Pia Banda Liwe linapigwa Dawa Kuku wana Urafiki sana na Viroboto na Utitiri. Viroboto wakizidi sana Hushambulia Watoto hadi kwenye Machovidonda huo ni ugonjwa unaitwa ndui na una chanjo yake unatakiwa kuwachanja hao kuku kabla hawaugua na wakiugua tumia iodine kuwapaka baada ya kuwasafisha vidonda, kwa sasa kuna dawa ya tiba pia hebu muone mtaalam alie karibu nawe. Kwa upande wa kuku chanjo ni muhimu sana na pia usikose kufanya kazi kwa karibu na wataalam wa mifugo.
Hapo Safi Mimi huwa Nawaachisha kwa Mama yao Mara baada ya Wiki Moja tuu lakini Pia kipanga huwa hakamati Kuku wakubwa. Wakiwa wadogo nawatunza Bandani Kwa angalau Wiki nne sema wakitoka ndo kuna changamoto ya Mwewe hilo dude hawa wadogo siwezi kuwa valisha.
Kwa hiyo jamaa nae akapige ndumba ili amkamate huyo ndege?[emoji213] [emoji213]mimi nilikuwa na changamoto ya kuibiwa kuku mama watoto akaenda kwa mtaalam mwizi alipatikana kesho yake baada ya kuiba jogoo kubwa nakulila na mkewe. Jamaa alijileta mwenyewe akiwa anaumwa tumbo balaa na mke wake huku jogoo akiwika mfululizo tumboni alitaja mwenyewe kila alichoiba kwangu na kwa majirani. Alitozwa faini ya ng'ombe sita kama fidia kwangu na majirani ng'ombe moja wakachinja nyama. Tangu siku hiyo mambo swali kabisa , mwaka huu hata shamba la mahindi sikuweka mlinzi. Kumbe duniani kuna ulinzi asilia sikuwa naamini.
Ha ha ha nimecheka sana mkuu, Ukikaa kijijini utajua mengi usipoangalia utakuwa msindikizaji tu kila siku changamoto. unaweza kudhani ni kipanga kumbe ni mtu anachukua kwenda kufugaKwa hiyo jamaa nae akapige ndumba ili amkamate huyo ndege?[emoji213] [emoji213]
Mkuu mimi nataka nianze kufuga kanga hivi naweza kuwa nawachanganya na kuku kwenye banda moja?Maisha ya ufugaji yana changamoto nyingi. Kuna kipindi kanga wangu walikuwa hawataki kabisa kuingia bandani usiku wanang'ang'ania kulala uani tu. Alitokea ndege wa ajabu sana ambaye alikuwa anakuja usiku tu na kukamata kanga wakubwa kabisa. Nilitafuta ushauri kwa wafugaji wenzangu na walishangaa sana huyo ndege wa kukamata kanga wakubwa ambao kwa kawaida wana nguvu sana hata wanapokamatwa na binadamu na pia waliongezea kuwa hakuna nje ya Bundi ndege mwenye kuona usiku na bundi hana uwezo wa kukamata kanga wakubwa akaondoka naye. Siku moja alinitembelea rafiki yangu na huyo ndege akaja kama kawaida akachukua akaenda zake na mgeni alikuwa anatoka msalani akamwona live anachukuliwa. Alinishauli nitafute maji ya baraka kutoka makanisani niwakamate kanga wote niwafungie bandani nichukue tawi la mti niwanyunyizie kanga hayo maji na yatakayobaki niwachanganyie kwenye maji ya kunywa. Tangu siku niliyofanya hivyo mchezo huo ukakoma mpaka leo zaidi ya miaka mitano sasa.
Mkuu ufugaji wako unategemea chakula cha kununua au umewacha wazurure tuEasy Sana Tatizo la Kuku wa Kienyeji dawa Zake ni Bei Rahisi Sana Kuna Dawa Mbili tuu za Kuku wa Kienyeji na Watoto hufa kwa tumbo au Minyoo Dalili zake unakuta mabawa kama kimevaa Koti halafu kinalia sana.
Mimi huwatenga na Mama yao baada ya Siku Saba. Vinaanza Kujitegemea mama yao anaanza Kufukuzwa na Majogoo ndani ya Wiki Mbili anaanza Kutaga tena.
-Nenda Ulizia Dawa Minyoo/tumbo Dawa hii ni Nyeupe Ukichanganya na Maji itakua na Rangi kama ya Mkojo Kisha Wape Wanywe ikilala Massa 24 huwa ni Nusu so Unabadilisha Maji Kila Baada ya Masaa 8. Pia Kuna Dawa ya Matone hii Ni Chanzo ya Kideli.
