Ufugaji wa Kuku wa Kienyeji na Masoko yake

 
 
Huo ni ufugaji wa mtandaoni, wa kimakadirio ambao ni rahisi sana kuliko ufugaji halisi.

Kuku wanahitaji nafasi, banda chakula, virutubisho, chanjo(dawa) n.k

Pitia tena mchanganuo wako una mapungufu ya kiuhalisia.
 
Huo ni ufugaji wa mtandaoni, wa kimakadirio ambao ni rahisi sana kuliko ufugaji halisi.

Kuku wanahitaji nafasi, banda chakula, virutubisho, chanjo(dawa) n.k

Pitia tena mchanganuo wako una mapungufu ya kiuhalisia.
Mkuu hii sishauri mtu aifuate maana ataumia sana kama anategenea kuku haohao, binafsi nilitenga laki 4 nikanunua kuku wa miezi 2 kwa shs 3500 kijijini walikuwa kama 23 hivi, nikajipanga chakula kizuri plus,chanjo zote maana banda lilikuwepo.

kuku walikufa wengine kwamagonjwa ambayo umewapa chanjo wakabaki 15 hivi ndo walivuka salama wakawa wakubwa wote tetea nikanunua jogoo 1 kwa 15.

hapo kuna vifaranga kufa kutokana na sababu fulani kuna kuku kutolalia vizuri unakuta mayai 12 anatotoa 3.....sema naahukuru kipato ninacho so nawahudumia ila sijapata profit yoyote zaidi ya nyama tu.

Kutotoa wanatotoa ila kunachangamoto sana kuvivusha vifaranga kwenda kwenye stage ya 2.
 
Uko sahihi. Ni vema kupata ushauri wa wataalamu.

Ninafuga kuku, nina fanya kwasababu napenda kufuga. Nawamudu sana.
 
Banda la kuku unatugaia? Kuweni serious basi
Katoa mwongozo haraka, changamoto zipo nyingi sana, otherwise wakuria hapa town wangeshakuwa matajiri sana kwa hiyo biashara.
 

Acha woga.
 
Umemshauri vizuri,ila amesema hataki faida kubwa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hata mm nitakupigia nikitafuta masoko

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…