Karibu sana mkuu, ningekushauri pia kabla ya kuanza ungefanya study tour angalau kwa mtu mmoja anayefuga tayari ukajionea kwa vitendo..Nimehamasika sana,ninashamba kama heka kumi Nataka nifuge kuku hawa wakienyeji ntaanza na kuku majike 50 majogoo 5 ,kwa kufuata maelekezo nloyapata huku,ntatoa marejesho baada ya miezi 6.
Karibu sana mkuu, ningekushauri pia kabla ya kuanza ungefanya study tour angalau kwa mtu mmoja anayefuga tayari ukajionea kwa vitendo..
All in all, all the best
Karibu sana mkuu, ningekushauri pia kabla ya kuanza ungefanya study tour angalau kwa mtu mmoja anayefuga tayari ukajionea kwa vitendo..
All in all, all the best
Mkuu Nakusalimu,japokuwa Uzi huu ni wa Miaka Mingi na Mimi ndiyo kwanza nauona nimevutiwa sana!! Tafadhali naomba na mimi unitumie hiyo database yako!! Natanguliza
Shukrani za Dhati!!
Mkuu kama ulivyotangulia kusema japo uzi wa mda mrefu basi na mimi nitumie iyo database kama amekutumia
Natanguliza shukrani zangu kwako
Naomba msaada , nilianza na kuku wa kinyeji 16 vifarangz na mpaka sasa niko nao 14. Ila sasa nimeona kuku 3 ambao nimeona kwenye cobz zao kuna vitu kama vidonda vyeusi, je huu ni ugonjwa gani na niutibu kivipi???
Nitashukulu kwa msaada nitakaopata
Sio ugonjwa ni viroboto.
Dawa yake chukua mafuta ya taa uwawekee eneo hilo navyo vitapotea mapema iwezeksnavyo.
Karibu sana mkuu, ningekushauri pia kabla ya kuanza ungefanya study tour angalau kwa mtu mmoja anayefuga tayari ukajionea kwa vitendo..
All in all, all the best
Vifaranga hao nimewatotolesha kwa kwakutumia kuku wa kienyeji saba kwa kuwapa mayai 10 kila moja na kupata vifaranga hao 63 walioanguliwa kwa siku moja. Kwa kuwa nipo kijijini hakuna umeme na kutumia taa ya mafuta ni gharama nimewaachia kuku watano wanalea hao vifaranga katika banda lao na baada wiki 8 nategemea kuwaachanisha na hao kuku.Nimewachanja mdondo na ndui,pia nawapatia Vitamini ya dukani inayoitwa PHARMAXINE CHICK PLUS katika maji ya kunywa hasa siki hali ya hewa ni ya baridi, kuhusu chakula nawapa Broilers Starter kwa kiasi cha kikombe cha chai kwa vifaranga kumi asubuhi na mchana nawapa chengachenga ya mahindi nachanganya na wadudu fulani kama siafu walichangayika na dagaa wanaouzwa sokoni kilo Tsh 1200/= kwa kipimo cha kikombe kimoja cha chai cha wadudu hao kwa vikombe 4 vya chenga na nawapa wastani wa kikombe 1 kwa vifaranga 10. nawapati mchicha mara tatu kwa wiki kwani wakati huu wa kiangazi ni shida kupata majani mabichi ya kutosha.asante mkuu. pia ueleze utunzaji na chakula