Safi sana, mimi nimeanza kufuga kuku 6, jogoo mmoja mitetea 5, sasa hivi wote wanataga nnatarajia mda siyo mrefu nitakuwa na vifaranga siyo chini ya 60, ambao nitawachukua kutoka kwa mama yao, baada ya hapo kazi yangu itakuwa kula mayai na nyama wakipungua nazalisha wengine, sifanyi kwa ajili ya biashara, ila nimegundua kufuga wanyama/ndege inakufanya uwe active sana, furaha na stress vyote vyako, kuna kuku mmoja namkubali sana sana sijui kama nitakuja kumla kwa kweli, actually hawa kuku wote nilioanza nao sitawala