Ufugaji wa kuku wa kienyeji kibiashara

Ufugaji wa kuku wa kienyeji kibiashara

Wakiwa wadogo nawapa chakula cha kisasa mara tatu kwa wiki. Ila wakifikisha mwezi nawapa vyakula vya kawaida na wao kujitafutia. Nabaki kuokota mayai na kuuza pamoja na dawa za magonjwa.
Ngoja nikuwekee picha uone kuku ninao tarajia kuuza siku za Krismas wapo 1800 natarajia kuuza kwa 12000-15000
Weka picha bwana
 
Mkuu umeongea kitaalam sana[emoji120][emoji120]
Mimi nimefuga kuku wote kienyeji na chotara ntatumia namba zaidi make hazidanganyi

Mfano ukinunua kifaranga cha chotara wa mwezi 4500/
Gharama za chakula kama kweli uwabanii utatumia 7000/ kwa kuku mmoja hadi anafikisha miezi mitano ambayo vitabu vya wajasiliamari vinasema wanaanza kutaga wakati hii inategemea hali ya hewa uliyopo, genetic makeup ya kuku na factors kibao so max ni miezi sita kuku anatakiwa aanze kutaga
kama kwenye banda una majogoo unaweza kuyapunguza wakifika miezi minne na hapo inategemea kg zao na location max 15000
Hii mitetea inayotaga assume hipo 100 so atleat kwa siku 75% wanatakiwa watage assume bei ya trey kwa jumla ni 12000/ wakiwa at the peak na baada ya mwezi mzima wa kutaga watahitaji week tatu za kupumzika na kufanya utagaji kushuka hadi 20%
At 20% itabidi uanze kutoa faida yako uliyoitengeneza kwa miezi miwili kuwarudisha kwenye peak....so inakuwa ni circle fulani hivi ambayo utakuja kutoboa
NB kuna kuku tasa wao hawatagi

Ukitaka kuijua hii ni biashara kichaa weka records, weka chakula kulingana na idadi ya kuku na kwa bei uliyonunua utajua kila kuku anakugharim kiasi gani kwa siku.

Fun enough kuku akishafika miezi sita ni nguma kuongeza kilo so no matter utamlisha kiasi gani bei yako sokoni itabiki almost vilevile so ni hasara kuzidi kumtunza.

Kwa kuku wa kienyeji hao ukitaka kupata faida watoe vijiji wauze mjini wakiwa wakubwa cyo kuwafuga utakonda


Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
Kazi kweli kweli
 
Wakiwa wadogo nawapa chakula cha kisasa mara tatu kwa wiki. Ila wakifikisha mwezi nawapa vyakula vya kawaida na wao kujitafutia. Nabaki kuokota mayai na kuuza pamoja na dawa za magonjwa.
Ngoja nikuwekee picha uone kuku ninao tarajia kuuza siku za Krismas wapo 1800 natarajia kuuza kwa 12000-15000
Wapo kwenye banda au wanakula holela nje?
 
Wakiwa wadogo nawapa chakula cha kisasa mara tatu kwa wiki. Ila wakifikisha mwezi nawapa vyakula vya kawaida na wao kujitafutia. Nabaki kuokota mayai na kuuza pamoja na dawa za magonjwa.
Ngoja nikuwekee picha uone kuku ninao tarajia kuuza siku za Krismas wapo 1800 natarajia kuuza kwa 12000-15000
Kaka unaweza kushare vipimo ama picha la banda linaloweza kuingiza idadi ya kuku hao. Au mradi wako una mabanda kadhaa?
 
Kwanza nipende kusema mimi nafuga kienjeyi pure kwa ajili ya biashara ya mayai lakini na Sasso ambao nawatoa kila baada ya mezi 2.5 mpaka 3 kwa ajili ya nyama. Kuku wa kienyeji mpaka aanze kutaga inahitaji umlishe kwa takribani miezi 5.5 mpaka 6. Nina maswali machache kwa ajili ya ufahamu.

1. Unataka kuuza kuku kwa ajili ya nyama au unauza mayai tu au vyote?

2. Unajua gharama za ulishaji kwa kilo kwa kuku? Hili ni muhimu sana.

3. Soko lako likoje? Target unalenga kuwauzia watu gani haswa?

4. Una mtaji wa kukuwezesha kuwahudumia kuku wako kwa kipindi chote mpaka waanze kuleta faida? (Chakula, chanjo, upanuzi wa banda etc).

5. Kwa idadi ya kuku mpaka waanze kuingia kwenye mzunguko wa kupata mzunguko wa hela, lini utaweza ku break even? (Gharama za kuwalisha kuku kuweza kutoka kwenye mauzo ya kuku/mayai na wewe kupata faida?