Mkuu Ukishawapa hiyo Utaviona Vikuku Jinsi vinavyochangamka hasa Ukivitupia Chenga chenga za Dagaaaa yaani Utavipenda Vinakula kwa Kupigana
Pia Control Majogoo wasiwe Wengi sana Mara Nyingi ile Panda Panda husababisha majike wasitage au kusababisha Magonjwa Jogoo inatakiwa wawe wachache
Wako.
Troll JF
Mkulima na Mfugaj.
Mkuu Nikikaribia Kuwauza Ndo Wanatiwa Bandani Hapo wakikaa Wiki Mbili wanakua wazito balaaa Tofauti ya Kuku anayezurura na walioko ndani ni Uzito na Ndo raha ya Kufuga Kuku wa Kienyeji kama huna Pesa unawaachia wanajitafutia.Mkuu ufugaji wako unategemea chakula cha kununua au umewacha wazurure tu
Asante mkuu lakini mbona inasemekana soko lake nigumu wewe unawauzia wapi pia unafugia wapiMkuu Nikikaribia Kuwauza Ndo Wanatiwa Bandani Hapo wakikaa Wiki Mbili wanakua wazito balaaa Tofauti ya Kuku anayezurura na walioko ndani ni Uzito na Ndo raha ya Kufuga Kuku wa Kienyeji kama huna Pesa unawaachia wanajitafutia.
Mshirikina wewe,pumbavu.mimi nilikuwa na changamoto ya kuibiwa kuku mama watoto akaenda kwa mtaalam mwizi alipatikana kesho yake baada ya kuiba jogoo kubwa nakulila na mkewe. Jamaa alijileta mwenyewe akiwa anaumwa tumbo balaa na mke wake huku jogoo akiwika mfululizo tumboni alitaja mwenyewe kila alichoiba kwangu na kwa majirani. Alitozwa faini ya ng'ombe sita kama fidia kwangu na majirani ng'ombe moja wakachinja nyama. Tangu siku hiyo mambo swali kabisa , mwaka huu hata shamba la mahindi sikuweka mlinzi. Kumbe duniani kuna ulinzi asilia sikuwa naamini.
Mkuu binafsi imewahi kutokea, ninachofanya ni kuwakwangua yale mauvimbeAseee hongera kiongozi ......hivi kuku wako wameshawai kutokwa na vidonda vya usoni vile? Na ulitumia dawa gan maana naona wangu wanaanza kuzingua
Nimepitia changamoto nyingi sana mkuu, kikubwa nilichogunduaMimi nafuga ila changamoto ni vifo nipe njia unayotumia hadi kufikisha idadi hiyo
Mkuu mimi natumia hiihii IODINE inayotibu vidondaAsante kwa ushauri hii iodine mpk niende maduka ya mifugo au hata duka la dawa za kawaida naweza pata
Asante mkuuuMkuu mimi natumia hiihii IODINE inayotibu vidonda
vya binadamu.
Ok, Sijui hii ya kuwapaka rangi.Weka vikwazo,hyo ndege hakwapui palipo na vikwazo
Hapana.Ok, Sijui hii ya kuwapaka rangi.
Mkuu hongera watu wakikuona kwenye siasa wanakuona mlugaluga kama wao. Kumbe sivyo.Easy Sana Tatizo la Kuku wa Kienyeji dawa Zake ni Bei Rahisi Sana Kuna Dawa Mbili tuu za Kuku wa Kienyeji na Watoto hufa kwa tumbo au Minyoo Dalili zake unakuta mabawa kama kimevaa Koti halafu kinalia sana.
Mimi huwatenga na Mama yao baada ya Siku Saba. Vinaanza Kujitegemea mama yao anaanza Kufukuzwa na Majogoo ndani ya Wiki Mbili anaanza Kutaga tena.
-Nenda Ulizia Dawa Minyoo/tumbo Dawa hii ni Nyeupe Ukichanganya na Maji itakua na Rangi kama ya Mkojo Kisha Wape Wanywe ikilala Massa 24 huwa ni Nusu so Unabadilisha Maji Kila Baada ya Masaa 8. Pia Kuna Dawa ya Matone hii Ni Chanzo ya Kideli.
Mkuu Ukishawapa hiyo Utaviona Vikuku Jinsi vinavyochangamka hasa Ukivitupia Chenga chenga za Dagaaaa yaani Utavipenda Vinakula kwa Kupigana
Pia Control Majogoo wasiwe Wengi sana Mara Nyingi ile Panda Panda husababisha majike wasitage au kusababisha Magonjwa Jogoo inatakiwa wawe wachache
Wako.
Troll JF
Mkulima na Mfugaj.