Ufugaji wa Kuku wa Kienyeji na Masoko yake

Mods.. Huu Uzi uwekeni juu uwe sticky thread..... Unahamahama sana na ukizingatia una points za uhakika. Tupeni msaada huo
 
MKUU GAZETI samahani ningependa unifahamishe kuusu dawa zakienyeji jinsi yakuziandaa au nielekeze mtaalam ambae anadili nazo pia napenda kukushukuru kwadarasa ulilo toa mwenyezi mungu akulipemema naakujalie imani namoyo wakujitolea asante sana sina lazaidi
 
Naomben hiyo deal ya kuwa tajiri. Mimi nmejiunga juz tu na cjafankiwa kuiona. Plz help me.
 
Hongera sana kwa hatua hiyo naomba uweke picha ya banda lako nami nijifunze kutoka kwako
 
Hongera sana sana hata mimi nimeamua kuwekeza kwenye Ufugaji wa Kuku wa kienyeji, nimejaribu kufuatilia nikakuta kuna soko zuri kama utachangamka! Nimejenga banda la ukubwa wa Mita 26 kwa upana wa nne, plan yangu ni kufuga kuku kama 2000 hivi, na mimi pia nimejifunza mengi ya ufugaji hapa hapa jukwaani, nikaona kumbe kuna utajiri upo tuna ukalia tu. Na mimi naahidi kuwaletea updates. kwa sasa banda limekamilika
 

Tupia picha ya banda tulione...
 
Uko mkoa gani?
Nahitaji nami nipate hivyo vifaranga chotara huko ulikonunua
 
Congraturation kwa hatua uliyo fikia mimi pia ni mfugaji" kuhusu hayo matandiko ya kwenye banda nakushauri usipendelee kutumia maranda ya mbao ni vizuri ukatumia yale ya mchele maana nasikia kuna jinsi yanavyo athiri kwenye mfumo wa upumuaji wa kuku. Na kuhusu muda wa kuyatoa inategemea mi huwa natoa baada ya wiki baada ya kuona yamesha chafuka kiasi. Nakutakia kila lakheri mkuu.
 


Hivi kumbe!!
 
Mkuukuku wako ni wa malawi??
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…