Ufugaji wa kuku wa kienyeji kibiashara

Ufugaji wa kuku wa kienyeji kibiashara

Wadau humu wamejaa ujuaji lakini me nafuga Hawa kuku na kwa hakika wananineemesha sana kuku wa kienyeji Ana faida nyingi sana ambazo nyie vijana wa mjini hamzijui
IMG_20230501_113355_328.jpg
IMG_20230831_184000_407.jpg
 
Mkuu umeongea kitaalam sana[emoji120][emoji120]
Mimi nimefuga kuku wote kienyeji na chotara ntatumia namba zaidi make hazidanganyi

Mfano ukinunua kifaranga cha chotara wa mwezi 4500/
Gharama za chakula kama kweli uwabanii utatumia 7000/ kwa kuku mmoja hadi anafikisha miezi mitano ambayo vitabu vya wajasiliamari vinasema wanaanza kutaga wakati hii inategemea hali ya hewa uliyopo, genetic makeup ya kuku na factors kibao so max ni miezi sita kuku anatakiwa aanze kutaga
kama kwenye banda una majogoo unaweza kuyapunguza wakifika miezi minne na hapo inategemea kg zao na location max 15000
Hii mitetea inayotaga assume hipo 100 so atleat kwa siku 75% wanatakiwa watage assume bei ya trey kwa jumla ni 12000/ wakiwa at the peak na baada ya mwezi mzima wa kutaga watahitaji week tatu za kupumzika na kufanya utagaji kushuka hadi 20%
At 20% itabidi uanze kutoa faida yako uliyoitengeneza kwa miezi miwili kuwarudisha kwenye peak....so inakuwa ni circle fulani hivi ambayo utakuja kutoboa
NB kuna kuku tasa wao hawatagi

Ukitaka kuijua hii ni biashara kichaa weka records, weka chakula kulingana na idadi ya kuku na kwa bei uliyonunua utajua kila kuku anakugharim kiasi gani kwa siku.

Fun enough kuku akishafika miezi sita ni nguma kuongeza kilo so no matter utamlisha kiasi gani bei yako sokoni itabiki almost vilevile so ni hasara kuzidi kumtunza.

Kwa kuku wa kienyeji hao ukitaka kupata faida watoe vijiji wauze mjini wakiwa wakubwa cyo kuwafuga utakonda


Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
Hapo nimekupata vizuri sana mkuu
 
Sijakataa wana faida tena nzuri tu

Hila by fact
Imagine una mitetea 100 ya kienyeji inataga na unailisha ratio nzuri tu ya dukani na baada ya siku 22 ya utagaji mitetea 70 inahitaji kuatamia mayai kama ilivyo nature yao.

Usipo wapa wayai itabidi uwafungie week moja plus wanakula bure hili waanze kutaga baada ya week 2, utabaki na mitetea 30 nao siku si nyingi watataka kuatamia, so wanakula bure kipindi chote, ikitokea umewapa mayai siku 21 you dont sell eggs mradi umesimama mpaka watotoe.

Na ukiwanyanganya vifaranga baada ya kutotoa you wait for a week hile wa-regain kuanza kutaga na hapa utatumia protein nying kweny ratio which is very expensive na ukizumbaa ni week 2 plus.

Na ikitokea unatumia incubator inakuwa vice versa ya nilichokiandika hapo juu.

Na kama unawafuga kwa ajili ya kuuza nyama...vifaranga wa kuku kienyeji wale wenye mwili mkubwa wa mwezi ni 5000 kutokana na ugumu na upatikanaji wa mayai yake.
Ukimlisha vizuri plus madawa, maji, usimamizi nk utatumia 7000/+ kwa kuku mmoja hadi wanafika miezi sita; total ni 13000/ ukimpleka sokoni utajua utamuuza sh ngapi kulingana na location na madalali

Na ukisema unaingia singida ndanindani ukachkua kuku wako wa kienyeji na ukaja kuwauza sokoni ina maana hizo risk zote hapo juu unamwachia mkulima kazi n kutafta soko

Sijaandika hivi kumkatisha mtu tamaa, hila nahitaji vijana tujue agribusiness ilivyo tusifate mkumbo kufanya kitu kwa passion ni sawa hila kama hakikupi hela dahhh ni kupoteza mda


Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
Kwa hiyo mkuu ni breed gani rafiki ukiifuga hapo home kibiashara inakulipa, yaani wasitoke nje siku zote ndani tu, ukiachana na layers na broiler?
 
Kwa hiyo mkuu ni breed gani rafiki ukiifuga hapo home kibiashara inakulipa, yaani wasitoke nje siku zote ndani tu, ukiachana na layers na broiler?
kama n tofauti n kuku wa kisasa fuga hao wa kienyeji hila uwe n michongo mingine inaingiza kipato.....hila kwangu kuku kienyeji is for fun, au mtu anataka kujionyesha yeye wa zamani hila hapo hamna biashara...

