Ufugaji wa Bata Mzinga, Bata Bukini na Kanga: Maoni, Ushauri, Utaalamu na Masoko

Ufugaji wa Bata Mzinga, Bata Bukini na Kanga: Maoni, Ushauri, Utaalamu na Masoko

Kwa mjini hasa dar kang mkubwa ananzia ela ngap coz huk kwet kanga mkubwa kabisa ni tsh 6,000-7,000

Kanga kwa Dar es Salaam ni kuanzia sh. 25,000 nakuendelea lakini kanga weupe anakwenda mpaka shilingi 50,000

Tafadhari msiniulize kwa nini kanga mweupe anauzwa bei ya juu zaidi

BTW mayai ya kanga kwa Dar ni sh.1000 au 30,000 kwa tray
 
Nashukur kwa taarifayako samahani, hebu nipena elim nzuri upande wa kuku dawaipi nzuri ? pia nikuulize kaswari kimasihara, hivi kanga unawatofautishaje huyu dume au jike?

Kama ilivyo kwa Kwale, kanga nao wakiwa wadogo huwa na features kifuani za kuwatofautisha kati ya dume na jike, kwa kanga dume huwa na michirizi mieupe kifuani (hapa huwa kunachangamoto kwa kanga weupe), na kama wamefugwa vizuri basi madume huwa na miili mikubwa kuliko majike kuanzaia week 4 au 5
 
Kanga kwa Dar es Salaam ni kuanzia sh. 25,000 nakuendelea lakini kanga weupe anakwenda mpaka shilingi 50,000

Tafadhari msiniulize kwa nini kanga mweupe anauzwa bei ya juu zaidi

BTW mayai ya kanga kwa Dar ni sh.1000 au 30,000 kwa tray

Haya ndugu umeona unikatishe kimyakimya hapo kwenye kanga mweupe.
 
Kama ilivyo kwa Kwale, kanga nao wakiwa wadogo huwa na features kifuani za kuwatofautisha kati ya dume na jike, kwa kanga dume huwa na michirizi mieupe kifuani (hapa huwa kunachangamoto kwa kanga weupe), na kama wamefugwa vizuri basi madume huwa na miili mikubwa kuliko majike kuanzaia week 4 au 5

Sasa ndugu michirizi kifuani kwenye manyoya au na michirizi inakua kwenye mwelekeo gan? maana navikanga vidogo ila vina miezi 3 nakidogo ndo vinaota pembekidogo, swari lingine hawa wanaanza kutaga kwa mudagan pleas?
 
Mkuu kama unataka mayai pia sema utapata ninajamaa yangu yupo singida huwa napata mpaka trey 5 kwaajili ya familia ila kwajinsi ulivyo elezea nimevutia nianze kufuga sasa badala yakuyala.
 
Mkuu kama unataka mayai pia sema utapata ninajamaa yangu yupo singida huwa napata mpaka trey 5 kwaajili ya familia ila kwajinsi ulivyo elezea nimevutia nianze kufuga sasa badala yakuyala.

Fuga mkuu yaweza kuwa moja ya kaajira ka kujiajiri
 
Wana forum naombeni msaada wa maelekezo ya kufuga Kanga. Nataka kufuga nyumbani ambapo nina uwanja wa kutosha na nyumba ina fence ya ukuta.
Pamoja na faida nyingine, lengo kubwa ni kufuga Kanga kama mapambo ya nyumba, sababu nawapenda kimwonekano.
Kwa sababu hiyo ninalenga kufuga wachache, kama 6 nafikiri wanatosha.
Naomba maelezo kama yupo mwenye uzoefu au ujuzi wa ufugaji wa Kanga, kuanzia ujenzi wa banda, vyakula na ulishaji, magonjwa na matibabu yake, uzalishaji na utunzaji wa vifaranga na mambo mengine muhimu.
Tafadharini, mwenye maelezo anaombwakuyatoa hapa.
 
Nitakuwa nimeunganisha mada nyingi kwa pamoja ila nikipata mtu ambaye ameshafuga kati ya hayo
1.Bata mzinga
2.Bata Bikini
3.Kanga
Kwa kufuata mtiririko huu naomba msaada kwa mtiririko huo huo
1.Nitapata wapi 2.Mabanda yake yanatakiwa yaweje 3.Mtindo wao wa kutaga ni vipi 4.Je yanahitaji kila moja banda la kipekee? 5.Wanapendelea mazingira gani 6.Wanatumia vyakula gani? 7.Soko lao likoje na bei zake
 

Attachments

  • turkey.jpg
    turkey.jpg
    42.8 KB · Views: 455
  • goose.jpg
    goose.jpg
    278.6 KB · Views: 640
  • guinea fowl.jpg
    guinea fowl.jpg
    9 KB · Views: 539
Sasa mboni Picha ya kanga?

17 PHD these are results
 
Moja ya mambo yanayo cost Watanzania ni kufanya vitu kwa mapenzi binafisi.

Mkuu unatakiwa kujiuliza je hao ndege hapo juu utakuwa unatatua kero ipi moja wapo?

Je pita pita zako usha kutana nao wakiuzwa sokoni? kama sio kwa nini?

Je mtaani kwako ukifanya sensa ya walio kula Bata mwaka huu utapata watu? make unaweza usipate na hata ukaambia huwa sili.

Hizo tajwa hapo juu watu hawana utamadunia naza, sawa wanaliwa ila utamaduni hakuna,

Wewe ukifuga hao na mwenzako akafuga kuku wa layers ar Broiler hutakaa ushindane yaye.

