako, ekari 100 zinaweza kuwa bei gani kwa sasa? Zinapatikana? Hakuna longolongo katika upatikanaji.

Asante kwa kutokuwa mchoyo ktk kutushirikia mafanikio na changamoto zako!
 
Ahsante kaka.
Kwa huku eka 100 kwa sasa ni ngumu.waweza kununua kidogokidogo kupata hiyo.pia bei zimepanda around 200-250k/eka.nimesikia kuna eka 30 mahali.
Lakini mashamba yapo mengi kaka sehemu zingine.hume kwenye forum watu wAnatangaza kila siku!
Wana JF,
Nimeona mm pia nitoe testimonial kwa faida ya wajasiriamali wanaopenda kilimo na ufugaji.
Ndoto yangu imekuwa kutafuta ujasiriamali utakaoniwezesha kuachana na ajira at 40yrs.Baada ya kujaribu biashara mbalimbali nikagundua kuwa faida zilizopo kwenye kilimo na ufugaji ni kubwa mno especially kama una kamtaji ka kuanzia kapo.Nikaanza kutafuta mashamba.Nikapata kadhaa ila hili la Maseyu ndilo hasa linazaa matunda.kwa wale wanajua morogoro road,hicho kijiji kipo baada ya bwawani au km6 kabla ya mikese.Shamba lipo km1.5 toka barabarani.Nilinunua eka 100 mwaka 2011....


Kwa uzoefu wako, ekari 100 zinaweza kuwa bei gani kwa sasa? Zinapatikana? Hakuna longolongo katika upatikanaji.

Asante kwa kutokuwa mchoyo ktk kutushirikia mafanikio na changamoto zako!
 
Ahsante kaka.
Kwa huku eka 100 kwa sasa ni ngumu.waweza kununua kidogokidogo kupata hiyo.pia bei zimepanda around 200-250k/eka.nimesikia kuna eka 30 mahali.
Lakini mashamba yapo mengi kaka sehemu zingine.hume kwenye forum watu wAnatangaza kila siku!

Asante sana Kiongozi. Ubarikiwe. Usiku mwema!
 
Wana JF,
Nimeona mm pia nitoe testimonial kwa faida ya wajasiriamali wanaopenda kilimo na ufugaji.
Ndoto yangu imekuwa kutafuta ujasiriamali utakaoniwezesha kuachana na ajira at 40yrs.Baada ya kujaribu biashara mbalimbali nikagundua kuwa faida zilizopo kwenye kilimo na ufugaji ni kubwa mno especially kama una kamtaji ka kuanzia kapo.Nikaanza kutafuta mashamba.Nikapata kadhaa ila hili la Maseyu ndilo hasa linazaa matunda.kwa wale wanajua morogoro road,hicho kijiji kipo baada ya bwawani au km6 kabla ya mikese.Shamba lipo km1.5 toka barabarani.Nilinunua eka 100 mwaka 2011....


Kwa uzoefu wako, ekari 100 zinaweza kuwa bei gani kwa sasa? Zinapatikana? Hakuna longolongo katika upatikanaji.

Asante kwa kutokuwa mchoyo ktk kutushirikia mafanikio na changamoto zako!
 
Back
Top Bottom