pleo
JF-Expert Member
- Jun 20, 2013
- 3,444
- 2,737
Posuta!Ahsante kwa kutupa tofauti kati ya kuku wa kishua na wa uswazi.
Sisi tunaokaa Mpitimbi huku unatushauri tufuge kuku wapi na kwanini?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Posuta!Ahsante kwa kutupa tofauti kati ya kuku wa kishua na wa uswazi.
Sisi tunaokaa Mpitimbi huku unatushauri tufuge kuku wapi na kwanini?
[emoji23][emoji23]Hiyo picha hapo ni yako Bwana kuku?
Lima merry gold haya majani kuku wanapenda sana kuyala, wapikie ugali na pumba pia wape.Njia mbadala ya chakula cha kuwalisha kuku wakienyeji kama mtu anatumia tupeane ujuzi maana gharama ni kubwa mpaka wakiingia sokoni.
M mbona nawaona kma ni kroiler hao au vipi jamani?Wakuu msaada tutani,
Kuna mtu anataka kuniuzia hawa kuku akidai ni kuku wa kienyeji,
Nisaidieni kama wanavyoonekana hapo hi kuku wa kienyeji kweli ama ni wa kisasa ?
View attachment 2205154
Mbegu inapatikana wapi?Lima merry gold haya majani kuku wanapenda sana kuyala, wapikie ugali na pumba pia wape.
Kwa kutizama miguu wembamba na rangi yake kuku kienyeji mara nyingi wanakuwa na miguu njano au nyeusi mpauko au kama kijivu vile.Wakuu msaada tutani,
Kuna mtu anataka kuniuzia hawa kuku akidai ni kuku wa kienyeji,
Nisaidieni kama wanavyoonekana hapo hi kuku wa kienyeji kweli ama ni wa kisasa ?
View attachment 2205154
Nimeingia google kuona hiyo merry gold ni majani gani naona maua tu.Lima merry gold haya majani kuku wanapenda sana kuyala, wapikie ugali na pumba pia wape.
Ni maua na ndiyo yanayosaidia kiini cha yai kuwa na rangi ya goldNimeingia google kuona hiyo merry gold ni majani gani naona maua tu.
Hebu ndugu Sky Eclat fafanua kidogo na kapicha. Itapendeza ukisema yanalimwaje mbegu pia inapatikana wapi.
Asante
Asante, nimeelewa sasa ila sijui upatikanaji maduka ya kilimo au pembejeo. Any specific directives where to shop for....
Guys nahitaji kuweka order au kununua vifaranga 100 kwa bei ya sh 1000 kila kimoja, nahitaji vifaranga specifically vya Kuroila, ila kama hivyo havipo bhas tutazungunza kuhusu vilivyopo, kama Kuna mtu anavyo anitext directly please! NIPO MOROGORO.
Sawa kaka ukipata namba zao nitumieKwa Morogoro kuna Jamaa wapo eneo la Nanenane au Kola sikumbuki wanafanya hii business. Ngoja niulizie namba yao kisha nakutumia. Sina uzoefu nao binafsi nimeambiwa na jamaa yangu yabidi ukakague na kujiridhisha kwa uhakika wa kazi yako.
Nimeshakutumia inboxSawa kaka ukipata namba zao nitumie
Nmeona boss,asanteNimeshakutumia inbox
Poa poa mkuuKwa Morogoro kuna Jamaa wapo eneo la Nanenane au Kola sikumbuki wanafanya hii business. Ngoja niulizie namba yao kisha nakutumia. Sina uzoefu nao binafsi nimeambiwa na jamaa yangu yabidi ukakague na kujiridhisha kwa uhakika wa kazi yako.