Mohamed Masud
Member
- Apr 3, 2016
- 42
- 24
Thanks kiongozi ntaangalia possibility ...kama kipato unacho tembelea mtandao wa alibaba, uagize kutoka U china ni rahisi kuliko bei za hapa nchini na jirani kenya lkn uwe na uwezo wa kuchukua walau kasha moja kubwa
Pamoja sana MkuuThanks kiongozi ntaangalia possibility ...
Tupia na hapa mkuuMkuu hiyo database kama uliipata namm naomba mkuu eliamatemu@gmail.com
hili kundi bado lipo?Kama wewe ni mkulima na mfugaji kwa vitendo na ungependa kujumuika na wakulima wenzako whatsapp 0717269137 (kama haulimi wala kufuga haikuhusu) WE NEED SERIOUS PEOPLE
Naomba unijuze kuhusu soko la mbuziMimi najua soko la mbuzi na la ng'ombe tu
VingungutiNaomba unijuze kuhusu soko la mbuzi
Ekari moja kama ni ufugaji huria unapaswa kuweka kuku wa kubwa 400 unahitaji ekari mbili na nusu kama lengo lako ni kufuga kuku 1000jamani habari zenu!Kubota na wataalamu wengine hivi eka moja kwa ufugaji huria kitaalamu inachukua kuku wangapi?maana nataka niexpand mradi wangu wa kuku niwe na kuku hadi 1000.
Mihela iyooooo
Sent from my BlackBerry 9800 using JamiiForums
Siku kumiKuku kienyeji wa mayai akitaga,ukaondoa mayai
ataanza kutaga baada ya muda gani tena?