Na ukiona mteja anakuja kununua kwako basi jua anaenda kufuga na yeye sio anaenda kuchinja.

Hizo ndege ziko line moja ba Kware, Sungura, watu hawana utamaduni navyo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu katika hao ndege hapo juu mimi ninawafuga kanga kiukweli kanga ni wazuri sana kufuga kwasababu kanga siku akitotolewa vifaranga vyake huwa ni mchaka mchaka havitulii na haviitaji dawa ya aina yoyote zaidi ya maji na chakula na huwa inakuwa vizuri ukinunua mayai yake ukaatamisha kwa kuku ili avilee vizuri vifaranga,vifaranga vya kanga huwa vinakuwa haraka kuliko vya kuku na wakisha kuwa wakubwa watakusumbua tu kwenye kelele vile vile huwa wanataga kwa msimu wako tofauti na ndege wengine na huwa wanapenda kutagia nje au kwenye pori sasa ukishaona wanataka kuanza kutanga inatakiwa unaweka kiota ndani harafu unakuwa unawafungia bandani hadi saa 7 mchana unawatoa hapo wanakuwa wamesha taga kabisa ndio unawatoa nje baada ya hapo unachagua hayo mayai umwachie kanga alalie mwenyewe au uchukue mayai umwekee kuku maana huwa yanakuwa mengi na kanga huwa anataga tu mfululizo.

Kuhusu soko,wewe anza kuwafuga wakishakuwa wengi utaona watu watakavyo kuwa wanakujalia kuulizia mayai na vifaranga hadi utashangaa mwenyewe hao hunaaja ya kujitangaza kelele zao tu zinakuletea wateja nyumbani,mayai moja(2000)
Kifaranga 5000
Kanga wakubwa 30000
Na haina kulemba wanauzika sana baadaye ndakuwekea picha

Kuhusu hao bukini na bata mzinga bado sijajua vizuri ngoja tusubiri wadau

-Ndumilakuwili-
 
Mkuu katika hao ndege hapo juu mimi ninawafuga kanga kiukweli kanga ni wazuri sana kufuga kwasababu kanga siku akitotolewa vifaranga vyake huwa ni mchaka mchaka havitulii na haviitaji dawa ya aina yoyote zaidi ya maji na chakula na huwa inakuwa vizuri ukinunua mayai yake ukaatamisha kwa kuku ili avilee vizuri vifaranga,vifaranga vya kanga huwa vinakuwa haraka kuliko vya kuku na wakisha kuwa wakubwa watakusumbua tu kwenye kelele vile vile huwa wanataga kwa msimu wako tofauti na ndege wengine na huwa wanapenda kutagia nje au kwenye pori sasa ukishaona wanataka kuanza kutanga inatakiwa unaweka kiota ndani harafu unakuwa unawafungia bandani hadi saa 7 mchana unawatoa hapo wanakuwa wamesha taga kabisa ndio unawatoa nje baada ya hapo unachagua hayo mayai umwachie kanga alalie mwenyewe au uchukue mayai umwekee kuku maana huwa yanakuwa mengi na kanga huwa anataga tu mfululizo.

Kuhusu soko,wewe anza kuwafuga wakishakuwa wengi utaona watu watakavyo kuwa wanakujalia kuulizia mayai na vifaranga hadi utashangaa mwenyewe hao hunaaja ya kujitangaza kelele zao tu zinakuletea wateja nyumbani,mayai moja(2000)
Kifaranga 5000
Kanga wakubwa 30000
Na haina kulemba wanauzika sana baadaye ndakuwekea picha

Kuhusu hao bukini na bata mzinga bado sijajua vizuri ngoja tusubiri wadau

-Ndumilakuwili-
Msimu wa kanga kutaga ni upi na dalili zao za kuanza kutaga n zipi?
 
Mkuu katika hao ndege hapo juu mimi ninawafuga kanga kiukweli kanga ni wazuri sana kufuga kwasababu kanga siku akitotolewa vifaranga vyake huwa ni mchaka mchaka havitulii na haviitaji dawa ya aina yoyote zaidi ya maji na chakula na huwa inakuwa vizuri ukinunua mayai yake ukaatamisha kwa kuku ili avilee vizuri vifaranga,vifaranga vya kanga huwa vinakuwa haraka kuliko vya kuku na wakisha kuwa wakubwa watakusumbua tu kwenye kelele vile vile huwa wanataga kwa msimu wako tofauti na ndege wengine na huwa wanapenda kutagia nje au kwenye pori sasa ukishaona wanataka kuanza kutanga inatakiwa unaweka kiota ndani harafu unakuwa unawafungia bandani hadi saa 7 mchana unawatoa hapo wanakuwa wamesha taga kabisa ndio unawatoa nje baada ya hapo unachagua hayo mayai umwachie kanga alalie mwenyewe au uchukue mayai umwekee kuku maana huwa yanakuwa mengi na kanga huwa anataga tu mfululizo.

Kuhusu soko,wewe anza kuwafuga wakishakuwa wengi utaona watu watakavyo kuwa wanakujalia kuulizia mayai na vifaranga hadi utashangaa mwenyewe hao hunaaja ya kujitangaza kelele zao tu zinakuletea wateja nyumbani,mayai moja(2000)
Kifaranga 5000
Kanga wakubwa 30000
Na haina kulemba wanauzika sana baadaye ndakuwekea picha

Kuhusu hao bukini na bata mzinga bado sijajua vizuri ngoja tusubiri wadau

-Ndumilakuwili-
Ahsante mkuu kwa shule nzuri tutafutane basi
 
Back
Top Bottom