Ufugaji wa Kuku wa Kienyeji na Masoko yake

0714504450
 
Pole sana hizo ndio changamoto za ufugaji
 
Asnt mkuu
 
Nina kuku kuroiler wapo 60, wakubwa kwa wadogo, mitetea ndio mingi majogoo machache, wote nauza lak6 tuu. . Anaehitaj anichek nipo kgamboni
 
Habari wapendwa.... Naomba nisaidiwe juu ya mbegu za azolla faida zake hasa kwa kuku na kama mnafahamu zinavyolimwa.
 
Kuna umuhimu wa kujenga mabanda imara
 

ili nianze biashara ya kuku wa kienyeji ,how much could i start with?
 
Akili kubwa
 
Elnino mzima kaka? sijakuona long hapa mtandaoni.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…