Nunua cage ata ya kuku 200 layers wakianza kutaga miezi 4 umerudisha gharama zako zote...then unaenjoy maisha

Broiler unatakiwa kuwa n soko la huakika zaidi ya week tano bandani ujue unaikaribia hasara

Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
 
kama n tofauti n kuku wa kisasa fuga hao wa kienyeji hila uwe n michongo mingine inaingiza kipato.....hila kwangu kuku kienyeji is for fun, au mtu anataka kujionyesha yeye wa zamani hila hapo hamna biashara...

Nunua cage ata ya kuku 200 layers wakianza kutaga miezi 4 umerudisha gharama zako zote...then unaenjoy maisha

Broiler unatakiwa kuwa n soko la huakika zaidi ya week tano bandani ujue unaikaribia hasara

Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
Nimekufuatilia hoja zako zote ila we we upon biased na kuku wa kisasa kabisa.Kuku wa kienyeji ana soko na faida sana...Inategemea wewe hupo wapi,eneo na unawalisha nini.Mimi natotoresha kwa incubator na chakuka nawalisha pumba kidogo na ugari au wali uliobaki au achwa na wanachuo.....mayai pia napata.Kuku hao wamenijengea nyumba na kununua gari Kruger
 
Nimekufuatilia hoja zako zote ila we we upon biased na kuku wa kisasa kabisa.Kuku wa kienyeji ana soko na faida sana...Inategemea wewe hupo wapi,eneo na unawalisha nini.Mimi natotoresha kwa incubator na chakuka nawalisha pumba kidogo na ugari au wali uliobaki au achwa na wanachuo.....mayai pia napata.Kuku hao wamenijengea nyumba na kununua gari Kruger
Duuu masihara hayo kuku wamekujengea nyumba na gari juu unafugaje broo mbona unani inspire au ndo motivation spiker
 
bado ni mapema sana kushangilia. Unaposema kuna faida tuambie kuku wako huchukua muda gani hadi kufikia kutaga na jogoo wako huchukua muda gani hadi kufikia kuuzwa. Ukiingiza suala la muda kwenye hicho unachokiita faida utagundua ni unaishi na kuku siyo kufuga kibiashara
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Anaishi na kuku?
 
kama n tofauti n kuku wa kisasa fuga hao wa kienyeji hila uwe n michongo mingine inaingiza kipato.....hila kwangu kuku kienyeji is for fun, au mtu anataka kujionyesha yeye wa zamani hila hapo hamna biashara...

Nunua cage ata ya kuku 200 layers wakianza kutaga miezi 4 umerudisha gharama zako zote...then unaenjoy maisha

Broiler unatakiwa kuwa n soko la huakika zaidi ya week tano bandani ujue unaikaribia hasara

Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
Cage ya kuku 200 inaweza kuwa bei gani
 
Duuu masihara hayo kuku wamekujengea nyumba na gari juu unafugaje broo mbona unani inspire au ndo motivation spiker
Wengi tunakosea kwenye kufuga kama kazi ya ziada au kua sio muhimu. Nafanya ufugaji was kuku was kienyeji kama kazi yangu muhumu...kila baada ya miezi mitano lazma nitoe kuku 500 kuuza na mwezi was Dec nauza sio chini ya kuku 1500
 
Wengi tunakosea kwenye kufuga kama kazi ya ziada au kua sio muhimu. Nafanya ufugaji was kuku was kienyeji kama kazi yangu muhumu...kila baada ya miezi mitano lazma nitoe kuku 500 kuuza na mwezi was Dec nauza sio chini ya kuku 1500
Inamana hao wa kienyeji unafuga kisasa au wanajitafutia chakula
 
Inamana hao wa kienyeji unafuga kisasa au wanajitafutia chakula
Wakiwa wadogo nawapa chakula cha kisasa mara tatu kwa wiki. Ila wakifikisha mwezi nawapa vyakula vya kawaida na wao kujitafutia. Nabaki kuokota mayai na kuuza pamoja na dawa za magonjwa.
Ngoja nikuwekee picha uone kuku ninao tarajia kuuza siku za Krismas wapo 1800 natarajia kuuza kwa 12000-15000
 
Wakiwa wadogo nawapa chakula cha kisasa mara tatu kwa wiki. Ila wakifikisha mwezi nawapa vyakula vya kawaida na wao kujitafutia. Nabaki kuokota mayai na kuuza pamoja na dawa za magonjwa.
Ngoja nikuwekee picha uone kuku ninao tarajia kuuza siku za Krismas wapo 1800 natarajia kuuza kwa 12000-15000
Daaa aise! Natamani kujifuza kupitia kwako mkuu.
 
Back
Top Bottom