Ufugaji unalipa kuliko kilimo

Ufugaji unalipa kuliko kilimo

Kufuga na kilimo ni uji na mgonjwa

Mathalani mtu anaefuga ng'ombe ili apate faida ni lazima aweze kutumia kiufasaha (maximazing) matumizi ya;

Moja, mikojo ya ng'ombe kuchachua gas kwenye biodigester

Mbili, mavi ya ng'ombe kwenye kupata biogas

Tatu, bioslurry kwenye kilimo hii ni noma maana ukiwa nayo huhitaji hata kununua dawa za kuulia wadudu wala booster kwenye kilimo chako chote hasa cha mbogamboga na matunda

Nne, maziwa hii ni biashara ambayo HAKUNA kuigana igana kizembe

Tano, kuuza ndama au ng'ombe wenyewe

Sasa faida ya haraka kwa mfugaji ni mikojo na mavi aiseh ukiweza kuwa na bio digester wewe kilimo na ufugaji huwezi kuvitenga

Nawaambatanishia picha hapa
 

Attachments

  • IMG-20220619-WA0094.jpg
    IMG-20220619-WA0094.jpg
    32.3 KB · Views: 36
  • IMG-20220619-WA0077.jpg
    IMG-20220619-WA0077.jpg
    76.6 KB · Views: 39
Kufuga na kilimo ni uji na mgonjwa

Mathalani mtu anaefuga ng'ombe ili apate faida ni lazima aweze kutumia kiufasaha (maximazing) matumizi ya;

Moja, mikojo ya ng'ombe kuchachua gas kwenye biodigester

Mbili, mavi ya ng'ombe kwenye kupata biogas

Tatu, bioslurry kwenye kilimo hii ni noma maana ukiwa nayo huhitaji hata kununua dawa za kuulia wadudu wala booster kwenye kilimo chako chote hasa cha mbogamboga na matunda

Nne, maziwa hii ni biashara ambayo HAKUNA kuigana igana kizembe

Tano, kuuza ndama au ng'ombe wenyewe

Sasa faida ya haraka kwa mfugaji ni mikojo na mavi aiseh ukiweza kuwa na bio digester wewe kilimo na ufugaji huwezi kuvitenga

Nawaambatanishia picha hapa
Biodigester ndo kitu gani?
 
Kufuga na kilimo ni uji na mgonjwa

Mathalani mtu anaefuga ng'ombe ili apate faida ni lazima aweze kutumia kiufasaha (maximazing) matumizi ya;

Moja, mikojo ya ng'ombe kuchachua gas kwenye biodigester

Mbili, mavi ya ng'ombe kwenye kupata biogas

Tatu, bioslurry kwenye kilimo hii ni noma maana ukiwa nayo huhitaji hata kununua dawa za kuulia wadudu wala booster kwenye kilimo chako chote hasa cha mbogamboga na matunda

Nne, maziwa hii ni biashara ambayo HAKUNA kuigana igana kizembe

Tano, kuuza ndama au ng'ombe wenyewe

Sasa faida ya haraka kwa mfugaji ni mikojo na mavi aiseh ukiweza kuwa na bio digester wewe kilimo na ufugaji huwezi kuvitenga

Nawaambatanishia picha hapa

Nakuomba Tuwasiliane mkuu.
WhatsApp yangu ni 0711 448066.
 
Back
Top Bottom