6. Una technical capability ya ufugaji angalau ufahamu wa chanjo, magonjwa, aina ya chakula kwa kila stage ya kuku kukua? Hii ni muhimu sana

7. Msimamizi mkuu wa shughuli za kila siku za ufugaji kuku kuna mtu specific au ni wewe mwenyewe? Hii wafugaji wengi wanakwama hususani kwenye kuangalia progress ya maendeleo ya kuku na uncertainities zinazoambatana na ufugaji.

Mwisho huu uzi uendelee kutupa updates ili iwe inspirations na pia wengine kujifunza.
,,, muhimu sana hii
 
bado ni mapema sana kushangilia. Unaposema kuna faida tuambie kuku wako huchukua muda gani hadi kufikia kutaga na jogoo wako huchukua muda gani hadi kufikia kuuzwa. Ukiingiza suala la muda kwenye hicho unachokiita faida utagundua ni unaishi na kuku siyo kufuga kibiashara
Sahihi kabisa......watu hawajali muda wanangalia Quantity tu
 
Wakiwa wadogo nawapa chakula cha kisasa mara tatu kwa wiki. Ila wakifikisha mwezi nawapa vyakula vya kawaida na wao kujitafutia. Nabaki kuokota mayai na kuuza pamoja na dawa za magonjwa.
Ngoja nikuwekee picha uone kuku ninao tarajia kuuza siku za Krismas wapo 1800 natarajia kuuza kwa 12000-15000
Kuku wako wakifikisha miezi miwili wananza kutaga? Vipi changamoto ya vicheche na mwewe?
 
Sijakataa wana faida tena nzuri tu

Hila by fact
Imagine una mitetea 100 ya kienyeji inataga na unailisha ratio nzuri tu ya dukani na baada ya siku 22 ya utagaji mitetea 70 inahitaji kuatamia mayai kama ilivyo nature yao.

Usipo wapa wayai itabidi uwafungie week moja plus wanakula bure hili waanze kutaga baada ya week 2, utabaki na mitetea 30 nao siku si nyingi watataka kuatamia, so wanakula bure kipindi chote, ikitokea umewapa mayai siku 21 you dont sell eggs mradi umesimama mpaka watotoe.

Na ukiwanyanganya vifaranga baada ya kutotoa you wait for a week hile wa-regain kuanza kutaga na hapa utatumia protein nying kweny ratio which is very expensive na ukizumbaa ni week 2 plus.

Na ikitokea unatumia incubator inakuwa vice versa ya nilichokiandika hapo juu.

Na kama unawafuga kwa ajili ya kuuza nyama...vifaranga wa kuku kienyeji wale wenye mwili mkubwa wa mwezi ni 5000 kutokana na ugumu na upatikanaji wa mayai yake.
Ukimlisha vizuri plus madawa, maji, usimamizi nk utatumia 7000/+ kwa kuku mmoja hadi wanafika miezi sita; total ni 13000/ ukimpleka sokoni utajua utamuuza sh ngapi kulingana na location na madalali

Na ukisema unaingia singida ndanindani ukachkua kuku wako wa kienyeji na ukaja kuwauza sokoni ina maana hizo risk zote hapo juu unamwachia mkulima kazi n kutafta soko

Sijaandika hivi kumkatisha mtu tamaa, hila nahitaji vijana tujue agribusiness ilivyo tusifate mkumbo kufanya kitu kwa passion ni sawa hila kama hakikupi hela dahhh ni kupoteza mda


Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
Nakuelewa Kaka. Ukifanya Kiuhasibu unaweza kuta unafanya kazi bure....unaishia kuona Banda limejaa kuku 300. Lakini kiuhasibu unakula loss tu.
 
Inategemea na eneo unalofugia kwasababu magonjwa mengi yanatokana na muingiliano na kuku wengine kwenye eneo unalofugia lakini ukiwa umejitenga ni ngumu kushambuliwa na magonjwa mara kwa mara...But all in all mafanikio ni mchakato unahitaji kuwekeza muda zaidi kuliko kuzingatia faida ndani ya muda mfupi na hapo utaona kila unachofqnya haina faida
Nakuelewa Kaka. Ukifanya Kiuhasibu unaweza kuta unafanya kazi bure....unaishia kuona Banda limejaa kuku 300. Lakini kiuhasibu unakula loss tu.
 
Wakiwa wadogo nawapa chakula cha kisasa mara tatu kwa wiki. Ila wakifikisha mwezi nawapa vyakula vya kawaida na wao kujitafutia. Nabaki kuokota mayai na kuuza pamoja na dawa za magonjwa.
Ngoja nikuwekee picha uone kuku ninao tarajia kuuza siku za Krismas wapo 1800 natarajia kuuza kwa 12000-15000
Picha iko wapi mkuu
 
Back
Top Bottom