Ufugaji wa Bata: Aina za bata, ujuzi, gharama, changamoto, faida na masoko

Ufugaji wa Bata: Aina za bata, ujuzi, gharama, changamoto, faida na masoko

Asante kwa wote mliojitokeza kuchangia katika huu uzi ambao niliuanzisha Mwaka 2020 kwa lengo la kusaidia wafugaji wenzangu wa bata ni matumaini yangu wengi tumefaidika kwa yote yaliyoandikwa humu, kwa wale ambao sijajibu maswali yao nitaendelea kupitia na kujibu, na kuna walioniandikia inbox nashukuru sana. Tuendelee kushirikiana wote katika ufugaji wa Ndege huyu mtamu. Namshukuru pia ndugu yangu Maxence Melo kwa kuuwekea uzi huu PIN kwa muda mrefu ili watu wajifunze.

RAIA MTATA.
 
Moyo wangu una furaha kwenye hili kitu pekee nafuga ni bata nilikua najiuliza kuhusu soko nafarijika nategemea nifikishe bata 10,000 ndio nianze kuwauza
Vipi mkuu unao wangapi hadi muda huu?
 
Asante kwa wote mliojitokeza kuchangia katika huu uzi ambao niliuanzisha Mwaka 2020 kwa lengo la kusaidia wafugaji wenzangu wa bata ni matumaini yangu wengi tumefaidika kwa yote yaliyoandikwa humu, kwa wale ambao sijajibu maswali yao nitaendelea kupitia na kujibu, na kuna walioniandikia inbox nashukuru sana. Tuendelee kushirikiana wote katika ufugaji wa Ndege huyu mtamu. Namshukuru pia ndugu yangu Maxence Melo kwa kuuwekea uzi huu PIN kwa muda mrefu ili watu wajifunze.

RAIA MTATA.
Hongera sanaa..Nina mpango wa kufuga bata huu Mwaka nadhani nitafanikiwa.
 
Mimi nimeanza kufuga Bukini mwaka jana, nawafurahia sana japo wanakuwa waharibifu, wanakula migoba shambani, mahindi yakiwa madogo wanakula majani, yakibeba wanakula lile tunda. Pia wamekuwa sehemu ya ulinzi, mtu hakatizi kizembe zembe siku hizi😁😁.
IMG_0751.jpeg
 
Bata wangu anaharisha maji na miguu kukosa nguvu kiasi kwamba hawezi kutembea. Naombeni ushauri
 

🌱Group hili nikwa wakulima WA miti ya mitiki.

🌱Lengo Nikupeana ushauri juu ya upandaji na uvunaji pamoja na changamoto mbali mbali zinazolenga maswala ya miti.

🌱Pia Nikujua masoko ya ndani na nnjee.
 
Back
Top Bottom