Ufugaji wa Kuku wa Kienyeji na Masoko yake

siku ya kwanza mpaka ya saba unawapa OTC 20%, SIKU YA 14 NEW CASTLE,SIKU YA 21 GUMBORO,SIKU YA 35 NDUI,UTARATIBU HUU UTAKUWA UNAURUDIA KILA BAADA YA MIEZI 3 KASORO CHANJO YA NDUI TU.


 
Ofa!!!ofa!!!ofa!!!Ofa!!!ofa!!!ofa!!!Ofa!!!ofa!!!ofa!!!Ofa!!!ofa!!!ofa!!!Ofa!!!ofa!!!ofa!!!Ofa!!!ofa!!!ofa!!!
Ninauza mayai ya kuku wa kienyeji kwa ajili ya kula na pia ukitaka kwa ajili ya kutotolesha yanapatikana kwa order.

Bei ya tray moja ni elfu kumi tu(10,000tsh) ninapatikana Dar es salaam Tegeta-Madale na ukitaka tray kuanzia kumi unaletewa popote ulipo bure ila ukihitaji pungufu ya hapo utatoa nauli nusu na sisi tutakuchangia nusu..kwa mawasiliano zaidi 0769345032 au 0654250816 karibuni sana.
 
Ofa!!!ofa!!!ofa!!!Ofa!!!ofa!!!ofa!!!Ofa!!!ofa!!!ofa!!!Ofa!!!ofa!!!ofa!!!Ofa!!!ofa!!!ofa!!!Ofa!!!ofa!!!ofa!!!
Ninauza mayai ya kuku wa kienyeji kwa ajili ya kula na pia ukitaka kwa ajili ya kutotolesha yanapatikana kwa order.

Bei ya tray moja ni elfu kumi tu(10,000tsh) ninapatikana Dar es salaam Tegeta-Madale na ukitaka tray kuanzia kumi unaletewa popote ulipo bure ila ukihitaji pungufu ya hapo utatoa nauli nusu na sisi tutakuchangia nusu..kwa mawasiliano zaidi 0769345032 au 0654250816 karibuni sana.
 
Kazi ufugaji kuku yahitaji moyo, kwa ujumla kitu cha msingi katika ufagaji wa kuku ni:-
1.Usafi wa banda lako au maeneo wanayoishi.
2.Kinga na tiba ya magonjwa mbalimbali, jitahidi usiruhu kifo cha kifaranga kitokee na kikitokea chukua tahadhari ya kuwatibu mapema vifaranga vyako
3.Lishe kwa kuwapatia vyakula vilivyoshauriwa kwa kila umri na kama unajitengenezea ufaute uwiano wa kitaalam
Mwisho kuna nyuzi nyingi za ufugaji humu upitie, na hapo chini nimekupatia jarida la Mwongozo wa Ufugaji wa kuku wa kienyeji ukipenda ulisome kwa makini litakusaidia katika mafanikio yako ya 2018,
 
Naona mtandao hauko vizuri nita upload muda sio mrefu
 
Wakuu kwema naombeni soko la kuku wa kienyeji kutoka singida
 
Juju walk hawafi mkuu?
 
Hao vichepere unawapataje?
 
kuku wa kienyeji nnao fuga

huyu kuku wa jirani yangu inasemekana hawa huwaga hawatamii navifanga hawalalii kwasababu ni wazito hvyi vifaranga hufa

kuku wa kienyeji
 
Upo mkoa gani boss
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…